Kubambikiwa fine ya gari ambayo huifahamu. Ajabu imetolewa mkoa ambao gari haijawahi kufika

Sa 7 mchana

JF-Expert Member
Dec 30, 2018
4,975
9,723
Kuna hili limetokea, gari dogo baada ya kusimamishwa na traffic likaoneka lina deni. Kuagalia vizuri fine(madeni) zote zimeandikiwa mkoa wa Dodoma ikiwa gari dogo halijawahi kufika Dodoma, lipo Morogoro.

Makosa hayo ni kuzidisha abiria, maana yake ilitumika kukusanya maokoto.

Wataalam naomba kujua hapa ni nini kimetokea maana nashindwa kuelewa.

Nilichowaza pengine yawezekana traffic officer alimistaken namba ya gari. Lakini kwanini fine imejirudia mara mbili na mkoa ule ule.

Au pengine kuna raia ambaye sio mwema anakopi ya plate namba na anatumia kwa maslahi yake binafsi.

Je, kuna utaratibu wa hizi fine kufutwa endapo nikithibitisha kuwa gari huko haijawahi kufika?..
 
Kama ni mtu wa balaa na shari, fungua case mahakamani. Uzuri pale namba ya askari aliekuwekea kosa na leseni ya mtenda kosa zipo. Hao ndio watakua mashahidi.

Ila kama sio mtu wa kupenda vurugu lipa tu.

Nashauri polisi wangeweka option baada ya kujaza info meseji iwe inaenda kwa mmiliki wa gari ili atoe taarifa mapema.

Kuna mshikaji kazini alifanyiwa ivo, ilibidi yule trafic ndio alipe deni. Sema jamaa ni mtata.
 
Mkuu hio ipo mm waliniandikiaga fine kama hivo mm naishi kurasini na siku ile nilikua maeneo yale tu na gari sikutoka nalo nashangaa naandikiwa fine kosa la kutofata sheria za barabarani maeneo ya kijitonyama sayansi na leseni ambayo siyo yangu na kibaya zaidi ikawa ishajidouble 60k na zngne za kishenzi ni hawa tarura nakuta eti nadaiwa parking while sikutoka kabsa hio siku
 
Mkuu hio ipo mm waliniandikiaga fine kama hivo mm naishi kurasini na siku ile nilikua maeneo yale tu na gari sikutoka nalo nashangaa naandikiwa fine kosa la kutofata sheria za barabarani maeneo ya kijitonyama sayansi na leseni ambayo siyo yangu na kibaya zaidi ikawa ishajidouble 60k na zngne za kishenzi ni hawa tarura nakuta eti nadaiwa parking while sikutoka kabsa hio siku
Hili limekuwa janga sasa kumbe. Iliwahi tokea siku moja nikawa na gombana na dereva wangu
 
Kama ni mtu wa balaa na shari, fungua case mahakamani. Uzuri pale namba ya askari aliekuwekea kosa na leseni ya mtenda kosa zipo. Hao ndio watakua mashahidi.

Ila kama sio mtu wa kupenda vurugu lipa tu.

Nashauri polisi wangeweka option baada ya kujaza info meseji iwe inaenda kwa mmiliki wa gari ili atoe taarifa mapema.

Kuna mshikaji kazini alifanyiwa ivo, ilibidi yule trafic ndio alipe deni. Sema jamaa ni mtata.
Wazee wa zamani wanaelewa kuwa kama Janga limetokea mara mbili kunauwezekano mkubwa wa janga ilo kujirudia mara ya tatu. Naofia kujirudia mara nyengine.
 
Mkuu hio ipo mm waliniandikiaga fine kama hivo mm naishi kurasini na siku ile nilikua maeneo yale tu na gari sikutoka nalo nashangaa naandikiwa fine kosa la kutofata sheria za barabarani maeneo ya kijitonyama sayansi na leseni ambayo siyo yangu na kibaya zaidi ikawa ishajidouble 60k na zngne za kishenzi ni hawa tarura nakuta eti nadaiwa parking while sikutoka kabsa hio siku
Nshkukumbuka mi ndo nlikupiga.si ulijifanya unasspport dpw kuchukua bandar sasa wahuni tuko na ww.
 
Kuna hili limetokea, gari dogo baada ya kusimamishwa na traffic likaoneka linadeni. Kuagalia vizuri fine(madeni) zote zimeandikiwa mkoa wa Dodoma ikiwa gari dogo halijawahi kufika dodoma, lipo Morogoro.

Makosa hayo ni kuzidisha abiria, maana ake ilitumika kukusanya maokoto.

Wataalam naomba kujua hapa ni nini kimetokea maana nashindwa kuelewa.

Nilichowaza pengine yawezekana traffic officer alimistaken namba ya gari. Lakini kwa nini fine imejirudia mara mbili na mkoa ule ule.

Au pengine kunaraia ambaye sio mwema anakopi ya plate namba na anatumia kwa maslahi yake binafsi.

Je kunautaratibu wa hizi fine kufutwa endapo nikidhibitisha kuwa gari huko haijawahi kufika?..
Hio inatokea pale ambapo askari anakosea kuweka namba ya gari husikia. Anaweza kuweka t712dsa badala ya t721dsa au t712das.
Ishanitokea ila kwenye parking fee. Unaweza kwenda central police ulipoukatoa ushahidi huwa wanarekebisha.
 
Mkuu hio ipo mm waliniandikiaga fine kama hivo mm naishi kurasini na siku ile nilikua maeneo yale tu na gari sikutoka nalo nashangaa naandikiwa fine kosa la kutofata sheria za barabarani maeneo ya kijitonyama sayansi na leseni ambayo siyo yangu na kibaya zaidi ikawa ishajidouble 60k na zngne za kishenzi ni hawa tarura nakuta eti nadaiwa parking while sikutoka kabsa hio siku
Duh hii hatari, ulimalizana nao vipi?
 
Fuatilia mkuu. Kuna uwezekano kuna mtu anatumia plate namba ya gari yako uliyosajili kihalali. Hasa wale wa magari ya wizi au yanayokwepa kulipa kodi wakijifanya yanasafirishwa kwenda nje kupitia bandari alafu inabaki inatumika humuhumu.
 
Kuna hili limetokea, gari dogo baada ya kusimamishwa na traffic likaoneka lina deni. Kuagalia vizuri fine(madeni) zote zimeandikiwa mkoa wa Dodoma ikiwa gari dogo halijawahi kufika Dodoma, lipo Morogoro.

Makosa hayo ni kuzidisha abiria, maana yake ilitumika kukusanya maokoto.

Wataalam naomba kujua hapa ni nini kimetokea maana nashindwa kuelewa.

Nilichowaza pengine yawezekana traffic officer alimistaken namba ya gari. Lakini kwanini fine imejirudia mara mbili na mkoa ule ule.

Au pengine kuna raia ambaye sio mwema anakopi ya plate namba na anatumia kwa maslahi yake binafsi.

Je, kuna utaratibu wa hizi fine kufutwa endapo nikithibitisha kuwa gari huko haijawahi kufika?..
Si mlipigie kelele mkase.a namba za kutengeneza mtaani za 3D hazina shida. Najitengenezea namba nabadili namba moja ya katikati badala ya 3 naweka 8, halafu napigwa fine za kutosha zinakuja kwako mwenye 8.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom