Mimi ni rais sipangiwi na mtu cha kufanya. Hii ilikuwa ni kauli pendwa ya mwendakuzimu na watz wapumbavu tukaisadiki kama torati, kuna wapumbavu wanamchukulia rais kama mungu mtu, kama tu rais kaombwa wito ili tujadiliane wadanganyika mmefura namna hii, sipati Picha siku rais akizabwa Kofi kama yule mfaransa sijui wadanganyika mtafuraje?