Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
mmoja mmoja basi naona wote mnaniparamia utafikir ugomvi!
Hahahaha nilijua tu. Mkuu tafuta kabrasha zaidi... Tatizo kukija proof kuwa hakufeli masomo itakuwa ishaharibu (kama kweli aliahirisha tu mwaka). Hata hivyo bado una mwanya kwakuwa uliandika "Discuss"
 
Noana watu wamekuwa emotional ghafla.....lakini GT siamequote kwenye email na ameomba watu tudiscuss sasa mbona tunakwenda nje ya mada?

Alafu biashara za Mbowe kusema kweli mimi naijua ya Night Club tu nyingine sizijui wala nini so siwezi kwenda mbele ya zaidi ya hapo. Mnaozijua mwageni hapa.
 
Hahahaha nilijua tu. Mkuu tafuta kabrasha zaidi... Tatizo kukija proof kuwa hakufeli masomo itakuwa ishaharibu (kama kweli aliahirisha tu mwaka). Hata hivyo bado una mwanya kwakuwa uliandika "Discuss"

..binafsi nimepoteza imani na huyu bwana kitambo sasa, GT si muanifu, ni mzushi, mwongo, mgomanishi, mnafiki, mzandiki, mfitinishi, ni chakubimbi, anapenda kujishaua, angekuwa "manzi" basi saa hii angekuwa na vichwa kama vitano hivi baba tofauti tofauti............na kama kweli ni mwezi wa credit cards basi ni FISADI!!! mie alinikera sana kwenye ile thread yake ya Mwajuma Kibaranga or something....man, huwezi kuweka emails za watu hadharani namna ile bila idhini yao!! ebo, sijui anaishi dunia gani au huko kwenu hakuna neno privacy??? lazima uchore mstari na kuweka limits sio bora liende tu.......aaaaah.
 
Noana watu wamekuwa emotional ghafla.....lakini GT siamequote kwenye email na ameomba watu tudiscuss sasa mbona tunakwenda nje ya mada?

Alafu biashara za Mbowe kusema kweli mimi naijua ya Night Club tu nyingine sizijui wala nini so siwezi kwenda mbele ya zaidi ya hapo. Mnaozijua mwageni hapa.

..sniper in the open!! bwahahahahahaha patamu pale predator anapogeuzwa kuwa prey........watu nahisi wana dukuduku na huyu bwana, nadhani hapa ndio kaingia kwenye "maboksi ya fundi"....
 
..binafsi nimepoteza imani na huyu bwana kitambo sasa, GT si muanifu, ni mzushi, mwongo, mgomanishi, mnafiki, mzandiki, mfitinishi, ni chakubimbi, anapenda kujishaua, angekuwa "manzi" basi saa hii angekuwa na vichwa kama vitano hivi baba tofauti tofauti............na kama kweli ni mwezi wa credit cards basi ni FISADI!!!

😀 😀 😀, Oooh Lord have mercy.
 
according to think piece iliyokuwa dropped leo mchana mwandishi alisema hivi:


SOURCE hii hapa:
https://www.jamiiforums.com/showthread.php?t=13378


freeman_bowe_in_lndon.jpg




Discuss...

Afadhali yake yeye kuliko hao waliopasi mashuleni na kuamua kuifisadi Tanzania na Watanzania. Siku zote ataonekana ni bora mara mia kuliko hao mafisadi.
 
Hahahaha

Hii ya Mbowe nilipenda zaidi

watu tunaweza kureverse kwa kuanzia kuleee kwenye issue ya WAPUKI, mpaka kwenye tuhuma za kuuziwa magari ya wizi na akina Saleh Ziebi ( Range Rover Vogue new model) ili hali akijua kuwa ni la wizi huku London then atuambie kama kweli alideclare kiasi gani CHADEMA walipewa na Conservative (UK), kisha atuambie kwa nini anaona tabu kumsomesha JJ MNYIKA halafu tusisahau ule mkopo wa NSSF

this should be an interesting one...

You are not fair at all. Anunue gari ya Wizi awe nayo huru mpaka sasa? Nenda www.chadema.net CHADEMA imetangaza hadharani kiasi cha pesa ambacho tumetumia katika kampeni na tumezitoa wapi. Suala la Mnyika kusoma ni kazi ya Mbowe kweli jamani? Mnyika anasoma, bado kijana mdogo na umri unamruhusu. Zaidi ya yote ni kijana mwenye akili nyingi na atafanikiwa shule. Kama una chuki binafsi na Freeman Mbowe tafadhali usizilete kwenye jamvi. Freeman hakupokea senti tano kutoka conservative kwa ajili ya kampeni. Freeman hajanunua gari ya wizi. Freeman ahajafail chochote.
 
maandiko yanasema siku za mwisho watatokea manabii wa uongo...ndo hao kina GT
 
You are not fair at all. Anunue gari ya Wizi awe nayo huru mpaka sasa? Nenda www.chadema.net CHADEMA imetangaza hadharani kiasi cha pesa ambacho tumetumia katika kampeni na tumezitoa wapi. Suala la Mnyika kusoma ni kazi ya Mbowe kweli jamani? Mnyika anasoma, bado kijana mdogo na umri unamruhusu. Zaidi ya yote ni kijana mwenye akili nyingi na atafanikiwa shule. Kama una chuki binafsi na Freeman Mbowe tafadhali usizilete kwenye jamvi. Freeman hakupokea senti tano kutoka conservative kwa ajili ya kampeni. Freeman hajanunua gari ya wizi. Freeman ahajafail chochote.

mpe huyo...
 
Kwa kupitia posts chache kwenye thread hii , naona kama vile huu ni udaku, Sitoi hukumu hadi nisome tena posts nyingine, ila lile la kufeli biashara na masomo sijapta proof yoyote inayoonyesha failure.
 
mi jana nilihoji kama mbowe kafeli je yeye ndo wa kwanza?
na tukisema tuanze kufuatilia mtu mwenye elimu ndo ashike wadhifa je wao si tutawapangua na kuwafukuza takriban nusu yao jamani?
kwa sababu chama chao ndo kinaongoza kwa viongozi wanaotumia domo kuongoza na si elimu...
 
maandiko yanasema siku za mwisho watatokea manabii wa uongo...ndo hao kina GT

.. mie nam-compare GT na yule Pastor wa Obama, Rev. Wright, huyu jamaa inaonekana ni smart(kama Rev. Wright)...lakini ni CHIZI(kama Rev. Wright) na anaendeshwa sana nahisia za chuki na uswahili ulokithiri( of course kama Rev. Wright)!! kusoma au kutokusoma kwa Mnyika kuna kuhusu nini brotha!? Hata ktk ile thread ya msiba wa yule ndugu hapo Londonstan(week chache zilizopita), kwa standard zangu na wengi ambao ni waungwana..ulivuka mipaka!!! mwambie Steve D akupatie a chill pill........loh, au ndio mlivyo watu wa Mafia?? uungwana ni vitendo, mkuu!!
 
GT, nadhani ni vizuri utupe data za kisomo cha Freeman kushindwa kwake kwa sababu hizo nyingine mbili umedata kinoma.

Mimi nimefanya kazi na Freeman ambaye kwa kiasi kikubwa naweza kumlaumu kwa mengi sana lakini baada ya kufahamu ukweli zaidi nimemsamehe...

Mimi ndiye mwanzilishi wa Space 1900 mwaka 1980 pale YMCA baada ya sisi kuondoka Keys Hotel..Na tulifanya mkataba na Freeman wakati huo baba yake yupo hai na Freeman akiwa bado akisoma shule nadhani wakati huo ndio kwanza alikuwa akiingia kidato cha nne au tano..Alifahamu uwezo tuliokuwa nao sisi laa sivyo asingekubali hata kidogo - at age naweza sema pengine 18.
Tuliendelea kupiga pale Mbowe tukafunika mji mzima na Freeman alipomaliza masomo yake alikuja kuendeleza biashara ya baba yake. Binafsi nilikuwa namwona mshamba tu hawezi kuingia mjini na speed alokuja nayo lakini kumbe jamaa alikuwa akisoma nyakati...

Kufikia mwaka 1984 Freeman alikuwa tayari akisukuma BMW 5 series, kijana wa miaka 20 enzi ya mwalimu. Katika hesabu zake aliona hakuna haja ya kukodisha watu hivyo akatupiga mtama Space 1900 tukahamia New Africa..Baada ya hapo Space ilikwisha na kuvurugika kabisa jambo ambalo binafsi nilimwona mnyama lakini kusema kweli hata mimi mwenyewe ningefanya hivyo kama ningekuwa nafasi yake...

Baada ya kuchukua madaraka yote mwenyewe aliweza kutumia umaarufu ambao tayari tulikwisha ujenga kuingia mageuzi mapya ya starehe hii. Freeman alifungua RSVP kashusha vitu vya kisawasawa vinavyokwenda na wakati kwa biashara hiyo..RSVP ikavuma na kila hatua ilivyozidi kuvuta watu aliweza kwenda na wakati kuweka mabadiliko ya biashara hiyo hadi kufikia kufungua Bilcanas, Hardrock cafe na juu kuongezea Much Moore hizi zote ni biashara ambazo zinaingiza fedha kuliko unavyofikiria...roughly mkuu alikuwa akiingiza kitu kama dollar 2000 hadi 3000 kwa siku za weekend tu.. kumbuka tu disco lilikuwa likipigwa seven days a week hata kama siku za kukosa aliingiza robo ya fedha hizo....bnado hujaweka hesabu za vinywaji..

Kwa hiyo unaweza sema kaanguka kibiashara leo hii kwa sababu unachoona wewe ni kufungwa kwa sehemu kutokana na Ukarabati mpya unaofanyika wakati Freeman amekuwa akifanya hivi toka achuikue madaraka ya kuiendesha Mbowe..

Ukarabati ni utamaduni ambao sisi waafrika hatuna kabisa na kama kuna kiongozi anayeweza kuonyesha tamaduni wa maintanance ktk maisha yake mwenyewe, hii ni dalili kubwa kwamba yupo ktk msitari unaonyooka ktk tamaduni za kuboresha biashara sio CCM kina Mkapa & co wanaokwenda na Punda aliyechoka kuendesha shughuli zao kiasi kwamba inabidi waibe fedha serikalini kuinua mitaji yao... Hawa wanakula hata mbegu za kupandikiza uchumi wa nchi nzima..
Tukianza kuhesabu waheshimiwa waliojaribu biashara na wameshindwa nadhani Tanzania nzima tutakuja achana na wanasiasa tuwaweke kina Bakhresa, Mengi, Mama Mkapa na pengine hata kina Patel kuongoza nchi maanake hawa ndio wameweza kufanikiwa shuleni, biashara na hata kuingia ktk Politics za Ikulu kupata umaarufu ktk biashara zao. Wabongo wanasema MWIZI SIO MWIZI HADI HAPO ATAKAPO KAMATWA..ndio hawa unaotaka kuwasifia hapa.

Ni imani ambayo imewapa nguvu sana kina Mkapa, Yona, Lowassa na Karamagi na kundi zima kuvuta mabillioni hadi siku watakayo/waliyo kamatwa tumejikuta it's Too Late kwa serikali na wananchi kufanya kitu kwa sababu wameisha jenga mizizi ama ngome kimafia kutokana na fedha walizokwisha iba..

Freeman is the Businessman na Politician ambaye huwezi kumhesabu mafanikio ama umaarufu wake ktk Politics na mfanyabiashara mwingine yeyote yule anayejaribu kujiingiza ktk siasa... He is above them all kwa sababu he is the ONLY businessman aliyewahi kusimama fainali za kugombea Urais nchini!

Je, Mbowe ana mapungufu?.. hili halinga pingamizi maadam yeye ni binadamu aliyeumbwa na tamaa unaweza kuyakuta mengi ya kibinadamu lakini hajavunja sheria.. hakuna hata kesi moja inayoweza kumfunga Freeman Mbowe kama FISADI... hakuna lakini chukua mtu mdogo sana ktk tawala za CCM hata katibu kata utakuta mlolongo wa malalamishi ya wananchi katika uongozi wake..

Freeman is tough na amekua kisiasa kiasi kwamba leo hii ni anaonekana kuwa tishio kubwa la chama kizima cha CCM...

Na ajabu kubwa ni kwamba hawa Chadema watu wake wachache tu wanaweza kuitetemesha CCM nzima.. Mtazame Dr. Slaa ama Zitto hawa watu watatu tu wamekuwa pingamizi kubwa la chama kizima cha CCM chenye wasomi waliobobea kisiasa.

GT, usitake kuleta za kuleta wakati humjui Freeman..binafsi leo hii naweza sema simjui kabisa kwa sababu yale mazuri na mabaya aloyafanya enzi za ujana wetu yanaweza kuwa nje ya siasa kabisa na siwezi kumhukumu Freeman kutokana na mashindano ya Ujana wetu.. Ni wakati tofauti na watu tumekuwa kiumri hata yeye mwenyewe sii ajabu atashangaa kusikia Mkandara huyu ndiye yule alokuwa Space1900...
 
sijakimbia na wala sina mipango ya kukimbia

nimewauliza swali mmeshindwa hunijibu

nauliza tena:

Kwa nini nikimbebea bango JK,MEMBE na MKULO huwa mnashangilia sanaaa lakini nikimgusa MBOWE kidogo tu bas, mnakuwa wakali kama nyuki?


Kuhusu Mbowe na gari ni kweli na mwenyewe alipoulizwa na redio station ya East Africa hapa Uk alisema kuwa yeye alinunua gari lakini hakujua kama liliibiwa

kuhusu Credit Card nashangaa hii sijui imetoka wapi lakini hivi mimi nikiwa mtu wa Credit Card Hassan Ikangaa , SIPO watakuwa akina nani?

acheni hizo jama

issue hapa ni kujadili hoja zilizotolewa kwenye hiyo think piece lakini ukweli ni kuwa wengi ya hawa mnaomtetea Mbowe hamtaki kuwa wakweli kwenye mambo mengi na mko tayari kumfuata Mbowe bila kuuliza maswali ya msingi..lakini naona dapa itabidi ni muactivate MSWAHILI adeal na nyinyi

Binafsi sisapoti CCM wala CUF wala CHADEMA lakini nyie mmekuwa kama makada vipofu
 
You are not fair at all. Anunue gari ya Wizi awe nayo huru mpaka sasa? Nenda www.chadema.net CHADEMA imetangaza hadharani kiasi cha pesa ambacho tumetumia katika kampeni na tumezitoa wapi. Suala la Mnyika kusoma ni kazi ya Mbowe kweli jamani? Mnyika anasoma, bado kijana mdogo na umri unamruhusu. Zaidi ya yote ni kijana mwenye akili nyingi na atafanikiwa shule. Kama una chuki binafsi na Freeman Mbowe tafadhali usizilete kwenye jamvi. Freeman hakupokea senti tano kutoka conservative kwa ajili ya kampeni. Freeman hajanunua gari ya wizi. Freeman ahajafail chochote.

I cant believe eti na wewe umekuja kujadili huu mjadala.

Mnyika anasoma wapi na ansomea nini na nani anamlipia hayo masomo?

lakini zaidi ya yote hayo its good to see you around
 
GT, nadhani ni vizuri utupe data za kisomo cha Freeman kushindwa kwake kwa sababu hizo nyingine mbili umedata kinoma.
Mimi nimefanya kazi na Freeman ambaye kwa kiasi kikubwa naweza kumlaumu kwa mengi sana lakini baada ya kufahamu ukweli zaidi nimemsamehe...
Mimi ndiye mwanzilishi wa Space 1900 mwaka 1980 pale YMCA baada ya sisi kuondoka Keys Hotel..Na tulifanya mkataba na Freeman wakati huo baba yake yupo hai na Freeman akiwa bado akisoma shule nadhani wakati huo ndio kwanza alikuwa akiingia kidato cha nne au tano..Alifahamu uwezo tuliokuwa nao sisi laa sivyo asingekubali hata kidogo - at age naweza sema pengine 18.
Tuliendelea kupiga pale Mbowe tukafunika mji mzima na Freeman alipomaliza masomo yake alikuja kuendeleza biashara ya baba yake. Binafsi nilikuwa namwona mshamba tu hawezi kuingia mjini na speed alokuja nayo lakini kumbe jamaa alikuwa akisoma nyakati...
Kufikia mwaka 1984 Freeman alikuwa tayari akisukuma BMW 5 series, kijana wa miaka 20 enzi ya mwalimu. Katika hesabu zake aliona hakuna haja ya kukodisha watu hivyo akatupiga mtama Space 1900 tukahamia New Africa..Baada ya hapo Space ilikwisha na kuvurugika kabisa jambo ambalo binafsi nilimwona mnyama lakini kusema kweli hata mimi mwenyewe ningefanya hivyo kama ningekuwa nafasi yake...
Baada ya kuchuka madaraka yote yan na yeye mwenye akaweza kutumia umaarufu ambao tayari tulikwisha ujenga kuingia mageuzi mapya ya starehe hii. Freeman alifungua RSVP ikavuma na kila hatua ilivyozidi kuvuta watu aliweza kwenda na wakati kuweka mabadiliko ya biashara hiyo hadi kufikia kufungua Bilcanas, Hardrock cafe na juu kuongezea Much Moore hizi zote ni biashara ambazo zinaingiza fedha kuliko unavyofikiria...roughly mkuu alikuwa akiingiza kitu kama dollar 2000 hadi 3000 kwa siku za weekend tu.. kumbuka tu disco lilikuwa likipigwa seven days a week hata kama siku za kukosa aliingiza robo ya fedha hizo....bnado hujaweka hesabu za vinywaji..
Kwa hiyo unaweza sema kaanguka kibiashara leo hii kwa sababu unachoona wewe ni kufungwa kwa sehemu kutokana na Ukarabati mpya unaofanyika wakati Freeman amekuwa akifanya hivi toka achuikue madaraka ya kuiendesha Mbowe..
Ukarabati ni utamaduni ambao sisi waafrika hatuna kabisa na kama kuna kiongozi anayeweza kuonyesha tamaduni wa maintanance ktk maisha yake mwenyewe, hii ni dalili kubwa kwamba yupo ktk msitari unaonyooka ktk tamaduni za kuboresha biashara sio CCM kina Mkapa & co wanaokwenda na Punda aliyechoka kuendesha shughuli zao kiasi kwamba inabidi waibe fedha serikalini kuinua mitaji yao... Hawa wanakula hata mbegu za kupandikiza uchumi wa nchi nzima..
Tukianza kuhesabu waheshimiwa waliojaribu biashara na wameshindwa nadhani Tanzania nzima tutakuja achana na wanasiasa tuwaweke kina Bakhresa, Mengi, Mama Mkapa na pengine hata kina Patel kuongoza nchi maanake hawa ndio wameweza kufanikiwa shuleni, biashara na hata kuingia ktk Politics za Ikulu kupata umaarufu ktk biashara zao. Wabongo wanasema MWIZI SIO MWIZI HADI HAPO ATAKAPO KAMATWA..ndio hawa unaotaka kuwasifia hapa.
Ni imani ambayo imewapa nguvu sana kina Mkapa, Yona, Lowassa na Karamagi na kundi zima kuvuta mabillioni hadi siku watakayo/waliyo kamatwa tumejikuta it's Too Late kwa serikali na wananchi kufanya kitu kwa sababu wameisha jenga mizizi ama ngome kimafia kutokana na fedha walizokwisha iba..
Freeman is the Businessman na Politician ambaye huwezi kumhesabu mafanikio ama umaarufu wake ktk Politics na mfanyabiashara mwingine yeyote yule anayejaribu kujiingiza ktk siasa... He is above them all kwa sababu he is the ONLY businessman aliyewahi kusimama fainali za kugombea Urais nchini!

