Mbowe unakosea sana kumpangia Rais Samia ratiba zake

Haraka ya nini? Mtu hata miezi mitatu hajafikisha akiwa Rais…

Au yeye Mbowe alitaka Rais akutane naye siku hiyo hiyo aliyoomba kukutana naye?
Mama alivyo mjibu Balozi wa Marekani,

“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between CCM and Chadema or rather opposition suporters, which I think animated some of the approach back then.

We view the forthcoming meeting with Mbowe and his group as an important tool to manage what always have been a persistently difficult relationship.”
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amesema wito wao wa kwenda Ikulu kwa ajili ya kunywa chai na kufanya mazungumzo na rais Samia kuhusu mambo mbalimbali ya nchi umepuuzwa. Hivyo amesikitika sana.View attachment 1813401
Faru John mzee mmoja hivyo kabisa. Eti maumivu ya taifa, saccos imekuwa taifa au genge la wahuni tu. Taifa halina maumivu yoyote, lipo imara kuliko awali.
 
Mama alivyo mjibu Balozi wa Marekani,

“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between CCM and Chadema or rather opposition suporters, which I think animated some of the approach back then.

We view the forthcoming meeting with Mbowe and his group as an important tool to manage what always have been a persistently difficult relationship.”
Hmm…Samia ndo kasema hivyo?

Sidhani kama anaweza kusema hivo bila kusoma sehemu…lugha haipandi kivile.
 
Mbowe kakosa busara kabisa. Huwezi kumwambia Rais hivi. Tena tayari Rais amekwisha onyesha dhamira. Hatuhitaji kwenda hivi.
 
“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between CCM and Chadema or rather opposition suporters, which I think animated some of the approach back then.
This is a convoluted sentence whose meaning is obscure.
Who said those words?
 
Kuna wapumbavu wengi tz huwa mnamchukulia rais kama Mungu mtu, kuna comments humu nazisoma mpaka napata kichefuchefu, nyambaaafu kabisa.
 
Leo mbowe akiwa mkoani Morogoro amesema walimuandikia barua kuomba kukutana na Rais Samia ila hadi leo hajakutana nao.

Anasema anaona tu anakutana na makundi mengine ila wao hataki kukutana nao, hivyo hawatasubiri mwaka kukutana na Raisi na ipo siku atawatafuta.

Hadi haoaa itoshe kusema chadema ni chama ambacho hakipo makini, ni vipi unaweza kumpangia Raisi ratiba zake?

Kama sasa hivi kabanwa atakutanaje na nyie? Mbowe ameenda mbali na kumtisha Rais eti ipo siku atatutafuta. Asipokutafuta utamfanya nini?

Walio karibu na mwenyekiti wampumzishe kidogo maana ni Kama Kuna kitu hakipo sawa kwenye medula.

#mamasamia kanyaga twende# kazi iendelee#

View attachment 1813320View attachment 1813322
Hawa Chadema wanahitaji kiongozi aina ya Hayati Magufuli kwani ukicheka nao wana matatizo makubwa. Leo wanazunguka Tanzania yote na kufanya mikutano ya ndani bila tatizo lolote bado hawalioni hilo.
Uchaguzi ni mwaka 2025 siasa za sasa ni za nini ? Bora turudi mfumo wa chama kimoja chini ya serikali ya mama samia
 
Itoshe kusema wewe una chuki binafsi na Mbowe na ndio maana hutaki kujibu hoja yake bali una mu attack yeye as a person.

Shows how nincompoop of a loser you are.
Hakuna mtu ana chuki na Mbowe ila mbowe mwenyewe amefanya siasa ni biashara. Tunajua hii mikutano yake inafadhiliwa na mabeberu. Mwacheni mama Samia achape kazi tukutane 2025
 
Hmm…Samia ndo kasema hivyo?

Sidhani kama anaweza kusema hivo bila kusoma sehemu…lugha haipandi kivile.
Mwendakuzimu hata kuyasoma tu hayo maandishi asingeweza. Kiswahili chenyewe tu kilikuwa kinamsumbua sembuse yai?
 
Huyu muhuni Faru John ndiyo ampangie rais
Tapeli la kisiasa hili linachoweza na kula hela ya ruzuku tu
JamiiForums485238726.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom