Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,267
- 422
Poleni wafiwa, mtoto wake wa kiume nadhani kaowa kwa lowasa? au vinginevyooooo...
Kumbe ndo walewale. Haya jama. Thijui JK atakuwa na madaraja ya kufungua huko
Poleni wafiwa, mtoto wake wa kiume nadhani kaowa kwa lowasa? au vinginevyooooo...
Rest in Peace Sumari!
Bora upumzike, maana afya imekutesa kwa muda mrefu!../Lipi bora uishi mgonjwa kwa miaka au ukapumzike na taabu za dunia!
Hivi sheria ikoje mbunge akifa kabla ya kuapishwa? Kunakuwa na by-election au vipi?
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili
yule alomjibu Dr.Slaa ovyo ovyo bungeni anaitwa nani?
mwenye picha ya sumari atuwekee tumkumbuke zaidi.
Nilisikia muda mrefu kuwa yu mgonjwa lakini sikusikia kama aliwahi kupelekwa India kwa matibabu kama wenzie................. Hivi kumbe kupelekwa India kwa matibabu inategemea na nafasi uliyo nayo serikalini!
Mungu amlaze mahali pema peponi...............Amina
RIP Bwana Sumari
yule alomjibu Dr.Slaa ovyo ovyo bungeni anaitwa nani?
mwenye picha ya sumari atuwekee tumkumbuke zaidi.
maxence Melo yupo, ngoja tusubiri athibitishe.
Kuna habari zimenifikia sasa havi kwamba Mbunge huyu amefariki!.
Mbunge huyu alikuwa mgonjwa na hakuapishwa 2010.
Alipelekwa India na iliandikwa hapa jukwaani, hali ilikuwa mbaya sana!
Baada ya kupata matibabu ya uvimbe kwenye ubongo, alirudishwa kimyakimya na sasa nimesikia amefariki.
UPDATE:
Naibu Spika kathibitisha habari hizi na marehemu alifariki saa 8 usiku wa kuamkia leo akiwa hospitali ya taifa - Muhimbili