Je, Mbowe ana mapungufu?.. hili halinga pingamizi maadam yeye ni binadamu aliyeumbwa na tamaa unaweza kuyakuta mengi ya kibinadamu lakini hajavunja sheria.. hakuna hata kesi moja inayoweza kumfunga Freeman Mbowe kama FISADI... hakuna lakini chukua mtu mdogo sana ktk tawala za CCM hata katibu kata utakuta mlolongo wa malalamishi ya wananchi katika uongozi wake..
Freeman is tough na amekua kisiasa kiasi kwamba leo hii ni anaonekana kuwa tishio kubwa la chama kizima cha CCM...
Na ajabu kubwa ni kwamba hawa Chadema watu wake wachache tu wanaweza kuitetemesha CCM nzima.. Mtazame Dr. Slaa ama Zitto hawa watu watatu tu wamekuwa pingamizi kubwa la chama kizima cha CCM chenye wasomi waliobobea kisiasa.
GT, usitake kuleta za kuleta wakati humjui Freeman..binafsi leo hii naweza sema simjui kabisa kwa sababu yale mazuri na mabaya aloyafanya enzi za ujana wetu yanaweza kuwa nje ya siasa kabisa na siwezi kumhukumu Freeman kutokana na mashindano ya Ujana wetu.. Ni wakati tofauti na watu tumekuwa kiumri hata yeye mwenyewe sii ajabu atashangaa kusikia Mkandara huyu ndiye yule alokuwa Space1900...



duh! hata wewe nawe uko kwenye kundi hili!

hivi kwa akili yako unaamini kabiisa Freeman anaweza akaja kuwa Rais wa Jamhuri ya watu milioni 40 Tanzania?
 
.. mie nam-compare GT na yule Pastor wa Obama, Rev. Wright, huyu jamaa inaonekana ni smart(kama Rev. Wright)...lakini ni CHIZI(kama Rev. Wright) na anaendeshwa sana nahisia za chuki na uswahili ulokithiri( of course kama Rev. Wright)!! kusoma au kutokusoma kwa Mnyika kuna kuhusu nini brotha!? Hata ktk ile thread ya msiba wa yule ndugu hapo Londonstan(week chache zilizopita), kwa standard zangu na wengi ambao ni waungwana..ulivuka mipaka!!! mwambie Steve D akupatie a chill pill........loh, au ndio mlivyo watu wa Mafia?? uungwana ni vitendo, mkuu!!

duh! mambo ya Rev Wright tena?

