Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
GT,
Hapana mkuu swala la Kuamini ni swala ambalo linajenga uchovu wa akili kwa sababu binafsi sikuamini kabisa kuwa Kikwete angeweza kuja kuwa rais pamoja na kwamba niliwahi sikia watu wakisema alimshinda Mkapa...
Machache niliyokuwa nikiyafahamu kuhusu yeye yalinijenga imani kubwa kwamba hawezi kuwa rais nikitazama watu waliojipanga mbele yake.. lakini I was wrong... hivyo imani ya kudhania haiwezi kuwa ndio UKWELI.
 
duh! hata wewe nawe uko kwenye kundi hili!

hivi kwa akili yako unaamini kabiisa Freeman anaweza akaja kuwa Rais wa Jamhuri ya watu milioni 40 Tanzania?

enhee NABII GAME THEORY tupe yatakayojiri kwa siku za usoni...
 
GT,
Hapana mkuu swala la Kuamini ni swala ambalo linajenga uchovu wa akili kwa sababu binafsi sikuamini kabisa kuwa Kikwete angeweza kuja kuwa rais pamoja na kwamba niliwahi sikia watu wakisema alimshinda Mkapa...
Machache niliyokuwa nikiyafahamu kuhusu yeye yalinijenga imani kubwa kwamba hawezi kuwa rais nikitazama watu waliojipanga mbele yake.. lakini I was wrong... hivyo imani ya kudhania haiwezi kuwa ndio UKWELI.

hivyo unaamini kuwa Freeman Mbowe anaweza kuja kuwa rais wa Tanzania?

kama ni kweli je sababu zipi zimekupelekea kuamini kuwa ana tick..mimi naamini Mbowe akisimama urasi dhidi ya Makamba basi Makamba atashinda
 
sijakimbia na wala sina mipango ya kukimbia

nimewauliza swali mmeshindwa hunijibu

nauliza tena:

Kwa nini nikimbebea bango JK,MEMBE na MKULO huwa mnashangilia sanaaa lakini nikimgusa MBOWE kidogo tu bas, mnakuwa wakali kama nyuki?


Kuhusu Mbowe na gari ni kweli na mwenyewe alipoulizwa na redio station ya East Africa hapa Uk alisema kuwa yeye alinunua gari lakini hakujua kama liliibiwa

kuhusu Credit Card nashangaa hii sijui imetoka wapi lakini hivi mimi nikiwa mtu wa Credit Card Hassan Ikangaa , SIPO watakuwa akina nani?

acheni hizo jama

issue hapa ni kujadili hoja zilizotolewa kwenye hiyo think piece lakini ukweli ni kuwa wengi ya hawa mnaomtetea Mbowe hamtaki kuwa wakweli kwenye mambo mengi na mko tayari kumfuata Mbowe bila kuuliza maswali ya msingi..lakini naona dapa itabidi ni muactivate MSWAHILI adeal na nyinyi

Binafsi sisapoti CCM wala CUF wala CHADEMA lakini nyie mmekuwa kama makada vipofu

Wengi wetu sio kwamba tunataka kumtetea Mbowe kwa kuwa ni wanachama wa CHADEMA, wengi hatushabikii chama chochote cha siasa Tanzania, bali tunataka kuona maendeleo ya kweli yanagusa kila kona ya Tanzania na kuinua viwango vya maisha ya Watanzania walio wengi.

Sasa kufeli kwa Mbowe katika masomo, biashara na siasa kunahitaji kweli kupoteza nguvu zetu na muda kulijadili hili wakati ufisadi ambao unashamiri kila kukicha na mafisadi wakiendelea kula maraha bila kuguswa na mkono wa sheria ilhali Watanzania walio wengi wanaendelea kuishi maisha yenye dhiki kubwa?

Kama sio Slaa wa Chadema tungejua uozo uliotokea pale BoT wa kuchota mabilioni ya shilingi yaliyoingia mifukoni mwa mafisadi?

Kama sio Zitto wa Chadema tungejua kama mkataba wa Buzwagi ulisainiwa UK? kumbuka Karamagi na chama cha mafisadi walishasema yote hayo ni uzushi tu na Slaa na Zitto wakatishiwa kufungulia mashtaka.

Give credit where credit is due. Pamoja na kuwa Chadema hakiko madarakani, tangu 2005 JK aingie madarakani chama hicho kimekuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuwa hakishindi chaguzi kuliko CCM. CCM sasa hivi inayumba kutokana na uozo uliofunuliwa na Chadema labda unaweza kukiinua chama hicho ili kupata wabunge wengi kama chama cha mafisadi watasimamisha mchezo wao wa kutisha wananchi na kuiba kura

Kigumu chama cha mafisadi! Kigumu!
 
hivyo unaamini kuwa Freeman Mbowe anaweza kuja kuwa rais wa Tanzania?

kama ni kweli je sababu zipi zimekupelekea kuamini kuwa ana tick..mimi naamini Mbowe akisimama urasi dhidi ya Makamba basi Makamba atashinda

Imani hazisaidii chochote kwenye politics. Unaweza kuamini kitu na kisitokee. Kwa imani zako, Mbowe akisimama na Chenge (ambaye ulitaka kumuua kwa sumu) basi Chenge atashinda. Imani ni tofauti na reality.
 
Wengi wetu sio kwamba tunataka kumtetea Mbowe kwa kuwa ni wanachama wa CHADEMA, wengi hatushabikii chama chochote cha siasa Tanzania, bali tunataka kuona maendeleo ya kweli yanagusa kila kona ya Tanzania na kuinua viwango vya maisha ya Watanzania walio wengi.

Sasa kufeli kwa Mbowe katika masomo, biashara na siasa kunahitaji kweli kupoteza nguvu zetu na muda kulijadili hili wakati ufisadi ambao unashamiri kila kukicha na mafisadi wakiendelea kula maraha bila kuguswa na mkono wa sheria ilhali Watanzania walio wengi wanaendelea kuishi maisha yenye dhiki kubwa?

Kama sio Slaa wa Chadema tungejua uozo uliotokea pale BoT wa kuchota mabilioni ya shilingi na kuingia mifukoni mwa mafisadi?

Kama sio Zitto wa Chadema tungejua kama mkataba wa Buzwagi ulisainiwa UK? kumbukua Karamagi na chama cha mafisadi walisema yote hayo ni uzushi tu na wakatishiwa kufunguli madaraka.

Give credit where credit is due. Pamoja na kuwa Chadema hakiko madarakani, tangu 2005 JK aingie madarakani chama hicho kimekuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuwa hakishindi chaguzi kuliko CCM. CCM sasa hivi inayumba kutokana na uozo uliofunuliwa na Chadema labda unaweza kukiinua chama hicho ili kupata wabunge wengi kama chama cha mafisadi watasimamisha mchezo wao wa kutisha wananchi na kuiba kura

Kigumu chama cha mafisadi! Kigumu!



Nadhani unajua kama mimi sina hiyana pale nitakapo oona kuna dalili..mimi binafsi kati ya ZITTO na MBOWE basi naona kuna hopes zaidi kwa ZItto...maana at least naweza kusema bado hajawa mchafu sana

pili kuhusu kuexpose ufisadi basi kwa taarifa yako JF na KLHNEWS kule kwa MWANAKIJIJI zinatakiwa ipewe credit kuliko hao CHADEMA

Na mbaya zaidi CHADEMA kuwa hawa acknoledge KUWA DATA WAMEZIPATA JF
 
Imani hazisaidii chochote kwenye politics. Unaweza kuamini kitu na kisitokee. Kwa imani zako, Mbowe akisimama na Chenge (ambaye ulitaka kumuua kwa sumu) basi Chenge atashinda. Imani ni tofauti na reality.

hivi leo hulali?
 
