Beautiful Lady
Senior Member
- Jun 8, 2011
- 135
- 43
Poleni wafiwa, R.I.P mzee Sumari.
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
sivyo.Chuki kwa marehemu itaanza sasa hivi I guess
R .I. P. Bwn Jeremiyha Sumari Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake liinuliwe!!!!!!!!!!! Poleni wafiwa Bwana awatie nguvu kukabiliana na majukumu kipindi hiki cha msiba!!!!!!Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
duuu THOMASO BWANA!
thomaso sio bwana, usipotoshe.