Waziri Mkuu Majaliwa anabaniwa publicity na mfumo wa dola (TBC1 hairushi matukio yake mubashara lakini ya Waziri Mbarawa yanarushwa live)

Kosinde

Member
Jun 7, 2018
49
60
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity.

Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara.

Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake.

Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
 
Hili Kwa Mwenye Akili timamu keshalinotice.


Miezi Kadhaa nyuma Waziri Wetu Mkuu alipokua kwenye ziara, alionekana akifanya mambo makubwa na watu wakawa wanamfatilia sana kupitia vyombo vya Habari na akaonekana anafanya kazi kubwa na ya kizalendo walau kufanania na JPM.

Sasa wahuni wameona isiwe tabu, ni kumfanya asionekane kwenye Jamiii.
 
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity. Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara. Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake. Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
Kama ilivyo kuwa kwa Chamuliro wakati wa JPM basi ndio Mbalawa vacati huu wa Samia. Ujenzi na Uchukuzi kuna fedha nyingi sana ambazo ndio zinapigwa muda huu. Kubwa zaidi Mbarawa anajua Dili za Kuuza KIA kupitia KADCO kwa Waarabu wa Oman, ndio maana unaona ana kibuli na kupendelewa kilimo hata majaliwa.
 
nadhani ni kutokuwa na uelewa ndo mana, Hapo ni jukumu la Wizara husika mana vyombo vya habari nao wapo kazini kwa hiyo hawafanyi kazi bure na hawarushi kitu live kama hakuna makubaliano yoyote na wao. Inawezekana TBC wasirushe live ila kuna vyombo vingine ambavyo vinarusha live.
 
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity.

Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara.

Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake.

Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
Kumbe kuna watu wenye uthubutu na muda wa kutazama TiBiSi 🥱
 
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity.

Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara.

Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake.

Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
Acha wivu wewe
 
Kama Rais, na Mbalawa wake...waliamua kukwepa Uzinduzi wa Meli MPYA ilojengwa na Wazawa kisa JPM , sembuse haya yanayoendelea.


Mbaya sana Nchi kuongozwa na Waswahili.


Nchii hii inabidi ipate watu wa Kanda ya Ziwa !!.
UKABILA UTAKUUA. Yaani ile ni MELI kwa akili yako?? Unazijua meli wewe? NYIE NI WASHAMBA SANA hizo ni BOTI tu ukitaka meli njoo baharini Mbwa wewe.
 
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity.

Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara.

Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake.

Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
Sukuma Gang mnalalamika kama watoto waliobemendwa vile.
 
Kwa wiki kadhaa nimekuwa nikifuatilia chombo chetu cha habari cha Taifa TBC1 na kwa mtu mwenye akili timamu atagundua kuna namna fulani ya kumbania Waziri Mkuu wetu publicity.

Wiki iliyopita alikuwa na ziara ya kikazi mkoani Songwe na kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo lakini matukio yake hayakurushwa mubashara na TBC1 lakini siku hizo hizo Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi alipewa Live coverage akitilia saini mikataba yabujenzi wa barabara.

Hivi kweli Waziri Mkuu hapewi live coverage akifanya shughuli za Serikali lakini Waziri anapewa. Kwa mtazamo wangu naona kuna hofu kuwa PM akipewa publicity anamu-outshine bosi wake hivyo cha kufanya nikutompa live covarage kwenye kazi zake.

Niliwahi kuona siku moja akiwa kwenye tukio moja TBC1 ilianza kurusha mubashara lakini baada ya muda ilikatishwa bila sababu za msingi, hii haileti picha nzuri kwa Serikali na ni dharau kwa PM
Anafahamika zaidi kuliko Rais wake, kisingizio iwe namna ya hatua za pupa anazochukua baadhi zikiwa za kiuonevu na zenye umagufuli style ndio boss labda hapendi maana zinaleta umaarufu wake kwa raia
 
Back
Top Bottom