- Thread starter
- #41
Kumbe kanuni haijabadilishwa au usanii tu.
Mkuu kanuni haijabadilishwa wala kinachogombewa si uongozi wa kuwa viongozi wa kambi ya upinzani wala si uwaziri vivuli,
kinachopigiwa kelele ni kuongeza tafsiri ya neno kambi rasmi ya upinzani inyomaanisha sasa wenyeviti wa kamati nyeti zinazoongozwa na upinzani sasa zitagombewa na wapinzani wote na si cdm pekee.
Kwa mujibu wa ndugai kambi rasmi ni ile kambi ya jumla ya wapinzani wote wakifikisha asilimia 12 ya wabunge wote ndio itakuwa rasmi na si chama kimoja kuwa ndio kambi rasmi,
Kwa mantiki hiyo kifungu husika kinasema wwenyeviti wa kamati hizo watatoka ktk kambi rasmi ya upinzani ambayo kwa tafsiri iliyopo ni vyama vyote vya upinzani ndio kambi rasmi as long as wamefikisha asilimia 12 kwa umojawao.
Mkuu samahani nimekariri lakini sijakariri vifungu