GT,
Mkuu hilo neo huna HIYANA kidogo lanitisha maanake kiswahili chetu wengine bado kina vumbi la Pwani...
Yaani kweli huna Hiyana mkuu! kwii kwii kwiii!
 
Wengi wetu sio kwamba tunataka kumtetea Mbowe kwa kuwa ni wanachama wa CHADEMA, wengi hatushabikii chama chochote cha siasa Tanzania, bali tunataka kuona maendeleo ya kweli yanagusa kila kona ya Tanzania na kuinua viwango vya maisha ya Watanzania walio wengi.

Sasa kufeli kwa Mbowe katika masomo, biashara na siasa kunahitaji kweli kupoteza nguvu zetu na muda kulijadili hili wakati ufisadi ambao unashamiri kila kukicha na mafisadi wakiendelea kula maraha bila kuguswa na mkono wa sheria ilhali Watanzania walio wengi wanaendelea kuishi maisha yenye dhiki kubwa?

Kama sio Slaa wa Chadema tungejua uozo uliotokea pale BoT wa kuchota mabilioni ya shilingi yaliyoingia mifukoni mwa mafisadi?

Kama sio Zitto wa Chadema tungejua kama mkataba wa Buzwagi ulisainiwa UK? kumbuka Karamagi na chama cha mafisadi walishasema yote hayo ni uzushi tu na Slaa na Zitto wakatishiwa kufungulia mashtaka.

Give credit where credit is due. Pamoja na kuwa Chadema hakiko madarakani, tangu 2005 JK aingie madarakani chama hicho kimekuwa na mafanikio makubwa pamoja na kuwa hakishindi chaguzi kuliko CCM. CCM sasa hivi inayumba kutokana na uozo uliofunuliwa na Chadema labda unaweza kukiinua chama hicho ili kupata wabunge wengi kama chama cha mafisadi watasimamisha mchezo wao wa kutisha wananchi na kuiba kura

Kigumu chama cha mafisadi! Kigumu!

Kweli kabisa Bubu,

Wengine hapa tu wafuasi wa CUF na mimi binafsi nilimpigia kura mbunge wa CUF kule kwetu........ mara mbili lakini tumeona kazi ya CHADEMA kwenye utetezi wa masilahi ya nchi.

Kutoa credit kwa viongozi wa chadema sio lazima iwe ukada bali ni kufurahia kazi njema inayofanyika.
 
Mbowe ata resign na kesi yake itafutwa na probably anaweza kurudi CCM and all will be forgotten

inshort hawa watu wanajuana

USijeanza kusema kuwa amekunywa sumu.... umeishiwa kabisaaaa huna mpya tena.
 
GT,
Mkuu hilo neo huna HIYANA kidogo lanitisha maanake kiswahili chetu wengine bado kina vumbi la Pwani...
Yaani kweli huna Hiyana mkuu! kwii kwii kwiii!

mbuzi-2.jpg
 
Kweli kabisa Bubu,

Wengine hapa tu wafuasi wa CUF na mimi binafsi nilimpigia kura mbunge wa CUF kule kwetu........ mara mbili lakini tumeona kazi ya CHADEMA kwenye utetezi wa masilahi ya nchi.

Kutoa credit kwa viongozi wa chadema sio lazima iwe ukada bali ni kufurahia kazi njema inayofanyika.

new20police20bikesWa7fI-1.jpg
 
Hii thread kama haifai kuwa kwenye udaku sijui ninini tena kinafaa kuwa huko. Yaani GT ameishiwa hadi kufikia kiwango hiki? Ama kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.

Mods please peleka thread hii kwenye udaku muda wake ukifika.
 
leo usiku nadhani ntashinda kwenye hii mada. Subiri nikalete atiko moja hivi ya huyu MBOWE !
 

Bora umekuja maana jamaa wanataka kuntoa macho mwenzio

najua asubuhi MSWAHILI atatake over

Wewe lipa credit cards ulizofoji kwani utatiwa jela karibuni.

Inachekesha kuona mwizi kama wewe ukisingizia wenzako kuwa ni wezi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom