Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Mbunge Jeremiah Sumari afariki dunia

Kafariki lini! R.I.P sumary ! Ataziktwa wap na lini? Msiba upo wap?

Makubwa haya!!

Na uchaguzi wa kuziba nafasi yake umefanyika leo na Joshua Nassari wa Chadema ndio mbunge mpya.

By the way vipi ndugu ulikuwa North Korea?
 
wananchi wake wamekosa uwakilishi bungen nadhan sasa ni muda wananchi wapatiwe wanahokitaka mbunge makini kutoka chadema!!! i bet ccm kwa kujua hawatashinda watasema jimbo libaki wazi mpaka next election!!!
 
wananchi wake wamekosa uwakilishi bungen nadhan sasa ni muda wananchi wapatiwe wanahokitaka mbunge makini kutoka chadema!!! i bet ccm kwa kujua hawatashinda watasema jimbo libaki wazi mpaka next election!!!
Mkuu bona, hivi uko dunia hii hii?!.
P.
 
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.

Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.

Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!

Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.

UPDATE:

Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
Sijaelewa dhumuni la huu uzi ni nini kukumbusha msiba.
 
wananchi wake wamekosa uwakilishi bungen nadhan sasa ni muda wananchi wapatiwe wanahokitaka mbunge makini kutoka chadema!!! i bet ccm kwa kujua hawatashinda watasema jimbo libaki wazi mpaka next election!!!

bongo ndo nchi,sitoki bongo
 
Sasa alifufuka lini na aliendelea tena kutibiwa?

Kwa hiyo akizikwa hatafufuka tena?
 
Back
Top Bottom