leo usiku nadhani ntashinda kwenye hii mada. Subiri nikalete atiko moja hivi ya huyu MBOWE !
Watetezi wa mafisadi mmepata pa kuingilia sasa naona leo kina Rostam Azizi watachinja mbuzi.
leo usiku nadhani ntashinda kwenye hii mada. Subiri nikalete atiko moja hivi ya huyu MBOWE !
sijakimbia na wala sina mipango ya kukimbia
nimewauliza swali mmeshindwa hunijibu
nauliza tena:
Kwa nini nikimbebea bango JK,MEMBE na MKULO huwa mnashangilia sanaaa lakini nikimgusa MBOWE kidogo tu bas, mnakuwa wakali kama nyuki?
Kuhusu Mbowe na gari ni kweli na mwenyewe alipoulizwa na redio station ya East Africa hapa Uk alisema kuwa yeye alinunua gari lakini hakujua kama liliibiwa
kuhusu Credit Card nashangaa hii sijui imetoka wapi lakini hivi mimi nikiwa mtu wa Credit Card Hassan Ikangaa , SIPO watakuwa akina nani?
acheni hizo jama
issue hapa ni kujadili hoja zilizotolewa kwenye hiyo think piece lakini ukweli ni kuwa wengi ya hawa mnaomtetea Mbowe hamtaki kuwa wakweli kwenye mambo mengi na mko tayari kumfuata Mbowe bila kuuliza maswali ya msingi..lakini naona dapa itabidi ni muactivate MSWAHILI adeal na nyinyi
Binafsi sisapoti CCM wala CUF wala CHADEMA lakini nyie mmekuwa kama makada vipofu
tatizo la wanaCCM, wanafikiri kila mtanzania ni mwanasiasa! na ikitokea akakosoa serikali au chama (CCM), basi kwao ni mpinzani!! sijui lini mtaelimika!
Kwanza wewe kubali kwamba ulighushi Credit Card afu ndio tuangalie ya Mbowe. Hapa ni credibility yako wewe kwanza. Hakuna anayemfata Mbowe hapa ni credibility ya hoja yako. Umeshindwa kuweka ushahidi wa kufeli kwa Mbowe sembuse pumba unazofoka? Au tugoje source yako ya mswahili? Afu rejea maandishi yako ya tarehe 18th December 2007 06:12 PM.
Heshima kwako GT,MBOWE anapata watetezi wengi kwa sababu ni mtu makini,mwenye uchungu na raia wa nchi hii na chama chake Chadema kinafanya kazi ipasavyo chini ya uongozi wake.Kikwete amewakumbatia viongozi mafisadi na viongozi wala rushwa ndio maana ukimbebea bango WATU TUNASHNGILIA.Mwisho acha kushupalia mambo ambayo huna uhakika nayo.
I cant believe eti na wewe umekuja kujadili huu mjadala.
Mnyika anasoma wapi na ansomea nini na nani anamlipia hayo masomo?
lakini zaidi ya yote hayo its good to see you around
Hahahaha
Hii ya Mbowe nilipenda zaidi
watu tunaweza kureverse kwa kuanzia kuleee kwenye issue ya WAPUKI, mpaka kwenye tuhuma za kuuziwa magari ya wizi na akina Saleh Ziebi ( Range Rover Vogue new model) ili hali akijua kuwa ni la wizi huku London then atuambie kama kweli alideclare kiasi gani CHADEMA walipewa na Conservative (UK), kisha atuambie kwa nini anaona tabu kumsomesha JJ MNYIKA halafu tusisahau ule mkopo wa NSSF
this should be an interesting one...
sio majungu tu haya?
GT na Kana ka Nsungu
Mnatulazimisha tena kupoteza muda wetu kuwashambulia ninyi na tukaacha kujadili issues nyingi tu.
Lakini niwafahamishe tu kuwa ukiona mchezaji anakabwa uwanjani basi ujue huyo ana mpira. Hakuna mchezaji asiye na mpira wala ambaye hawezi kusababisha hatari ya kufunga au kufunga mwenyewe ambaye kamwe atakabwa.
Nafikiri ni muhimu Freeman akabwe kwani ndiye mwenye mpira. CHADEMA imemiliki mpira muda mwingi wa mchezo kwa nini wachezaji wake washambuliaji wasikabwe. GT na wenzako kazi kwenu kukaba. Hata penati kabeni. Hata mpira ukiisha endeleeni kukaba.
Ya leo kali.