Kwa akili za mtu asiyefikiria vizuri,kuna usawa katika hawa wanasiasa wawili.Ila ukifikiria kwa undani utaona vizuri.Tujadili mambo ya msingi sana.
Undani upi unaozungumzia? Maana hii thread imeanzishwa mwaka jana, na leo hii ilitakiwa useme ni nini umekiona baada ya muda wote huo, au ndiyo umekutana nayo leo hii?