Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Mbowe vs Chifupa + CHADEMA vs Family Business

Status
Not open for further replies.
Ama kweli kupambana na mafisadi kunahitaji kuwa na moyo wa chuma.

Nani anataka kuamini kuwa ujumbe huo umeandikwa na wanachadema?

Naona hoja za ufisadi zimekuwa nzitto kiasi kwamba hawa jamaa sasa wanafanya character assasination na watakia kazi njema ila tunahitaji majibu juu ya ufisadi .

Huyu Mbowe ambaye mahakama haimkamati amekuwa mkapa?ama analindwa na katiba ?

Haya kazi kwelikweli naam kumekucha , na mafisadi na vibaraka wao hawana pa kwenda kwa wakati huu ila ni mpambano mapka kieleweke.

Nahitaji ushahidi wa maneno mazito kama haya kwani huu sasa kama sio udaku basi ni udadaku....


hizi mbinu za WanaCCM tu akuna kitu cha kujibu haya tunayajua ngoja tu mwage ya mkuu wa kaya muone lipi nzito la Mbowe au Mkuu wa Kaya.
 
Kwanza mimi si Mwanachadema ila hapa niwaulize yule mtoto wa mjini aliempiga mtu risasi pale Dar nahakuwahi kuekwa gerezani akilala IKULU na kufuatwa na gari la Polisi kupelekwa Mahakamani ati ametoka KEKOKEKO kesho huyu takua Balozi Wetu Austaralia count on days. DItopile na Kikwete si wana hang out pamoja na ku shindana n kwa nani ana bibi zuri la Kiarabu Kule upanga nani asiejua soo la La Ditopile lilimfanya MAMA SALMA KIKWETE kumchukua mke wa Ditopile Ikulu wiiki mzima kukaa pale je kuna bishara gani pale IKULU?
 
Well this is not new. Do you guys remember fmr. President Clinton. When Clinton was the president, The Grand Ol' Party (GOP) ama Republicans using the house especially during the second term under the Speaker Newt Gingrich (Republican)worked extremely hard to come up with skeletons in Clinton's closet. The following women somehow got to testify under oath that they had sexual encounter with Bill.
1. Paula Jones
2. Kathleen Willey
3. Dolly Kyle Browning
4. Gennifer Flowers
5. Monica L
It came to be revealed that all the accusations except for that one of Monica were un true. The GOP wanted to impeach Clinton so bad..they went as far as tracing Clinton's transgressions and misconducts since the time when he was the governor of Arkansas for 12 years.

QUESTION: HIVI SPEAKER WETU WA ZAMANI MZEE MSEKWA HAKUVUNJA NDOA YAKE YA KWANZA KUWA NA HUYU MAMA ALIE NAE SASA HIVI?
 
Sio tu! kwamba watu wanaleta mauza uza humu kwenye JF, lakini hali ikiendelee hivi chombo hiki JF kitaenda mrama na kukipatikana chombo kingine makini, abiria watahamia huko!!!

Acheni majibu ya jumla jumla kwa kila jambo,,, majibu ya jumla jumla kwa kila jambo hayana tofauti na majibu ya walevi wa ulanzi, dengerua, komoni, mbege etc...
 
Ufisadi ni ufisadi tu!! Hiajalishi fisadi anavaa shati la kijani au la ocean blue! Kama mheshimiwa Mbowe anakula kondoo zake na ushahidi wenye uzito ukiwepo ni fisadi tu! Viongozi wa dini kemeeni na hii!

Si kitu kizuri kutaja majina ya watu na kufatilia maisha yao binafsi. Lakini ni kitu cha muhimu sana kuielimisha jamii kuwa kiongozi yeyote ni lazima awe mtu msafi na mwenye kukazia maadili.

Kiongozi mzinzi, fisadi, msaliti, mla rushwa, mbinafsi, na asiye na moyo wa kizalendo hatufai... Hizi zote ni dhambi kwa Mungu na kwa Taifa.

Natumaini sio nia ya forum hii kufatilia maisha binafsi ya watu. Lakini maisha binafsi ya mtu kama ni mabovu, ni kazi ya forum hii kuusaidia uma ujue kuwa mtu huyo hatufai. Cha muhimu ni kufanyia kazi facts na sio uzushi ambao wakati mwingine unatokana na tofauti binafsi za watu. Kama kuna facts zenye uzito... jamvi lazima lifanye kazi.
 
Unajua kwa nini Slaa aliamua kuwataja hao anaowaita mafisadi kwa majina?. ili kuihabarisha jamii kuhusu hao anaosema ni mafisadi ili jamii ikiwezekana iwaelewe na iwe macho nao.

