Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
Mmeshindwa kumuelewa Mtanzania sasa mmebaki kubeza, ati "hatukutegemea Mtanzania kufanya hivi"!!! Jamaa amewasilisha mawazo yake kwa kuto ridhishwa na uamuzi ulofanyika.......sasa tatizo liwapi?
 
Kumbe chanzo cha email ni Mwamvita Makamba?

WOW! Mwavita Makamba alikuwaga changudoa alipokuwa chuo kikuu na ndio huko alipompata MZUNGU aliyekuja kumuoa!

Someni alivyojibiwa alipotuma ujumbe mara ya kwanza!


Subject: Hatima Yetu: Tuchukue Hatua

Nakupa pole kwani nadhani kazi unayo mwaka huu,

umeanza vizuri kwa kujiandikia makala na kujitumia kwa anuani ya Wana Mabadiliko Chadema chademampya@gmail.com, ukasahau kujua kuwa umewatumia ujumbe wako hafifu wasomi, wasomi wanaojua kwamba yeyoye yule aweza kufungua email address na kujipa jina lolote atakado ikiwa tuu jina hilo halijaaza kutumika na mtumiaji mmwingine.

dada Mwamvita ukasahau pia kuwa, watu makini husoma na kuamini makala toka kwenye anuani ya kueleweka kama ujumbe kuhusu ufisadi wa BOT toka kwa Slaa na Tundu Lissu au barua toka kwa Butiku. ukasahau kuwa utapuuzwa kama zile shutuma kwa Dr Slaa eti zimeandikwa na Zitto na Mbowe, hazikuwa nguvu na hata makala hii imeshajifia kabla haijasambaa, siyo kama ilivyo kwa barua ya Butiku

ukasahau pia kuwa chadema haipo madarakani, haina dora, hivyo mwandishi makini yeyote asingeweza kuficha jina maana kama anavyosema kuwa ana nzuri na ana ushahidi kwa nini ajifiche? anamuogopa nani? Mbowe? kwani mbowe anamiliki polisi? mbona Dr Slaa hawaogopi Mafisadi?

mwisho ukasahau kuwa ujumbe wa kwenye internet huonesha vituo na anuani zilizohusika, kwa mail yako wewe ulikuwa wa kwanza kuipata na haioneshi anuani za wegine waliopata awali, yaani mwandishi mwenye nia njema ya kukichenga chadema anapeleka hoja CCM, kituko, yaani mwandishi alikutumia wewe peke yako na wewe ukaanza kusambaza, ungelikuwa makini zaidi ungetafuta zile address za kichama za chadema.net halafu ukatuma ujumb ukitokea huko.

pia hukujua kuwa wana chadema wana anuani rasmi za (name)@ chadema.net.

mimi nadhani unapaswa kumsaidia Baba yako ( Mzee Yusuph Makamba katibu mkuu wa CCM) kujibu makomora yanayotumwa usoni kwake na siyo kupiga porojo kama wazee wengine wa CCM, wewe ni kijana unayeamina falsafa ya maisha bora kwa KILA mtanzania sijui mnaelewa maana ya KILA MTANZANIA?

Achana na unafiki etii ooh zito na Mnyika wanajenga chama... kwani chama chako? wewe si kiongozi wa umoja wa vijana CCM, endelea kumsaidia baba yako kukijenga chama chenu hasa wakati huu muhimu wa uchaguzi wa ndani.

eti ooh mbowe anadaiwa, nani kakwambia madeni ni dhambi? Tanzania inadaiwa, itakuwa mtanzania?kama kweli anadaiwa basi anadaiwa kwa vile hayumo kwenye orodha ya mafisadi, angekuwemo asingedaiwa kwani angetumia fungu toka BOT kulipa wadeni wake. madeni ni kawaida kwa mfanya biashara.

Hoja kwamba alipewa hongo ya milioni 6 ma Mo wa METL ni upuuzi kwani haingii akilini mtu anayemiliki gazeti linaloingiza kiasi zaidi ya hicho kwa siku akubali kuhongwa 6millions. tunachojua sisi wapinzani ni kwamba kama ingekuwa rahisi kwa mbowe kuhongwa leo hii ngekuwa amerudi CCM kama ilivyo kwa Zitto, Slaa, Mnyika, Rwakatare, Maalim Sefu, Duni nk. miiba mikali ambayo Mzee makamba na kamati zake hawalali

Hoja ya ufuska wa Mbowe ni upuuzi wa kisiasa, kila mtu anamjua mbowe kuwa ni mtu makini, mwenye mvuto, au umegeuka Dr Lilian? kama Mbowe aliwahi kubaka basi nenda mahakamani kamshitaki, utakuja kufungwa kwa kutoa hoja usizokuwa na ushahidi kisa umetumwa na CCM

Huwezi kukiokoa chama kwa habari nyepesi nyepesi

eti ooh hatuwezi kuongozwa na raisi mwenye kilabu cha pombe, Mbona unakuwa mshamba? Club Billcanaz haiwezi kumzuia mtu kuwa raisi, hoja kuwa kuna machangudoa pale nje ipeleke kwa Kandoro au ungempa mzee Makamba kwani yeye ndiye wa kuwashughulikia. mbowe hajaandika bango pale kuwa club ya machangudoa

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA
HA HA HA
Usinune, ni makala tuu
waweza jibu hoja
 
Invisible,
Ukisha weka kitu kwenye Udaku maana yake ni udaku.....na hakihitaji majibu wala kuchukuliwa seriously, hiyo ndio point inayoudhi watu kama Mtanzania kwenye Jamvi hili.
 
Kikubwa tuhuma zilizotolewa zijibiwe then waanze sasa kuchafua nafikiri huu ni udaku, mnaonaje wanaJF? Hakuna mwanachadema mwenye muda wa kushughulikia trivial issues km hizi na kuna makubwa ya usalama na uchumi wa taifa yanamngoja?

hawa watakuwa vibaraka wanajaribu kudestroy attention ya watu tuache mambo ya kimsingi tuendee mambo binafsi!! wanajaribu kuwaokoa mabosi wao kwa njia yoyote sasa!

wajibu ya BOT, Richmonduli, Buzwagi, Kampuni hewa etc tutawaelewa

alaaaaaaaaa kumbe udaku eh
 
Kumbe chanzo cha email ni Mwamvita Makamba?

Nilijua tu chanzo kitajulikana na hoja itaweza kujadilika. Now we can move on! Si nilikwambia I wont delete this thread? Ndiyo sababu hii
 
ama hii kali!!.....watanzania kwa siasa chafu!! mmmh
 
mbowe jibu tuhuma za ufuska wewe ! wanachama wako tawi la JF wameshindwa kukutetea ! ibuka mwanangu mbowe !
 
yani ndio mnaona saivi kuwa waTZ wana siasa chafu.... mie nshaligundua hilo muda... na kila mtu ana interest zake ila uzuri ni kwamba wapo wasiokuwa na muda mchafu... nyie pigeni domo wenzenu wanafanya productive things
 
Kumbe chanzo cha email ni Mwamvita Makamba?

WOW! Mwavita Makamba alikuwaga changudoa alipokuwa chuo kikuu na ndio huko alipompata MZUNGU aliyekuja kumuoa!

Someni alivyojibiwa alipotuma ujumbe mara ya kwanza!




KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITI WA CHAMA
HA HA HA
Usinune, ni makala tuu
waweza jibu hoja

FD,
Hapa umemaliza kazi! Kumbe alijiandikia mwenyewe akaanza kusambaza! Kakamatwa kiulaini! Aibu kabisa!
 
ndio hapo ! mbaya zaidi distraction nyingine imeshaletwa ili hii mada isizungumzwe ! huo ugoni wa kikwete wanauona leo ama baada ya kuanzishwa thread ya ugoni wa mbowe ? ama kweli hii ni tit for tat na hapo hatutoendelea !
 
Hivi mtajifunza lini kwamba hapa JF jambo halizuliliwi kwa kutumia nguvu ya admin?

Jambo kama ni la kipuzi litakufa lenyewe, kama sio la kipuuzi waacheni wana JF wachangie.

Nawasahangaa watu ambao kila wakiona ambacho hawakubaliani nacho ni kukimbilia kwa admin. Bahati tuna maadmin makini.

Sure Mtz,
Admin kila wakati anasema hataki kubeba mzigo wa kuondoa vitu hapa.
Anyway, Haya madai yatajifia yenyewe muda si mrefu.
 
jamani vita tuliyonayo ni moja tu: kupambana na wezi na wabadhirifu wa mali ya umma. nani kalala na nani tumuachie khadija kopa.
 
ndio hapo ! mbaya zaidi distraction nyingine imeshaletwa ili hii mada isizungumzwe ! huo ugoni wa kikwete wanauona leo ama baada ya kuanzishwa thread ya ugoni wa mbowe ? ama kweli hii ni tit for tat na hapo hatutoendelea !

Hoja huzaa Hoja
 
prince, hiyo kanuni tungeifuata tungekuwa mbali sana... but ukisema hivyo watakuambia unatetea na kulinda ufuska...
 
FD,
Hapa umemaliza kazi! Kumbe alijiandikia mwenyewe akaanza kusambaza! Kakamatwa kiulaini! Aibu kabisa!

Yeah alipewa data, inawezekana kumbuka January yupo jikoni, kosa akaisambaza watu wakaingia kazini wakapata IP address na traces kibao. Kosa hakuwa makini....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom