Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
Tutawakimbiza sana mwaka huuu. Wakipika sisi tunamwaga. Wakimwaga Ugali sisi tunamwaga Mboga!
 
ndio hapo sasa ! mboga zitamwagwa pande zote mbili kwa watawala na wapinzani ! hapendwi mtu !

1-800-MBOWE-NIGHT-KALI !!
 
Mimi nilidhani kuna issue kubwa kumbe ni haya ? Mbona haya yaliusha sema na wana JF mmoja siku za nyuma .Anyway Mbowe kama anapata huu ujumbe ajibu mwenyewe .Mimi nitamtafuta na kumpa ila najua kesha pata maana si mvivu wa kusomana kuandika.Lakini hawa wana Chadema si waende kwenye Public Domain na kuweka kwenye magazeti ? Spinning zingine bwana .
 
Mimi nilidhani kuna issue kubwa kumbe ni haya ? Mbona haya yaliusha sema na wana JF mmoja siku za nyuma .Anyway Mbowe kama anapata huu ujumbe ajibu mwenyewe .Mimi nitamtafuta na kumpa ila najua kesha pata maana si mvivu wa kusomana kuandika.Lakini hawa wana Chadema si waende kwenye Public Domain na kuweka kwenye magazeti ? Spinning zingine bwana .

Lunyungu,

Kuna memba hapo juu amesema kuwa hii email imetoka kwa mtoto wa Makamba. Huwa sipendi kuanika id za watu hapa lakini unaweza kudhibitisha mwenyewe kama hiyo ni kweli. Naona Mbowe inabidi waongee na Makamba kuhusu hilo pia!
 
Mimi nilidhani kuna issue kubwa kumbe ni haya ? Mbona haya yaliusha sema na wana JF mmoja siku za nyuma .Anyway Mbowe kama anapata huu ujumbe ajibu mwenyewe .Mimi nitamtafuta na kumpa ila najua kesha pata maana si mvivu wa kusomana kuandika.Lakini hawa wana Chadema si waende kwenye Public Domain na kuweka kwenye magazeti ? Spinning zingine bwana .

BAAB KUBWA !! m-zecodemy Mbowe bana ! yaani mtafute kutumia ile ze comedy style, mkimbize kwenye gari asiposimama ita polisi !
 
ooh, member wa kawaida anaweza kujua ID au ni admn peke yake ? are we safe ? just curious !
 
ukishalog in hapa au kwenye mtandao wowote, mtu yeyote mwenye utaalamu anaweza kujua location yako na kama unatumia computer yako binafsi anaweza kujua hata id yako.
 
Nilijua tu chanzo kitajulikana na hoja itaweza kujadilika. Now we can move on! Si nilikwambia I wont delete this thread? Ndiyo sababu hii


utoto kweli yaani! wanafikiri bado tupo enzi zileee! Tumeshatoka huko, huwezi ku-survive kwa ghiliba na ujanjaujanja katika ulimwengu wa leo.It is about competence, no more, no less.
 
mbowe uko wapi babu kuja kujibu haya maswali, najua ulikuwa memba hapa !!
 
mbaya jamaa anaweza akasema CCM wanamkimbiza, lakini akishusha vioo anamuona Mzee Lunyungu ! gademu !
 
Kama chanzo kimeonekana kuwa ni binti wa Makamba kwa nini hii bado iko hapa? Jamani hii ni chini ya JF, hamisheni huu uchafu na mambo binafsi na kizushi kama haya yakome!

Subject: Hatima Yetu: Tuchukue Hatua

Nakupa pole kwani nadhani kazi unayo mwaka huu,

umeanza vizuri kwa kujiandikia makala na kujitumia kwa anuani ya Wana Mabadiliko Chadema chademampya@gmail.com, ukasahau kujua kuwa umewatumia ujumbe wako hafifu wasomi, wasomi wanaojua kwamba yeyoye yule aweza kufungua email address na kujipa jina lolote atakado ikiwa tuu jina hilo halijaaza kutumika na mtumiaji mmwingine.

dada Mwamvita ukasahau pia kuwa, watu makini husoma na kuamini makala toka kwenye anuani ya kueleweka kama ujumbe kuhusu ufisadi wa BOT toka kwa Slaa na Tundu Lissu au barua toka kwa Butiku. ukasahau kuwa utapuuzwa kama zile shutuma kwa Dr Slaa eti zimeandikwa na Zitto na Mbowe, hazikuwa nguvu na hata makala hii imeshajifia kabla haijasambaa, siyo kama ilivyo kwa barua ya Butiku

ukasahau pia kuwa chadema haipo madarakani, haina dora, hivyo mwandishi makini yeyote asingeweza kuficha jina maana kama anavyosema kuwa ana nzuri na ana ushahidi kwa nini ajifiche? anamuogopa nani? Mbowe? kwani mbowe anamiliki polisi? mbona Dr Slaa hawaogopi Mafisadi?

mwisho ukasahau kuwa ujumbe wa kwenye internet huonesha vituo na anuani zilizohusika, kwa mail yako wewe ulikuwa wa kwanza kuipata na haioneshi anuani za wegine waliopata awali, yaani mwandishi mwenye nia njema ya kukichenga chadema anapeleka hoja CCM, kituko, yaani mwandishi alikutumia wewe peke yako na wewe ukaanza kusambaza, ungelikuwa makini zaidi ungetafuta zile address za kichama za chadema.net halafu ukatuma ujumb ukitokea huko.

pia hukujua kuwa wana chadema wana anuani rasmi za (name)@ chadema.net.

mimi nadhani unapaswa kumsaidia Baba yako ( Mzee Yusuph Makamba katibu mkuu wa CCM) kujibu makomora yanayotumwa usoni kwake na siyo kupiga porojo kama wazee wengine wa CCM, wewe ni kijana unayeamina falsafa ya maisha bora kwa KILA mtanzania sijui mnaelewa maana ya KILA MTANZANIA?

Achana na unafiki etii ooh zito na Mnyika wanajenga chama... kwani chama chako? wewe si kiongozi wa umoja wa vijana CCM, endelea kumsaidia baba yako kukijenga chama chenu hasa wakati huu muhimu wa uchaguzi wa ndani.

eti ooh mbowe anadaiwa, nani kakwambia madeni ni dhambi? Tanzania inadaiwa, itakuwa mtanzania?kama kweli anadaiwa basi anadaiwa kwa vile hayumo kwenye orodha ya mafisadi, angekuwemo asingedaiwa kwani angetumia fungu toka BOT kulipa wadeni wake. madeni ni kawaida kwa mfanya biashara.

Hoja kwamba alipewa hongo ya milioni 6 ma Mo wa METL ni upuuzi kwani haingii akilini mtu anayemiliki gazeti linaloingiza kiasi zaidi ya hicho kwa siku akubali kuhongwa 6millions. tunachojua sisi wapinzani ni kwamba kama ingekuwa rahisi kwa mbowe kuhongwa leo hii ngekuwa amerudi CCM kama ilivyo kwa Zitto, Slaa, Mnyika, Rwakatare, Maalim Sefu, Duni nk. miiba mikali ambayo Mzee makamba na kamati zake hawalali

Hoja ya ufuska wa Mbowe ni upuuzi wa kisiasa, kila mtu anamjua mbowe kuwa ni mtu makini, mwenye mvuto, au umegeuka Dr Lilian? kama Mbowe aliwahi kubaka basi nenda mahakamani kamshitaki, utakuja kufungwa kwa kutoa hoja usizokuwa na ushahidi kisa umetumwa na CCM

Huwezi kukiokoa chama kwa habari nyepesi nyepesi

eti ooh hatuwezi kuongozwa na raisi mwenye kilabu cha pombe, Mbona unakuwa mshamba? Club Billcanaz haiwezi kumzuia mtu kuwa raisi, hoja kuwa kuna machangudoa pale nje ipeleke kwa Kandoro au ungempa mzee Makamba kwani yeye ndiye wa kuwashughulikia. mbowe hajaandika bango pale kuwa club ya machangudoa
 
kama mtaangalia jamaa wanatuvutia kule kwenye picha kusema wataweka after every one hour ili hapa watu wapuuzie, jamani kumbukeni kuna kiporo hapa !

Lazima tukimalize,
ZEGE HALILALI !!
 
kama mtaangalia jamaa wanatuvutia kule kwenye picha kusema wataweka after every one hour ili hapa watu wapuuzie, jamani kumbukeni kuna kiporo hapa !

Lazima tukimalize,
ZEGE HALILALI !!

Kumbe wewe kwisha jua janja yao eeeeeenh, very smart!!
 
ahhh, it doesnt take a smart person to know their dummy tricks !! ishu zinakatwa hapa hapa sasa !!

bora niwaambieni mapema anytime nitapost katuni (sio real picture kama WENYEWE walivyopromise) na hiyo katuni itaonekana "sio michosho" !!
 
Hivi huu udaku na Majira wamediriki kuuchukua na kuandika kama vile ni habari yenye mwelekeo ? Ama kweli waongo mna matatizo makubwa . Endeleeni ku spin
 
kwenye pita pita yangu, nimeona wapishi washapika hii kitu jikoni !!


Freeman Aikaeli Mbowe (born 14 September 1961) is a Tanzanian politician and chairman of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA – Party for Democracy and Development). Mbowe is a member of the Chaga ethnic group.


Mbowe CampaigningMbowe was elected to the National Assembly in 2000 representing Hai Constituency (Kilimanjaro Region). He won 64.5% of the vote, which was the highest percentage of votes won among constituencies with opposition MP's.

In preparation for the 2005 elections, Mbowe was nominated as CHADEMA's presidential candidate. Jumbe Rajab Jumbe, a Zanzibari was chosen as his vice-presidential candidate. The election was originally scheduled for 30 October 2005, but was postponed until 14 December due to the death of Jumbe.


Mbowe and Komu CampaigningMbowe criticized the lengthy postponement, saying a week's delay would have sufficed and that his party cannot afford to finance extra campaigning. Chadema eventually settled on Anna Komu to be the running mate.

He placed third out of ten candidates in the 14 December 2005 presidential election, winning 5.88% of the vote.

Mbowe is the owner of Club Bilicanas, one of the best nightclubs in Dar es Salaam. He is also the owner of Tanzania Daima, a national daily newspaper, as well as Protea Hotel Aishi Machame, a hotel in his native town of Machame, in Kilimanjaro region, Tanzania.

Mbowe is married to Lillian Mtei (daughter of Edwin Mtei, the first Governor of Bank of Tanzania). They were married on 17 August 1991. The two live happily with their children in Mikocheni A, a suburb of Dar es Salaam, Tanzania. Mbowe has three children: Dudley A. Mbowe (15), Nicole A. Mbowe (10) and Dennis E. Mbowe (7). All their children go the Dar es Salaam Independent School (D.I.S.), also in Mikocheni. Dudley also attended Haven of Peace Academy (HOPAC) in Kunduchi from Kindergarten until Grade 6.

HONGERA MHESHIMIWA MBOWE !!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom