Na ndio maana hata hapa ameteleza tumsamehe.Hivi akitumia Domain ya Chadema kama anavyopendekeza,sasa Upinzani mle ndani kwani ni Chadema peke yao?NCCR,CUF,TLP na UDP je siwataona kichefuchefu?Labda ungesema domain ya Bunge sawa,Kumbuka Ikulu ni sahihi maana ile haina Chama na Watanzania wote au?Ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani,lakini hata hao waliokataa bado ni Upinzani,wakitaka Correspondence officially watamuona Mbowe tuuuuuuuuu kama Kiongozi.kweli wewe ni PAA LINALOTELEZA.
Kuna aina nyingi sana za Viwavi,sasa sijui wewe ni KIWAVI gani?Nina uhakika wewe sio kiwavi JESHI maana sio mhangaikaji na mfuatiliaji wa mambo.Website ya chadema ni hii [ http://www.chadema.org.tz ] .Karibu sana ndugu.Utawaona hata wale Mafisadi 11 na reserve mmoja.Hivi hadi leo CHADEMA hawa website??
kwahiyo wameishia kwenye IPAD tu??
i thought vinaendana
Okay, enough said. Wahusika wa CHADEMA, CCM, CUF, NCCR-MAGEUZI... na wengine wote wanaohitaji wanitafute (PM) niwasaidie kwa hili.
Anwani ya Makao Makuu | info@chadema.or.tz S.L.P. 31191, Dar es Salaam, Tanzania Mtaa wa Ufipa, Kinondoni Simu/faksi: +255-22-266-8866 |
Jina | Wadhifa | Anuani pepe | Simu |
Abama, Mwanamrisho | Mbunge Viti Maalum | abama@chadema.or.tz | |
Abwao, Chiku | Mbunge Viti Maalum | chiku@chadema.or.tz | |
Arfi, Said | Mbunge Mpanda Kati | saidarfi@chadema.or.tz | |
Baregu, Laurent | Mjumbe wa Kamati Kuu | baregu@chadema.or.tz | |
Benson, Singo | Mkurugenzi Oganaizesheni na Mafunzo | kigaila@chadema.or.tz | 0787 383167 |
Chitanda, Ali | Afisa Mwandamizi Baraza la Vijana | chitanda@chadema.or.tz | 0784 227440 |
Kabwe, Zitto | Mbunge Kigoma Kaskazini | zitto@chadema.or.tz | 0713 730256 |
Kathau, Sophia | sophia@chadema.or.tz | ||
Kimesera, Victor | kimesera@chadema.or.tz | ||
Kiwanga, Suzan | Mbunge Viti Maalum | suzan@chadema.or.tz | |
Kiwelu, Grace | Mbunge Viti Maalum | grace@chadema.or.tz | |
Komu, Maulidah | Mbunge Viti Maalum | anna@chadema.or.tz | |
Komu, Anthony | Mkurugenzi Fedha na Utawala | komu@chadema.or.tz | 0713 615603 |
Lissu, Tundu | Mbunge Singida Mashariki | lissu@chadema.or.tz | |
Magazi | Katibu Mjini Magharibi | magazi@chadema.or.tz | |
Makani, Bob | Mwenyekiti Taifa Mstaafu | makani@chadema.or.tz | |
Massay, Lameck | Mwenyekiti Halmashauri Karatu | massay@chadema.or.tz | |
Mbowe, Freeman | Mbunge Hai | freeman@chadema.or.tz | |
Mdee, Halima | Mbunge Kawe | halima@chadema.or.tz | |
Mnyika, John | Mbunge Ubungo | mnyika@chadema.or.tz | 0754 694553 |
Mrema, John | Mkurugenzi Bunge na Halmashauri | mrema@chadema.or.tz | 0784 845666 |
Mtei, Edwin | Mwenyekiti Taifa Mwanzilishi | mtei@chadema.or.tz | |
Mtemelwa, Msafiri | Mkurugenzi Kampeni na Uchaguzi (Kaimu) | mtemelwa@chadema.or.tz | 0713 442791 |
Mzee, Said | mzee@chadema.or.tz | ||
Ndesamburo, Philemon | Mbunge Moshi Mjini | ndesamburo@chadema.or.tz | |
Ruhwanya, Mhonga | Mbunge Viti Maalum | mhonga@chadema.or.tz | |
Shelembi, Philip | Mwenyekiti Shinyanga | shelembi@chadema.or.tz | 0784 282782 |
Shija, Erasto | Katibu Baraza la Wazee | shija@chadema.or.tz | 0754 241907 |
Slaa, Willibrod | Katibu Mkuu | slaa@chadema.or.tz | 0784 666995 |
Tumbo, Erasto | Mkurugenzi Habari na Uenezi | tumbo@chadema.or.tz | 0713 474707 |
Yussuf, Hamad | Naibu Katibu Mkuu Zanzibar | hamad@chadema.or.tz | 0747 473290 |
Na ndio maana hata hapa ameteleza tumsamehe.Hivi akitumia Domain ya Chadema kama anavyopendekeza,sasa Upinzani mle ndani kwani ni Chadema peke yao?NCCR,CUF,TLP na UDP je siwataona kichefuchefu?Labda ungesema domain ya Bunge sawa,Kumbuka Ikulu ni sahihi maana ile haina Chama na Watanzania wote au?Ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani,lakini hata hao waliokataa bado ni Upinzani,wakitaka Correspondence officially watamuona Mbowe tuuuuuuuuu kama Kiongozi.
Lakini hata usalama jamani,Angalieni Midomain Servers ya Miwizara yenu ya CCM michovu KILA SIKU taarifa zinavuja,japo nyingine ni manual documents,lakini softcopy(yaani Hacking imekuwa kubwa mno)Bora hata kutumia hizo za mbele kama gmail au yahoo inakuwa salama zaidi.Mimi naona kwa technolojia ya Kibongo sio issue sana,Hoja ya msingi taarifa na urasimu unaondolewa sio wakuuuu?
Unaposema mf.[ fmbowe@chadema.org.tz] huoni hii inahusu mawasiliano Kichama zaidi kuliko Kiserikali jamani?Kumbuka uongozi wake wa Kiupinzani Mjengoni ni Serikali na sio Chadema jamani.Wewe mzee wa utelezi hebu icheki tusahihishane hapa hamna vita au sio mkuu!!
Na ndio maana hata hapa ameteleza tumsamehe.Hivi akitumia Domain ya Chadema kama anavyopendekeza,sasa Upinzani mle ndani kwani ni Chadema peke yao?NCCR,CUF,TLP na UDP je siwataona kichefuchefu?Labda ungesema domain ya Bunge sawa,Kumbuka Ikulu ni sahihi maana ile haina Chama na Watanzania wote au?Ni Kiongozi wa Kambi rasmi ya upinzani,lakini hata hao waliokataa bado ni Upinzani,wakitaka Correspondence officially watamuona Mbowe tuuuuuuuuu kama Kiongozi.
Lakini hata usalama jamani,Angalieni Midomain Servers ya Miwizara yenu ya CCM michovu KILA SIKU taarifa zinavuja,japo nyingine ni manual documents,lakini softcopy(yaani Hacking imekuwa kubwa mno)Bora hata kutumia hizo za mbele kama gmail au yahoo inakuwa salama zaidi.Mimi naona kwa technolojia ya Kibongo sio issue sana,Hoja ya msingi taarifa na urasimu unaondolewa sio wakuuuu?
Unaposema mf.[ fmbowe@chadema.org.tz] huoni hii inahusu mawasiliano Kichama zaidi kuliko Kiserikali jamani?Kumbuka uongozi wake wa Kiupinzani Mjengoni ni Serikali na sio Chadema jamani.Wewe mzee wa utelezi hebu icheki tusahihishane hapa hamna vita au sio mkuu!!
Whizkid,Okay, enough said. Wahusika wa CHADEMA, CCM, CUF, NCCR-MAGEUZI... na wengine wote wanaohitaji wanitafute (PM) niwasaidie kwa hili.
CHADEMA NI KAMPUNI YAO WALA USISHANGAE NA TUKIWAKABIDHI NCHI TU,mambo yatabadilishwa kama ifuatavyo:Unajua siku za nyuma niliambiwa namwandama sana Salva lakini ukweli ni kuwa hata huko CHADEMA nako kumbe kuna problem ya PR
Hivi who is in charge of Communication and Media huko Chadema?
I mean mbowe2008@gmail.com
I mean letterhead ya bunge, ina email address ya mbowe na mwandishi ni Zitto Kabwe
and these clowns maana I cant even call them comedians kwani hata comedians get paid for their performances. Sasa these jokers wants us to take them serious?
why should Salva alone bear the brunt of my criticism halafu Freeman, Zitto and their entourage wakapewa free ride?
I mean how hard is it to set up say:
srweyemamu@ikulu.gov.tz
or
mawasiliano@ikulu.gov.tz
or
zittokabwe@chadema.org.tz
or
fmbowe@chadema.org.tz
or
chairman@chadema.org.tz
we ndio kuku kabisaKuna aina nyingi sana za Viwavi,sasa sijui wewe ni KIWAVI gani?Nina uhakika wewe sio kiwavi JESHI maana sio mhangaikaji na mfuatiliaji wa mambo.Website ya chadema ni hii [ http://www.chadema.org.tz ] .Karibu sana ndugu.Utawaona hata wale Mafisadi 11 na reserve mmoja.
Nadhani natofautiana na wewe mkuu. Tunahitaji kuwasiliana na mkuu wa kambi ya upinzani bungeni directly siyo mawakala wake. Huo utaratibu wa mawasiliano kupitia kwa katibu mahususiii sijui nani ulipitwa na wakati long time. Kwa wale ambao ni wa miaka ya 47 kama hao wa ccm na serikali kuu basi ndio wanatumia wasaidizi.
Efficient communication is important, siyo urasimu usio na tija wa mwaka 47