Dumas the terrible
JF-Expert Member
- Jan 20, 2021
- 4,100
- 8,287
kwahiyo raia walioandamana wakapigwa na Polisi wakavunjwa mbaka viungo wewe unaona sawa tu hata Kama alikua amevunja sheria sio Kwa kutumia nguvu kiasi hicho inaonesha jinsi Gani Serikali ya CCM ilivyo ya hovyo kutumia nguvu kwenye Jambo dogo Kama HiloKuna wale vijana wa CUF WALIOKUWA wakiandamana miaka ya nyuma.....
Saidi Kakote leo ni MLEMAVU WA MIGUU....
Bashiru Zembwe anatembelea KIBASKELI CHA MIGUU 3 kwao TANDALE.....
UJINGA MTUPU WA VYAMA HIVI VYA SACCOS......
#KaziIendelee
Halafu ikitokea mmarekani mweusi kapigwa Kofi na askari mzungu mnawajia juu ni wabaguzi na hashtag za kutosha
Wakati makaburu weusi CCM toka hapa Tanganyika wanafanya hayohayo aisee ama kweli nyani haoni ..........
😂😂😂😂