Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

Hakuna kitu kama hicho, dini unayozungumzia si ya mungu, ushahidi wewe mwenyewe unaona kinachoendelea duniani kwa sasa, kubisha ni ubinadamu tu.
Sio lazima uamini usichoamini ndio maana wengine wanaamini siku ya sabato na wengine hawaikubali
 
Nimegundua kitu kimoja naona tunaenda njia tofauti aidha hunielewi kama wengine ama hatuelewani au tunaweza kuwa tunazungumzia kitu kilekile kwa approach tofauti
Hali inapofikia hapa inabidi kukubaliana kutokubaliana ili tuweze kuendelea na mengine
Basi sawa lakini pia uchambuzi ni muhimu sana kwavile kupokea jambo bila ya kuhoji ni kama tuko kanisani vile padri akisema jambo nfo linakua hilo hilo hakuna kuhoji! Ila hili jambo nitaendelea kusimamia msimamo huu kwavile kuna mambo mengine ipo nje ya uwezo wetu.
 
"the most powerful man is the 7th son of the 7th son" 😀😀😀😀 movie tu
 
Basi sawa lakini pia uchambuzi ni muhimu sana kwavile kupokea jambo bila ya kuhoji ni kama tuko kanisani vile padri akisema jambo nfo linakua hilo hilo hakuna kuhoji! Ila hili jambo nitaendelea kusimamia msimamo huu kwavile kuna mambo mengine ipo nje ya uwezo wetu.
Asante upo sahihi na ndio maana ya kuwa na mijadala kama hii
 
Uzury wa jambo ni prouv sasa unaweza kutupa hiyo prouv? Maana mimi nachosema kuna moja anajua alipokua wakati hajazaliwa? Mnasema ndo kiza chenyewe sasa unajuaje kama uko kizani? Jamani

Hebu fikiria umefunikwa macho kwa kitambaaa kizito kisha ukapelekwa porini kabla hujafunguliwa unaweza ukawa unajua mahala ulipo? Na baada ya kufunguliwa unaweza ukahisi sasa kuwa haya mazingira niliyopo pasi shaka ni porini baada ya mwanga kuuona.
 
Ndo swali la msingi unajitambuaje kabla hujazaliwa kujua kua ulikua kizani? Na je kabla ya uumbwaji ulimwengu palikua kiza je uliwahi kuuliza mwangaza ulikua wapi? Mpaka ikaja kuuondoa kiza? Ni vitu ambavyo vilikuepo sasa kusema asili yetu ni kiza kwahiyo kabla yakuzaliwa kwetu tulishajitambua kua tulikua kizani!! Haileti maana kabisa hii ni siri yake muumba wetu!!
Mkuu Mshana alishasema, sio giza hili bali la kiroho.
Hakuna dini ya majahazi ndugu kwavile unahukumu kutoa neno kwa njia ilioletwa khabary njema basi kulikua hakuna haja yakuumbwa makabila na rangi tofauty ni kwasababu tufahamiane mungu ni mkubwa kuweza kufanya haya!! Sasa haijalishi habary njema imekuja kwa njia gani ilimradi imetufikia vizury! Huna haja yakubeza!!
 
Saba ni utukufu na mamlaka ya kiroho, sita ni binadamu katika ulimwengu wa roho, binadamu asiye mkamilifu, ila akiwa juu ya mamlaka nyingine zote kidunia, huyu aliumbwa siku ya sita, ufahamu wake unagotea hapo
Kwahiyo anapotaka kudadisi nini kilitokea siku ya saba inayosemekana Mungu akapumzika ndipo inapokuja dhana nzima ya mpinga Kristo na Freemasons kwenye namba 666
Hebu elezea kidogo zaidi watu waste kuelewa hizi mambo .
Watanzania wake enlightened
 
Hebu elezea kidogo zaidi watu waste kuelewa hizi mambo .
Watanzania wake enlightened
Mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kwa siku tano kwa kutamka tu na ikawa.. Siku ya SITA akamuumba mwanadamu kwa udongo kisha akampulizia pumzi ya uhai
Katika ulimwengu wa roho wanyama na vingine vyote vyenye uhai vinawekwa kwenye kundi la hayawani, ufahamu wao utaishia siku ya tano, binadamu si hayawani ana utashi kwakuwa alipuliziwa pumzi ya Kimungu lakini akanyimwa siri ya siku ya saba Mungu alipopumzika
Je ni kweli Kuna Mungu alipumzika siku ya saba? Fumbo lile la Eden mambo ya Freemasons na Satanism yana mizizi kwenye hili
 
Kuna taarifa yako flani ulitoa humu kuhusu giza kua asili ya mwanadaam! Sasa hiI hoja naona inaupungufu mwingi sana kwa sababu kama kiza kikawaida inasababisha mambo kutokua wazi yaani mfano hata nyumbani kukiwa kiza huwezi kufanya jambo! Sasa hoja yangu wakati kiza ndo kilikuapo kabla ya uumbaji je ulifikiria mwangaza ulikua wapi? Je mfano mtu upo katika kiza kinene ukapata mwangaza ukaona vitu ambavyo hukutegemea kuviona je sio jambo la kufurahisha? Hoja yangu hii ni kutaka kukukosoa juu ya kutaka kuufanya kiza kua ni kitu ambacho ni asili yetu wakati sio kweli kwasababu je uliwahi kufanya upembuzi wako kujua mwangaza ulikua wapi? Kwasababu kabla hujazaliwa hujui ulikua wapi je unaweza kututhibitishia kua unajua ulikua kwenye kiza? Maana kabla hujazaliwa binaadam hujui cha kiza wala mwangaza ni siri yake mwenyezi mungu pekee!! Na mwenyezi mungu alikuepo kabla ya uumbaji na baada ya uumbaji! Unaweza kututhibitishia kua hakukua na mwangaza? Nadhani utakuja na jibu nzury!!
Mwanga upo Ndani ya Giza, na ndio maana mwanga hupotelea tena gizani ambako ndiko ulipotoka.
Kimoja lazima kiwepo ili nakingine kiweze kiwepo.. Asante
 
Back
Top Bottom