Kitombile
JF-Expert Member
- Mar 21, 2021
- 6,657
- 7,277
Inatakiwa na mama yetu hawakazie hawa wapuuzi.Kwa JPM waliufyata mkia
Inatakiwa na mama yetu hawakazie hawa wapuuzi.Kwa JPM waliufyata mkia
Inatakiwa na mama yetu hawakazie hawa wapuuzi.
Hakika.Muache aendelee kucheka na nyani. Atavuna mabua!
Mama alivyo mjibu Balozi wa Marekani,Haraka ya nini? Mtu hata miezi mitatu hajafikisha akiwa Rais…
Au yeye Mbowe alitaka Rais akutane naye siku hiyo hiyo aliyoomba kukutana naye?
Una maana na yeye dish limetilt kama makamu wake? Kama ni hivyo basi chadema ina hali mbayaMbowe ana shida kwenye medula
Faru John mzee mmoja hivyo kabisa. Eti maumivu ya taifa, saccos imekuwa taifa au genge la wahuni tu. Taifa halina maumivu yoyote, lipo imara kuliko awali.Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amesema wito wao wa kwenda Ikulu kwa ajili ya kunywa chai na kufanya mazungumzo na rais Samia kuhusu mambo mbalimbali ya nchi umepuuzwa. Hivyo amesikitika sana.View attachment 1813401
Hmm…Samia ndo kasema hivyo?Mama alivyo mjibu Balozi wa Marekani,
“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between CCM and Chadema or rather opposition suporters, which I think animated some of the approach back then.
We view the forthcoming meeting with Mbowe and his group as an important tool to manage what always have been a persistently difficult relationship.”
Oya boss ya mama kesho mwiteWananchi ni mabosi wa rais na rais ni mtumishi wetu. Bosi ana mamlaka ya kumpangia kazi mtumishi wake.
Tuko pamoja mwanamboka?
Mkuu unapofanya appointment ya kuomba kukutana na mtu ni budi akujibu, tuonane tarehe... saa.. AU akujibu kwamba sasa sina nafasi, muda ukipatikana nitakujulisha.Haraka ya nini? Mtu hata miezi mitatu hajafikisha akiwa Rais…
Au yeye Mbowe alitaka Rais akutane naye siku hiyo hiyo aliyoomba kukutana naye?
This is a convoluted sentence whose meaning is obscure.“We do not harbor any illusions about a broad basis of support between CCM and Chadema or rather opposition suporters, which I think animated some of the approach back then.
Hawa Chadema wanahitaji kiongozi aina ya Hayati Magufuli kwani ukicheka nao wana matatizo makubwa. Leo wanazunguka Tanzania yote na kufanya mikutano ya ndani bila tatizo lolote bado hawalioni hilo.Leo mbowe akiwa mkoani Morogoro amesema walimuandikia barua kuomba kukutana na Rais Samia ila hadi leo hajakutana nao.
Anasema anaona tu anakutana na makundi mengine ila wao hataki kukutana nao, hivyo hawatasubiri mwaka kukutana na Raisi na ipo siku atawatafuta.
Hadi haoaa itoshe kusema chadema ni chama ambacho hakipo makini, ni vipi unaweza kumpangia Raisi ratiba zake?
Kama sasa hivi kabanwa atakutanaje na nyie? Mbowe ameenda mbali na kumtisha Rais eti ipo siku atatutafuta. Asipokutafuta utamfanya nini?
Walio karibu na mwenyekiti wampumzishe kidogo maana ni Kama Kuna kitu hakipo sawa kwenye medula.
#mamasamia kanyaga twende# kazi iendelee#
View attachment 1813320View attachment 1813322
Hakuna mtu ana chuki na Mbowe ila mbowe mwenyewe amefanya siasa ni biashara. Tunajua hii mikutano yake inafadhiliwa na mabeberu. Mwacheni mama Samia achape kazi tukutane 2025Itoshe kusema wewe una chuki binafsi na Mbowe na ndio maana hutaki kujibu hoja yake bali una mu attack yeye as a person.
Shows how nincompoop of a loser you are.
Mwendakuzimu hata kuyasoma tu hayo maandishi asingeweza. Kiswahili chenyewe tu kilikuwa kinamsumbua sembuse yai?Hmm…Samia ndo kasema hivyo?
Sidhani kama anaweza kusema hivo bila kusoma sehemu…lugha haipandi kivile.
Magufuli kazitawala sana fikra zenu!Mwendakuzimu hata kuyasoma tu hayo maandishi asingeweza. Kiswahili chenyewe tu kilikuwa kinamsumbua sembuse yai?