Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Baada ya Dereva wa gari ya Mbowe Kustaafu kwa mujibu wa spika gari hiyo ilipokonywa kutokana na kukosekana kwa dereva ambaye aliaminiwa na pande zote mbili. Leo mahakamani inaelezwa gari hiyo ilienda Longido mwaka 2017 kumchukua shahidi wa pili: je kipindi hicho Mbowe alikuwa anatumia gari hiyo?
Lakini pia gari hiyo inadaiwa na shahidi wa pili kwamba ilifika huko Longido usiku ikiwa na plate number ya Kiongozi wa upinzani Bungeni KuB, je mwisho wakutumia plate number za Aina hii mtaani ni muda gani? Gari hizi zinatakiwa kupaki saa kumi na mbili au kabla ya hapo. Je, shahidi anataka kutuaminisha kwamba gari hii ilikuwa inatumika muda wote 24hrs?
Gari hizi Zina kitabu Cha kuweka kumbukumbu za safari kuonyesha maeneo dreva aliyotembelea kwa ajili ya uwekaji wa mafuta logbook, je kumbukumbu za safari za gari hizi uhifadhiwaje?
Lakini pia huyu mtu kipindi hicho alikuwa ameshapambana na dola muda mrefu, je hakuna aliyeona gari hiyo ikielekea Longido usiku? Ulinzi ulikuwaje endapo aliuwa huru kutumia gati usiku kwa issue binafsi?
Huu ushahidi mbona nao una matege mengi na makengeza?
Lakini pia gari hiyo inadaiwa na shahidi wa pili kwamba ilifika huko Longido usiku ikiwa na plate number ya Kiongozi wa upinzani Bungeni KuB, je mwisho wakutumia plate number za Aina hii mtaani ni muda gani? Gari hizi zinatakiwa kupaki saa kumi na mbili au kabla ya hapo. Je, shahidi anataka kutuaminisha kwamba gari hii ilikuwa inatumika muda wote 24hrs?
Gari hizi Zina kitabu Cha kuweka kumbukumbu za safari kuonyesha maeneo dreva aliyotembelea kwa ajili ya uwekaji wa mafuta logbook, je kumbukumbu za safari za gari hizi uhifadhiwaje?
Lakini pia huyu mtu kipindi hicho alikuwa ameshapambana na dola muda mrefu, je hakuna aliyeona gari hiyo ikielekea Longido usiku? Ulinzi ulikuwaje endapo aliuwa huru kutumia gati usiku kwa issue binafsi?
Huu ushahidi mbona nao una matege mengi na makengeza?