mbowe2008@gmail.com V/S mawasilianoikulu@yahoo.com

mbona hii barua ni ya zamani tunayoijadili,na hawa wanaoprovide hizi dot co/or hawajawa stable jamani
 
Chizi siyo lazima avue nguo,na mjinga siyo lazima ambaye hajaenda shule kwani waweza kwenda shule kumbe ulikuwa kilaza wa miaka yote,,, huyu
jamaa aliyeandika hii post mie namkumbuka sana , pindi tulipokuwa tunasoma Pamba sec. alisababisha tufutiwe mtihani wa kidato cha nne
pale alipokuwa anatumia mda mwingi kuigilizia majibu na kibaya zaidi hadi jina aliandika la yule aliyekuwa anaangalizia majibu yake na hatimaye
wizara ya elimu ikatufutia majibu kwa kosa la huyu jamaa,,,kutojua kuchambua maana ya public email na personal email ndo kumenikumbusha kuwa huyu jamaa hakupata elimu bora ila alipata bora elimu,,,,, mungu amsamehe,,
 
kuna ubaya gani watu kuwasiliana wote hawa si viongozi sasa kuna nini kipya katika
hili mambo yamefanyika miezi mitano nyuma sasa ?tujadili mambo mapya ya umeme ,mafuta,
mgomo nk
 
hapa pana tatizo CHADEMA wanapaswa kulishughurikia mapema zaidi kama watoa hoja walisema
 
nilishaisema hii siku moja, website ya chadema.net ni nzuri sana lakini update za mara kwa mara hazifanyiki kwa hivyo utakuta yaliyomo pale ni ya siku nyingi mno...guys keep with the pace
 
nadhani katika hili tunahitaji kusikia kutoka kwa viongozi wa CDM kwani kwa haraka haraka inaonekana ni kasoro na irekebishwe
 
As far as I know Chadema wote wanapatikana kwenye website yao na mails zao kwa kumalizia na website yao .Mmesema sana lakini ulizeni .Kosa nimeona ni Mbowe kutumia yahoo.com au gmail lakini wanaweza kuwa na sababu .Kuna kusomwa mails zao na siri za Chama kwa kuwa wanao host website wanaweza nunuliwa na CCM na wakawa wanauza siri zao .Now kutumia gmail au yahoo wanaweza kuona wako safe na mambo yao lakini ki ukweli wote hawa unawapata kwa kutumia mails zao chama katika website zao .

Kama kuna mtu ananipinga atakosea kwa mfano ni hivi .


freeman@chadema.net


slaa@chadema.net

zitto@chadema.net

Na hao wengine sijui lakini Chadema siku zote wanatumia mambo haya .
 
Unajua siku za nyuma niliambiwa namwandama sana Salva lakini ukweli ni kuwa hata huko CHADEMA nako kumbe kuna problem ya PR

Hivi who is in charge of Communication and Media huko Chadema?

Chama hichi hakiishi kukosoa CCM kila kukicha lakini inaonekana kumbe na wao hawako serious.

Nashangaa kwa nini hawa update website yao?

kwa nini hawaweki audited accounts zao online?

Kwa nini hawasemi how much wanaspend kwenye propaganda including hii ya mambo ya web design?

I mean mbowe2008@gmail.com

I mean letterhead ya bunge, ina email address ya mbowe na mwandishi ni Zitto Kabwe


and these clowns maana I cant even call them comedians kwani hata comedians get paid for their performances. Sasa these jokers wants us to take them serious?

IKULU+LOGO.JPG

why should Salva alone bear the brunt of my criticism halafu Freeman, Zitto and their entourage wakapewa free ride?


I mean how hard is it to set up say:

srweyemamu@ikulu.gov.tz

or

mawasiliano@ikulu.gov.tz

or

zittokabwe@chadema.org.tz

or

fmbowe@chadema.org.tz

or

chairman@chadema.org.tz



Zitto-stimulus-Package_Page_1.jpg

Zitto-stimulus-Package_Page_2.jpg


Ukitumwa tafuta nguzo za hoja!!! au utakuonekana taahira na jinga la kufa!!!
Hoja yako ni ipi? ufisadi CDM au letter head? tumia kichwa na jipange au NAPE atakudai mshiko wake alaaaa?!!
 
website ya Chadema was supposed to be better than CCM lakini it lacks alot of data and info

and like ikulu it resembles Michuzi blog in every way shape and form
 
Back
Top Bottom