Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 361,071
- 831,688
- Thread starter
- #41
Una maswali na hoja fikirishi japo kwa kiasi fulani umetumia lugha ya kuzodoa... Lakini bado tunarudi palepale asili ya kila kitu ni giza... Usitafsiri giza katika ulimwengu wa kuonekana bali giza kama alama ya kutojua jamboKuna taarifa yako flani ulitoa humu kuhusu giza kua asili ya mwanadaam! Sasa hiI hoja naona inaupungufu mwingi sana kwa sababu kama kiza kikawaida inasababisha mambo kutokua wazi yaani mfano hata nyumbani kukiwa kiza huwezi kufanya jambo! Sasa hoja yangu wakati kiza ndo kilikuapo kabla ya uumbaji je ulifikiria mwangaza ulikua wapi? Je mfano mtu upo katika kiza kinene ukapata mwangaza ukaona vitu ambavyo hukutegemea kuviona je sio jambo la kufurahisha? Hoja yangu hii ni kutaka kukukosoa juu ya kutaka kuufanya kiza kua ni kitu ambacho ni asili yetu wakati sio kweli kwasababu je uliwahi kufanya upembuzi wako kujua mwangaza ulikua wapi? Kwasababu kabla hujazaliwa hujui ulikua wapi je unaweza kututhibitishia kua unajua ulikua kwenye kiza? Maana kabla hujazaliwa binaadam hujui cha kiza wala mwangaza ni siri yake mwenyezi mungu pekee!! Na mwenyezi mungu alikuepo kabla ya uumbaji na baada ya uumbaji! Unaweza kututhibitishia kua hakukua na mwangaza? Nadhani utakuja na jibu nzury!!
Kikristo tunaambiwa hapo mwanzo nchi ilikuwa tupu tena giza.... Hatuambiwi kuhusu nuru.... Nuru inakuja siku ya pili ya uumbaji.. Kwahiyo bado nasimamia maelezo yangu kwamba giza ndio asili
