Bob,
Swali lako na sam nalikumbuka sana tangu kule bcstimes.
Mfano wako wa Seminari ni inapproprate, bse its a very small entity ndani ya mfumo mzima wa majimbo nilivyouelewa mimi.
Swali la msingi kabisa "a valid challenge", uliloleta ni
".............Kumbukeni tu majimbo sio mikoa wala wilaya...je, mnataka kutuambia mtawaondoa viongozi wa wilaya na mikoa?.. je, ktk sera ya majimbo ni wapi inaposema Mbunge atakuwa na sauti kuliko DC ama RC. Je, kila jimbo litakuwa na bunge?.. na what about bunge la taifa!..........." watu wengi tunajiuliza sana kuhusu hili, however the logic is simple and at the same time the project implementation is a big challenge and for those in favour should table the solution + myself
to me, this is a project on its own i.e to come up with structure ya majimbo. Sijui CHADEMA wameweka vipi (structural wise) kuhusiana na hii issue ya majimbo. Kama CHADEMA wanayo sioni ni kwa sababu gani walishindwa kukujibu wewe na sam kule bcstimes enzi zile. it would have been an easy question to respond, if they have/had everything in order.
Nikiangalia jinsi nchi yetu ilivyo, with 45 years old ktk system tuliyonayo, im afraid sehemu kama Mtwara, Lindi, Rukwa, Shinyanga and the like zitabaki duni kwa kila kitu mpaka Mesiah arudi!!
Nahisi, majimbo yatatufanya wananchi wengi tuuone uhuru na matunda yake ya kweli, na sio mazingaombwe ya kofia, tisheti, khanga na pilau yalivyo sasa
Kumbuka, mimi hapa najaribu ku "explore the reality" as you always put it.