Angeamua angesema kuna wizi benki kuu, shilingi kadhaa ,cheki namba kadhaa.... halafu akamaliza mkutano kisha akaondoka

watu wangesema na kusema kuhusu huo ufisadi,lakini wasingewajua Hao wanaoitwa mafisadi na mwisho watu wangesahau mapema na wengine wangempuuza.

Ni vigumu kuelezea hoja from nowhere bila kuwa na mfano halisi wa kujengea hoja. kwa hiyo hata hilo suala la ufisadi Wapinzani wanaeleweka kwa sbabu wanakuja na figure halisi na wahusika halisi.

Hali hiyo ni sawa na Ufisadi huu wa maadili, Iwapo utamuonea haya mtu anayetembea na wake/waume za watu bila shaka hoja yoyote ya kukemea ufisadi-ngono itakuwa haina uzito sana.

Kwa hiyo, wacha waheshimiwa wanywe shubiri kwa niaba ya jamii, ili jamii wanayoiongoza ipone,

Otherwise na mapambano haya ya UKIMWI ambayo wanayaongoza/tunayaongoza hayawezi kupiga hatua yoyote ile,
 
Unajua kwa nini Slaa aliamua kuwataja hao anaowaita mafisadi kwa majina?. ili kuihabarisha jamii kuhusu hao anaosema ni mafisadi ili jamii ikiwezekana iwaelewe na iwe macho nao.

Angeamua angesema kuna wizi benki kuu, shilingi kadhaa ,cheki namba kadhaa.... halafu akamaliza mkutano kisha akaondoka

watu wangesema na kusema kuhusu huo ufisadi,lakini wasingewajua Hao wanaoitwa mafisadi na mwisho watu wangesahau mapema na wengine wangempuuza.

Ni vigumu kuelezea hoja from nowhere bila kuwa na mfano halisi wa kujengea hoja. kwa hiyo hata hilo suala la ufisadi Wapinzani wanaeleweka kwa sbabu wanakuja na figure halisi na wahusika halisi.

Hali hiyo ni sawa na Ufisadi huu wa maadili, Iwapo utamuonea haya mtu anayetembea na wake/waume za watu bila shaka hoja yoyote ya kukemea ufisadi-ngono itakuwa haina uzito sana.

Kwa hiyo, wacha waheshimiwa wanywe shubiri kwa niaba ya jamii, ili jamii wanayoiongoza ipone,

Otherwise na mapambano haya ya UKIMWI ambayo wanayaongoza/tunayaongoza hayawezi kupiga hatua yoyote ile,

Huu ni ukweli kabisa.

Kwani kuna ugumu gani wa wewe kuijadili hoja ya mbowe uko kwenye vibweka?
 
I guess this kind of gossip will increase Chadema's market share(support) by a quarter of a percent.
 
AAAAAAAAAHH Mengi yamesemwa,lakini zipo dalili za kweli,maana mwandishi amewataja watu kwa majina,issue ni kweli hayo yalitokea?Kiongozi ni mfano ama ni kioo cha jamii,kama kweli hayo ni kweli,hatufai bwana Mbowe.
haya ya uzinzi yanatisha kwa kweli.Sophia Khatau ninamjua na ni kweli mumuwe ni mfanya kazi za TTCL,nami ingawa si mwanafamilia,lakini nipo nayo karibu sana hiyo familia ya Al maruh Khatau,kwani kabla hayamuoa mama yake Sophia,alikuwa na mama mmoja akiitwa Bint Faume,na ndiye aliye msilimisha Mzee Khatau na kuwa Muislam,kabla ya hapo alikuwa Ni Baniani huyo mzee hatau.
Kwa ufisadi huu na mwingine,wa kesi zake zisizoisha na NSSF,ni dalili tosha kabisa kuwa hatufai.
sisiem,walimuengeua mzee Malecela,moja ya kigezo kilikuwa ni kuwa Mzee Malecela zipu nje sana.
Cuf waliwahi kumkalia kikao marehemu mzee Kasanga Tumbo kwa jambo hilo hilo la uzinzi,maana alikuwa analala hata na watoto wa miaka 15,amabo kwake ni wajukuu wa wanawe.
watu kama Tabwe Hiza enzi zao za CUF pia walitamba sana ktk medani hizo,maana Tambwe naye mwepesi mwepesi!!!!
Mbowe HATIFAI ATATUHARIBU HUKO MBELENI
 
Wakuu Heshima Mbele,

Binafsi I am very disturbed na yaliyojiri in general na hii topic, maana ndio kwanza nimeiona muda sio mrefu, uliopita.

That is all I can say for now, ninatka kuisoma yote kwanza, and then I will speak my mind kama kawaida.
 
Wakuu Heshima Mbele,

Binafsi I am very disturbed na yaliyojiri in general na hii topic, maana ndio kwanza nimeiona muda sio mrefu, uliopita.

