Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.

Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010

Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!

Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.

UPDATE:

Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili

May his soul R.I.P
 
kwa maana hiyo huyo jamaa hakuawa mbunge kwa sababu hakuwahi kuapishwa, je bunge litashughulikia mazishi yake?.wadau nipeni ufafanuzi.
 
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.

Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.

Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!

Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.

UPDATE:

Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
R .I. P. Bwn Jeremiyha Sumari Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake liinuliwe!!!!!!!!!!! Poleni wafiwa Bwana awatie nguvu kukabiliana na majukumu kipindi hiki cha msiba!!!!!!

 
JEREMIAH+SUMARI-MBUNGE+WA+ARUMERU+MASHARIKI-NKAAAYA+SUMARI-NANCY+SUMARI-SIYOI+SOLOMON-MEMBERS+OF+PARLIAMENT-TANZANIA-WABUNGE.JPG


dah! thanks mkuu, mods wangeiweka juu kabisa aisee, nilikuwa simkumbuki sura thou jina nalikumbuka.
R.I.P mzee wetu.
 
Huyu ni ndugu wa tatu wa nyumba moja kufa na Kansa ya Ubongo.....tumeshazika ndugu zake wawili kwa ugonjwa huo huo..hofu yangu ni kwamba je, watoto wao watakuwa salama? coz ni kama kitu cha kurithi hivi!!
 
Huyu ni naibu waziri wa fedha; though na yeye ni mbunge it could be to put it kwamba msiba huu ni wa Serikali zaidi tofauti na wa dada.
 
Duh!RIP Jeremiah na ulikuwa unakubarika sana Jimboni kwako kiasi cha kushinda ukiwa mgonjwa.Tusubiri wanaume waingie tena kazini
 
Back
Top Bottom