Dr WHO, hilo la uwanja wa ndege ni lipi tena?
Naam Mwanasiasa:
Data nilizopewa zipo biased i have to say manake zimechagua kipengele kimoja tu cha viongozi. Kwa mujibu wa tovuti ya CHADEMA, Viongozi wa kitaifa ni hawa wafuatao:
Freeman Aikaeli Mbowe [KILIMANJARO]
Mzee Saidi Mzee [visiwani]
Wilbroad Slaa [Karatu- Arusha]
Shaibu Akwilombe [masasi lindi]
Himid Yusph-Pemba
Victoria Kimesera [KIteto manyara]
Hawa ndio viongozi wa kitaifa, you can see kuna viongozi sita, watatu wanatoka kaskazini:
Mbowe, Slaa, Kimesera [50% ya top team!!]
Kumbuka tanzania ina mikoa ishirini na sita, lakini viongozi watatu wakubwa wametoka tanzania north!!
WABUNGE:
Chadema imefanikiwa kupata viti kadhaa vya wabunge waliochaguliwa na wananchi kwenye uchaguzi mkuu na hivyo kufanikiwa kupata viti maalum, wafuatao ndio wabunge wa chadema:
SLAA[KARATU]
Maulidah Anna Komu -VITI MAALUM
SAID AMOUR ARFI [MPANDA]
CHACHA WANGWE [TARIME]
SUSAN LYIMO [VITI MAALUM]
NDESAMBURO [MOSHI MJINI]
HALIMA JAMES [VITI MAALUM]
MHONGA SAID [VITI MAALUM]
LUCY OWENYA [VITI MAALUM
ZITO KABWE [KIGOMA VIJIJINI]
GRACE KIHWELU [VITI MAALUM]
halafu kuna hiii:
Unaweza kuona kuwa CHADEMA ingawa kimepata wabunge katika several locations in the country lakini wabunge wa kuteuliwa Owenya,Lyimo,Grace, wote ni kaskazini!!! Ukichanganya na Mzee Ndesamburo na Slaa ina maana wabunge watano kati ya kumi na moja wametoka kaskazini!! Hapo hatujamchanganya Mama Komu ambae anajidai mzanzibari mwenye asili ya uchaga na Mwanasiasa nisaidie Halima anatoka wapi.
...
DrWHO,
Na wewe nakusubiri ueleze "beef " yako na FDR.