Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
poleni wafiwa
naona ikifika mwezi wa 4 wataondoka wanasiasa wengi sana
naona ikifika mwezi wa 4 wataondoka wanasiasa wengi sana
Mbunge akishachaguliwa ni mbunge hata bila ya kuapishwa....isipokuwa hataweza kushiriki shughuli za bunge mpaka awe ameapishwa (isipokuwa kuchagua spika). Hata hivyo naona katiba kidogo haipo wazi sana kwenye suala hili la kuapa/kutokuapa....inawezekana limefafanuliwa mahala pengine (sheria/kanuni etc).Hivi sheria ikoje mbunge akifa kabla ya kuapishwa? Kunakuwa na by-election au vipi?
chadema jimbo lenu hilo'wote walioiba kura zetu hawatanusa 2015 akiwemo jk
chadema jimbo lenu hilo'wote walioiba kura zetu hawatanusa 2015 akiwemo jk
Je ni kweli? we want some body o confirm.
Poleni wafiwa, mtoto wake wa kiume nadhani kaowa kwa lowasa? au vinginevyooooo...
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili