mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Vyombo vya usalama/ulinzi vina namna ya kutuliza ghasia kama wanaghasia hawatii sheria,hivyo walikuwa wanatekeleza majukumu,LAKINI yasingetokea hayo bila chadema kwenda kuwafitinisha..ungeeleweka kama chadema ndio wangekuwa wamechukua silaha na kuuwa wananchi mtwara, arusha, na kwingineko.
..ungekuwa sahihi kama aquilina angekuwa ameuwawa na watu wa chadema, au walioamrishwa na chadema.
..mikutano haina madhara. Wenye madhara ni wahusika wanaoamrisha mauaji na dhuluma dhidi ya Watz wenzetu.