Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,797
- 12,239
Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh. John Mnyika ametoa taarifa kuwa Rais Samia amekubali ombi la Mh Mbowe kukutana naye katika tarehe itakayopangwa baadaye.
Naomba kuwapa taarifa rasmi kuwa tarehe 20 Aprili 2021 tulipokea majibu ya barua ya Mh. Mwenyekiti @freemanmbowetz ya kuomba kukutana na Mh. Rais @SuluhuSamia . Rais amekubali kukutana kushauriana na @ChademaTz . Tunasubiri kujulishwa tarehe ya kukutana.
Hotuba ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe aliyoitoa jana Aprili 11, 2021
Hotuba ya Mhe. Freeman Mbowe Namshukuru Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, kwa zawadi ya Uhai wetu. Wako wengi waliokuwa hai miongoni mwetu, mara ya mwisho nilipozungumza na Taifa, mwezi Januari mwaka huu, ambao leo hatunao tena. Ni katika kipindi hiki, Taifa letu lilikumbwa na taharuki kubwa...
www.jamiiforums.com
Naomba kuwapa taarifa rasmi kuwa tarehe 20 Aprili 2021 tulipokea majibu ya barua ya Mh. Mwenyekiti @freemanmbowetz ya kuomba kukutana na Mh. Rais @SuluhuSamia . Rais amekubali kukutana kushauriana na @ChademaTz . Tunasubiri kujulishwa tarehe ya kukutana.