Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,723
Kuna hili limetokea, gari dogo baada ya kusimamishwa na traffic likaoneka lina deni. Kuagalia vizuri fine(madeni) zote zimeandikiwa mkoa wa Dodoma ikiwa gari dogo halijawahi kufika Dodoma, lipo Morogoro.
Makosa hayo ni kuzidisha abiria, maana yake ilitumika kukusanya maokoto.
Wataalam naomba kujua hapa ni nini kimetokea maana nashindwa kuelewa.
Nilichowaza pengine yawezekana traffic officer alimistaken namba ya gari. Lakini kwanini fine imejirudia mara mbili na mkoa ule ule.
Au pengine kuna raia ambaye sio mwema anakopi ya plate namba na anatumia kwa maslahi yake binafsi.
Je, kuna utaratibu wa hizi fine kufutwa endapo nikithibitisha kuwa gari huko haijawahi kufika?..
Makosa hayo ni kuzidisha abiria, maana yake ilitumika kukusanya maokoto.
Wataalam naomba kujua hapa ni nini kimetokea maana nashindwa kuelewa.
Nilichowaza pengine yawezekana traffic officer alimistaken namba ya gari. Lakini kwanini fine imejirudia mara mbili na mkoa ule ule.
Au pengine kuna raia ambaye sio mwema anakopi ya plate namba na anatumia kwa maslahi yake binafsi.
Je, kuna utaratibu wa hizi fine kufutwa endapo nikithibitisha kuwa gari huko haijawahi kufika?..