That is all I can say for now, ninatka kuisoma yote kwanza, and then I will speak my mind kama kawaida.

Msee mkulukulu,

Mie binafsi i dont get it, why MKJJ & Co dont get it!!!.

www.boston.com/news/globe/
 
Mbowe na Slaa waanza kuchokonolewa


*Waraka wasambazwa kwenye mtandao kuwachafua
*Ziara za Mwenyekiti za mikoani zatumiwa kummaliza

Na Mwandishi Wetu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) huenda kikakumbwa na mtafaruku mkubwa, iwapo taarifa zinazosambazwa katika mtandao wa intaneti kuhusiana na uongozi wake wa juu hazitadhibitiwa na hatimaye kuaminika.

Katika hali isiyo ya kawaida, ndani ya chama hicho ambacho kimejizolea sifa ya kuwa na viongozi vijana na 'wapiganaji' katika ulingo wa siasa, kumezuka kundi la wanaojiita 'Wanamabadiliko CHADEMA' ambao wanadai kutaka kukisafisha chama chao.

Katika taarifa zao mbili tofauti katika mtandao wa intaneti, wanamabadiliko hao wanaushambulia uongozi wa juu wa chama hicho akiwamo Mwenyekiti Bw. Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dkt. Wilbroad Slaa.

Kuhusu Bw. Mbowe tuhuma hizo zinaelekezwa katika masuala ya kisiasa, kibiashara, kimahakama na kijamii, huku kwa Dkt. Slaa yanahusiana zaidi na masuala ya imani za kidini na maisha kijamii.

Wanadai kuwa wanachama wa CHADEMA wanawajibika kufanya mabadiliko ya uongozi, ili kukipa mwanga zaidi chama hicho ili uongozi wa sasa usije kuwa shabaha nzuri ya kumalizwa na wanaowaita mafisadi.

Waraka huo unamrudisha nyuma Bw. Mbowe katika kampeni za chama chake zilizofanyika Singida Mjini mwaka juzi, ambapo inadaiwa kwa sababu zake alishindwa kumsimamisha jukwaani mgombea ubunge wa chama hicho kujieleza na hivyo kushindwa kirahisi na aliyekuwa mgombea wa CCM, Bw. Mohamed Dewji.

"Kwa wanaobisha wakatazame kanda ya video ya mkutano wetu, pale Singida waone kama mgombea wetu alitambulishwa, la sivyo, Mbowe atoe maelezo kwenye Kamati Kuu," inasema sehemu ya waraka huo.

Mwenyekiti Mbowe pia anahusishwa na masuala mbalimbali kati yake na familia ya mmoja wa viongozi waandamizi ndani ya CHADEMA, ikidaiwa kuwa ulisababisha mtafaruku mkubwa hadi mahakamani na kumalizwa huko.

Lakini pia waraka unazungumzia ziara ya kiongozi huyo Newala na Nachingwea, ambako alifuatana na baadhi ya viongozi wenzake, huku ukionesha kugubikwa na dosari.

Pia unazungumzia ziara yake ya kichama eneo la Kawe, Dar es Salaam, ambayo pia ilisababisha mtafaruku kuhusiana na kikundi cha sanaa kinachomilikiwa na chama hicho, kiitwacho Malongo Sanaa Group.

Katika kile kinachoonesha ni kutaka kumchafua Mwenyekiti Mbowe, waraka unazungumzia pia ziara yake ya Zanzibar na Lindi na wilayani Hai, alikokuwa Mbunge kabla ya kuacha na kugombea ubunge na kuingia katika kinyang'anyiro cha urais.

"Kwa hiyo wanachama wenzetu, baadhi yetu sisi wa matawi ya mikoa ya Ruvuma, Dar, Kigoma, Manyara, Shinyanga na Arusha, tumeamua tuangalie mwelekeo wa mbele zaidi wa chama chetu.

"Mnyika (John) na Kabwe (Zitto) wanafanya kazi nzuri sana za kurecruit (sajili) vijana wenzao wasomi kwenye chama chetu. Wameanzisha mtandao wa vijana, ambao una matumaini ya kutuvunia wanachama na viongozi wasomi makini kwa siku za usoni," inasema sehemu ya waraka huo na kumalizia kwa kaulimbiu maarufu ya Bw. Mbowe ya 'Mpaka Kieleweke'.

Wakati huo huo, kutoka Dodoma, John Daniel anaripoti kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Bw. Kabwe, anatarajia kumaliza 'kifungo' chake Novemba 16 mwaka huu.

Spika wa Bunge, Bw. Samwel Sitta aliwaambia wabunge jana asubuhi, kuwa Novemba 17 mwaka huu, Bw. Kabwe ataruhusiwa kuingia katika vikao vya kamati za Bunge kutokana na kuwa hataweza kuingia bungeni kutokana na mkutano wa tisa ulioanza jana, kuwa umemalizika wakati huo.

Kuhusu Mbunge huyo kutopewa rasmi barua ya kusimamishwa kwake shughuli za Bunge, Spika alisema si lazima Mbunge anayepewa adhabu kupewa barua, badala yake kanuni za Bunge hujitosheleza.

http://www.majira.co.tz/kurasa.php?soma=tanzania&habariNamba=4388

hiyo ni habari ya kwenye gazeti naona jamaa huwa wanatoa huku.
 
Kwanza lazima tukubali kuwa "Man got to do what men got to do", same applies to women. Lakini binafsi sioni umuhimu wa Mbowe amelala na nani au ameamka na nani, au Mtoto wa Mkulima amelala na mtoto wa mfanya biashara yupi au mwana sarakasi yupi. Hayani mambo binafsi, nadhani kama mwanamke ameolewa na anakubali kujipumzisha usiku mmoja na mwanaume aliyeoa hii ni juu yake, as long as hoteli wanayolala sio pesa za serikali au za chama zinazolipia.
Hata hivyo kama tukitaka kuangalia wenyeviti wengine wa vyama na makatibu wa vyama ngazi mbalimbali hapa Tanzania wengine unaweza hata ukachoka, (kumbuka tuna vyama vya siasa zaidi ya kumi tukitaka tuangalie wenyeviti na makatibu wote wa hivyo vyama tuone yupi amefanya nini)utakuta wana watoto haramu karibu 10. Hayo ni mambo yao binafsi na wanawae wao, as long as hayaathiri utendaji wao wa kazi.
Kwa hiyo hii habari mimi ningeomba ipelekwe kwenye udaku. Inafaa kwenye udaku zaidi.
 
mtoto wa mkulima, hivi inakuwaje kama mtu aliyeandika email hizo anazipanda JF, halafu anazinukuu kutoka JF na kuziweka kwenye magazeti yake? NIliposema wanakesha huku nina maana hao watu wa magazeti...
 
mtoto wa mkulima, hivi inakuwaje kama mtu aliyeandika email hizo anazipanda JF, halafu anazinukuu kutoka JF na kuziweka kwenye magazeti yake? NIliposema wanakesha huku nina maana hao watu wa magazeti...


Ooooh sorry mkuu hapo nimekuelewa!!!!!!!!!!😕 Yeah inawezekana kabisa mtu kucheza game kama hiyo mzee. Ni kweli kabisa inawezekana hata ni mwandishi mwenyewe si unaona hata jina la mwandishi halipo? "Mwandishi wetu"

wakati mwingine huwa nasoma magazeti naona issue nyingine ni katika kujaza kurasa tuu walau kuwe kuna kitu kimeandikwa.
 
Hapo ndipo sie watu wa pwani tunapopenda mchuzi ulokolea ndimu na pilipili ya kutosha!!!!..................mtoto wa mkulima nakutakia mchana mwema huko 'mashariki ya mbali.'!!!!. Mkjj sio kwamba watu wanakesha, ila watu wanafanya home zao kwa ku-utilize resources zote available, which I think is great ingawa sikubaliani nao. Na hiyo isiwe sababu ya kutufumba sisi midomo yetu!!!.
Asante.
 
Hapo ndipo sie watu wa pwani tunapopenda mchuzi ulokolea ndimu na pilipili ya kutosha!!!!..................mtoto wa mkulima nakutakia mchana mwema huko 'mashariki ya mbali.'!!!!. Mkjj sio kwamba watu wanakesha, ila watu wanafanya home zao kwa ku-utilize resources zote available, which I think is great ingawa sikubaliani nao. Na hiyo isiwe sababu ya kutufumba sisi midomo yetu!!!.
Asante.

Poa Mkuu hapa ndio tunakamata lunchi sasa. Tupo tunaendelea na mapambano ya kifikira ndani ya Jamvi la JF.
 
mtoto wa mkulima, hivi inakuwaje kama mtu aliyeandika email hizo anazipanda JF, halafu anazinukuu kutoka JF na kuziweka kwenye magazeti yake? NIliposema wanakesha huku nina maana hao watu wa magazeti...

Mkjj,
Acha ku-spin na conspirancy theories zako, hao jamaa sio smart kama unavyotaka kuwa-portray labda kama ndio unawapa mchongo.........na hisi hiyo ndio game yako, maana umekuja quick ile kinomanoma yaani. Ktk mapambano haya hamna kuogopa labda enemy atapata ammunitions au whatever from what you say, kwani kama wanafanya hivo njia ya mwoga ni fupi na huu ni mtego kama unanielewa!!!!.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom