Kinyambiss
JF-Expert Member
- Dec 2, 2007
- 1,374
- 72
Aibu tupu.wote.cdm and Serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ahh well...CHAMA MBADALA
they cant spin themselves out of this
Am interested, Waberoya respondWaberoya,
...unajua tunapotaka kuwaondoa CCM madarakani ni lazima tuwa asses hawa....
Salaam. Maneno yako ndio fikra zako. Hilo naliamini kwa sababu nakuamini. Swali langu ni;
Tunapotaka.....hapa ni wewe na nani?
Hawa....ni kina nani mnaowa-asses wewe na huyo/hao wengine?
Uelewa wangu ni kwamba kwa matamshi yako kuna nyinyi mnaotaka kuitoa CCM madarakani, kuna CCM, kuna wanaotaka kuingia Ikulu ambao labda CDM wanahusika pia.
Umejivika jukumu la kuiondoa CCM madarakani na pia kuwa-asses wengine. Hili si jukumu dogo. Ni kubwa sana. Sijui unalifikiaje wewe pamoja na wenzako. Nielimishe kiongozi.,
Unajua siku za nyuma niliambiwa namwandama sana Salva lakini ukweli ni kuwa hata huko CHADEMA nako kumbe kuna problem ya PR
Hivi who is in charge of Communication and Media huko Chadema?
I mean mbowe2008@gmail.com
I mean letterhead ya bunge, ina email address ya mbowe na mwandishi ni Zitto Kabwe
and these clowns maana I cant even call them comedians kwani hata comedians get paid for their performances. Sasa these jokers wants us to take them serious?
why should Salva alone bear the brunt of my criticism halafu Freeman, Zitto and their entourage wakapewa free ride?
I mean how hard is it to set up say:
srweyemamu@ikulu.gov.tz
or
mawasiliano@ikulu.gov.tz
or
zittokabwe@chadema.org.tz
or
fmbowe@chadema.org.tz
or
chairman@chadema.org.tz
Unajua siku za nyuma niliambiwa namwandama sana Salva lakini ukweli ni kuwa hata huko CHADEMA nako kumbe kuna problem ya PR
Hivi who is in charge of Communication and Media huko Chadema?
I mean mbowe2008@gmail.com
I mean letterhead ya bunge, ina email address ya mbowe na mwandishi ni Zitto Kabwe
and these clowns maana I cant even call them comedians kwani hata comedians get paid for their performances. Sasa these jokers wants us to take them serious?
why should Salva alone bear the brunt of my criticism halafu Freeman, Zitto and their entourage wakapewa free ride?
I mean how hard is it to set up say:
srweyemamu@ikulu.gov.tz
or
mawasiliano@ikulu.gov.tz
or
zittokabwe@chadema.org.tz
or
fmbowe@chadema.org.tz
or
chairman@chadema.org.tz
Aisee........so far website ya CHADEMA imegoma