haya bwana
 
GT, nadhani ni vizuri utupe data za kisomo cha Freeman kushindwa kwake kwa sababu hizo nyingine mbili umedata kinoma.
Mimi nimefanya kazi na Freeman ambaye kwa kiasi kikubwa naweza kumlaumu kwa mengi sana lakini baada ya kufahamu ukweli zaidi nimemsamehe...
Mimi ndiye mwanzilishi wa Space 1900 mwaka 1980 pale YMCA baada ya sisi kuondoka Keys Hotel..Na tulifanya mkataba na Freeman wakati huo baba yake yupo hai na Freeman akiwa bado akisoma shule nadhani wakati huo ndio kwanza alikuwa akiingia kidato cha nne au tano..Alifahamu uwezo tuliokuwa nao sisi laa sivyo asingekubali hata kidogo - at age naweza sema pengine 18.
Tuliendelea kupiga pale Mbowe tukafunika mji mzima na Freeman alipomaliza masomo yake alikuja kuendeleza biashara ya baba yake. Binafsi nilikuwa namwona mshamba tu hawezi kuingia mjini na speed alokuja nayo lakini kumbe jamaa alikuwa akisoma nyakati...
Kufikia mwaka 1984 Freeman alikuwa tayari akisukuma BMW 5 series, kijana wa miaka 20 enzi ya mwalimu. Katika hesabu zake aliona hakuna haja ya kukodisha watu hivyo akatupiga mtama Space 1900 tukahamia New Africa..Baada ya hapo Space ilikwisha na kuvurugika kabisa jambo ambalo binafsi nilimwona mnyama lakini kusema kweli hata mimi mwenyewe ningefanya hivyo kama ningekuwa nafasi yake...
Baada ya kuchuka madaraka yote mwenyewe akaweza kutumia umaarufu ambao tayari tulikwisha ujenga kuingia mageuzi mapya ya starehe hii. Freeman alifungua RSVP kashusha vitu vya kisawasawa vinavyokwenda na wakati kwa biashara hiyo..RSVP ikavuma na kila hatua ilivyozidi kuvuta watu aliweza kwenda na wakati kuweka mabadiliko ya biashara hiyo hadi kufikia kufungua Bilcanas, Hardrock cafe na juu kuongezea Much Moore hizi zote ni biashara ambazo zinaingiza fedha kuliko unavyofikiria...roughly mkuu alikuwa akiingiza kitu kama dollar 2000 hadi 3000 kwa siku za weekend tu.. kumbuka tu disco lilikuwa likipigwa seven days a week hata kama siku za kukosa aliingiza robo ya fedha hizo....bnado hujaweka hesabu za vinywaji..
Kwa hiyo unaweza sema kaanguka kibiashara leo hii kwa sababu unachoona wewe ni kufungwa kwa sehemu kutokana na Ukarabati mpya unaofanyika wakati Freeman amekuwa akifanya hivi toka achuikue madaraka ya kuiendesha Mbowe..
Ukarabati ni utamaduni ambao sisi waafrika hatuna kabisa na kama kuna kiongozi anayeweza kuonyesha tamaduni wa maintanance ktk maisha yake mwenyewe, hii ni dalili kubwa kwamba yupo ktk msitari unaonyooka ktk tamaduni za kuboresha biashara sio CCM kina Mkapa & co wanaokwenda na Punda aliyechoka kuendesha shughuli zao kiasi kwamba inabidi waibe fedha serikalini kuinua mitaji yao... Hawa wanakula hata mbegu za kupandikiza uchumi wa nchi nzima..
Tukianza kuhesabu waheshimiwa waliojaribu biashara na wameshindwa nadhani Tanzania nzima tutakuja achana na wanasiasa tuwaweke kina Bakhresa, Mengi, Mama Mkapa na pengine hata kina Patel kuongoza nchi maanake hawa ndio wameweza kufanikiwa shuleni, biashara na hata kuingia ktk Politics za Ikulu kupata umaarufu ktk biashara zao. Wabongo wanasema MWIZI SIO MWIZI HADI HAPO ATAKAPO KAMATWA..ndio hawa unaotaka kuwasifia hapa.
Ni imani ambayo imewapa nguvu sana kina Mkapa, Yona, Lowassa na Karamagi na kundi zima kuvuta mabillioni hadi siku watakayo/waliyo kamatwa tumejikuta it's Too Late kwa serikali na wananchi kufanya kitu kwa sababu wameisha jenga mizizi ama ngome kimafia kutokana na fedha walizokwisha iba..
Freeman is the Businessman na Politician ambaye huwezi kumhesabu mafanikio ama umaarufu wake ktk Politics na mfanyabiashara mwingine yeyote yule anayejaribu kujiingiza ktk siasa... He is above them all kwa sababu he is the ONLY businessman aliyewahi kusimama fainali za kugombea Urais nchini!

