DR WHO, I mean GT,
Sishangai kwamba unaendelea kumbeza Freeman. Tangu nikujue kwenye hii forum umekuwa na maswali yanayoashiria kutokuwa na imani kwako na CHADEMA na viongozi wake. Suala la uhusiano wao na British Conservative Party, na sasa unaibua tena suala la kuibiwa kwa Range Rover. Kama hiyo gari ni ya wizi na unazo data wape Interpol, watashughulikia. Yeye bado anasoma sasa unauliza kwa nini anapata shida kumsomesha Mnyika. Kama unao uwezo basi mpatie kijana huyo scholarship .... aah! lakini kwingineko nimeshaona mtu anamwuliza Mnyika kwa nini hajiendelezi kielimu..jamani kama mnao uwezo wa kumsaidia kijana huyo basi utoeni.