Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mwanga wa Milele Umwangazie Ee Bwana, Apumzike kwa Amani.
 
Duh huu mwaka umeanzaje? Poleni wafiwa..
 
Kazi ya Mungu haina makosa! Poleni sana wafiwa!
 
Huyu ni naibu waziri wa fedha; though na yeye ni mbunge it could be to put it kwamba msiba huu ni wa Serikali zaidi tofauti na wa dada.

Mkuu marehemu Sumari ni naibu waziri wa fedha wa wapi?

Tanzania currently tuna manaibu wawili tu ambao ni Mh. Pereira na Mh. Teu
 
Huu mwaka umeanzaje? Poleni sana wafiwa wote..
 
Huyu ni naibu waziri wa fedha; though na yeye ni mbunge it could be to put it kwamba msiba huu ni wa Serikali zaidi tofauti na wa dada.

Hakuwa waziri bana..........Hata ubumge hakula kiapo

[h=1]Tanzania[/h]
Chiefs of State and Cabinet Members of Foreign Governments
Date of Information: 8/12/2011
[TABLE="align: left"]
[TR]
[TD]Pres.[/TD]
[TD]Jakaya Mrisho KIKWETE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Vice Pres.[/TD]
[TD]Mohamed Gharib BILAL, Dr.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Prime Min.[/TD]
[TD]Mizengo Kayanza Peter PINDA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Pres. of Zanzibar[/TD]
[TD]Ali Mohamed SHEIN, Dr.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Agriculture, Food Security, & Cooperatives[/TD]
[TD]Jumanne Abdallah MAGHEMBE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Communication, Science, & Technology[/TD]
[TD]Makame Mnyaa MBARAWA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Community Development, Gender, & Children[/TD]
[TD]Sofia Mnyambi SIMBA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Defense & National Service[/TD]
[TD]Hussein Ali MWINYI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for East Africa Cooperation Affairs[/TD]
[TD]Samwel John SITTA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Education & Vocational Training[/TD]
[TD]Shukuru Jumanne KAWAMBWA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Energy & Mineral Resources[/TD]
[TD]William NGELEJA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Finance & Economic Affairs[/TD]
[TD]Mustapha Hadi MKULO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Foreign Affairs & Intl. Cooperation[/TD]
[TD]Bernard Kamillius MEMBE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Health & Social Welfare[/TD]
[TD]Hadji Hussein MPONDA, Dr.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Home Affairs[/TD]
[TD]Shamsi Vuai NAHODHA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Industry, Trade, & Marketing[/TD]
[TD]Cyril CHAMI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Information, Youth, Culture, & Sports[/TD]
[TD]Emmanuel John NCHIMBI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Infrastructure Development[/TD]
[TD]Andrew John CHENGE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Justice & Constitutional Affairs[/TD]
[TD]Celina Ompeshi KOMBANI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Labor & Employment[/TD]
[TD]Gaudensia Mugosi KABAKA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Lands & Human Settlements Development[/TD]
[TD]Anna TIBAIJUKA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Livestock & Fisheries[/TD]
[TD]Mathayo David MATHAYO[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Natural Resources & Tourism[/TD]
[TD]Ezekiel Magolyo MAIGE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Transport[/TD]
[TD]Omari Rashid NUNDU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Water[/TD]
[TD]Mark James MWANDOSYA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. for Works[/TD]
[TD]John Pombe Joseph MAGUFULI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Good Governance, Pres.'s Office[/TD]
[TD]Mathias Meinrad CHIKAWE[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Public Service Management, Pres.'s Office[/TD]
[TD]Hawa Abdulrahman GHASIA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Social Relations & Coordination, Pres.'s Office[/TD]
[TD]Stephen Masatu WASSIRA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Environment, Vice Pres.'s Office[/TD]
[TD]Terezya HOVIZA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Union Affairs, Vice Pres.'s Office[/TD]
[TD]Samia SULUHU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Investment & Empowerment, Prime Min.'s Office[/TD]
[TD]Mary Michael NAGU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Policy, Coordination, & Parliamentary Affairs, Prime Min.'s Office[/TD]
[TD]William LUKUVI[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Min. of State for Regional Admin. & Local Govt., Prime Min.'s Office[/TD]
[TD]George MKUCHIKA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Attorney Gen.[/TD]
[TD]Frederick WEREMA[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Governor, Central Bank[/TD]
[TD]Benno NDULU[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Ambassador to the US[/TD]
[TD]Mwanaidi Sinare MAAJAR[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Permanent Representative to the UN, New York[/TD]
[TD]Ombeni Yohana SEFUE[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Pumzika kwa amani Ndugu Sumari....
After a long battle.....RIP
 
R.I.P Jeremiah Sumari, Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
 
Napenda kuchukua fursa hii kuipa pole familia ya marehemu Sumari pamoja na ndugu jamaa na marafiki zake. Nawaombea kwa Mungu awajalie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha kupotelewa na mwenzenu. NIchuke fursa pia kulipa pole Bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuondokewa na mbunge na aliyekuwa naibu waziri wa fedha.Nikipe pole pia chama cha mapinduzi CCM kwa kuondokewa na kada na mwanachama wake. Nimpe pole pia rafiki yangu Joshua Nassary kwa kuondokewa na aliyekuwa mpinzani wake mkubwa katika kipindi cha uchaguzi wa mwaka jana. Mungu ametoa na Mungu ametwaa jina lake libarikiwe. Amen.
 
r i p,
utabiri wa mrithi wa shehe yahaya naona unatimia alitabiri huu ni mwaka mbaya kwa wabunge,,,,,,,, swali who nezt
 
RIP Mb! namkumbuka alishawahi kumjibu Zito Kabwe "majibu ya hovyo hovyo" bungeni. wakati akiwa naibu waziri wa fedha.
 
R.I.P. Mzee Sumari
Tunatarajia upendo ulioonyeshwa na wana ccm kwenye mazishi ya dada Regia tutauona kwa wanachedema pia kwenye msiba huu!
Wasambaa wana msemo wao usemao " ukitandika umvyedi na ugoshe mvyedi " usitegemee mbunge kama Livingstone Lusinde ( kibajaji ) yule Mbunge wa Mtera afe halafu apate heshima na maziko kama ya Regia! hapana hilo nakataa kabisa, kuna wabunge wengine wakifa ni Great relief kwa Taifa.
Kwa Marehemu Sumari R.I.P atazikwa kutokana na Historia ya matendo yake hapa Duniani, nadhani msiba wa Regia ni funzo kubwa kwa wanasiasa wote wanatakiwa wachague kuishi maisha ya namna gani!
 
Back
Top Bottom