Je, Mbowe ana mapungufu?.. hili halinga pingamizi maadam yeye ni binadamu aliyeumbwa na tamaa unaweza kuyakuta mengi ya kibinadamu lakini hajavunja sheria.. hakuna hata kesi moja inayoweza kumfunga Freeman Mbowe kama FISADI... hakuna lakini chukua mtu mdogo sana ktk tawala za CCM hata katibu kata utakuta mlolongo wa malalamishi ya wananchi katika uongozi wake..
Freeman is tough na amekua kisiasa kiasi kwamba leo hii ni anaonekana kuwa tishio kubwa la chama kizima cha CCM...
Na ajabu kubwa ni kwamba hawa Chadema watu wake wachache tu wanaweza kuitetemesha CCM nzima.. Mtazame Dr. Slaa ama Zitto hawa watu watatu tu wamekuwa pingamizi kubwa la chama kizima cha CCM chenye wasomi waliobobea kisiasa.
GT, usitake kuleta za kuleta wakati humjui Freeman..binafsi leo hii naweza sema simjui kabisa kwa sababu yale mazuri na mabaya aloyafanya enzi za ujana wetu yanaweza kuwa nje ya siasa kabisa na siwezi kumhukumu Freeman kutokana na mashindano ya Ujana wetu.. Ni wakati tofauti na watu tumekuwa kiumri hata yeye mwenyewe sii ajabu atashangaa kusikia Mkandara huyu ndiye yule alokuwa Space1900
...

Hii Mkandara,

Afadhali umuumbue huyu Dr Who aliyejaa majungu na udaku na wakati akijifanya kujua kila kitu. Unamuona vile anavyotoa maneno ya kashfa dhidi ya Mods hapa JF?

Yeye kujifanya anajua kila kitu na kusema kuwa wana JF wengine hawajui kitu. Aliishiwa hadi akaanza kuleta habari za uongo kama kunywa sumu kwa Chenge na kutoa email address za watu hapa.

Ana laana huyu hadi anatisha.
 
sijakimbia na wala sina mipango ya kukimbia

nimewauliza swali mmeshindwa hunijibu

nauliza tena:

Kwa nini nikimbebea bango JK,MEMBE na MKULO huwa mnashangilia sanaaa lakini nikimgusa MBOWE kidogo tu bas, mnakuwa wakali kama nyuki?


Kuhusu Mbowe na gari ni kweli na mwenyewe alipoulizwa na redio station ya East Africa hapa Uk alisema kuwa yeye alinunua gari lakini hakujua kama liliibiwa

kuhusu Credit Card nashangaa hii sijui imetoka wapi lakini hivi mimi nikiwa mtu wa Credit Card Hassan Ikangaa , SIPO watakuwa akina nani?

acheni hizo jama

issue hapa ni kujadili hoja zilizotolewa kwenye hiyo think piece lakini ukweli ni kuwa wengi ya hawa mnaomtetea Mbowe hamtaki kuwa wakweli kwenye mambo mengi na mko tayari kumfuata Mbowe bila kuuliza maswali ya msingi..lakini naona dapa itabidi ni muactivate MSWAHILI adeal na nyinyi

Binafsi sisapoti CCM wala CUF wala CHADEMA lakini nyie mmekuwa kama makada vipofu

Huna chochote wewe mwizi wa credit cards. Unatafutwa na polisi na siku si nyingi utaishia jela tu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom