Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

Mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kwa siku tano kwa kutamka tu na ikawa.. Siku ya SITA akamuumba mwanadamu kwa udongo kisha akampulizia pumzi ya uhai
Katika ulimwengu wa roho wanyama na vingine vyote vyenye uhai vinawekwa kwenye kundi la hayawani, ufahamu wao utaishia siku ya tano, binadamu si hayawani ana utashi kwakuwa alipuliziwa pumzi ya Kimungu lakini akanyimwa siri ya siku ya saba Mungu alipopumzika
Je ni kweli Kuna Mungu alipumzika siku ya saba? Fumbo lile la Eden mambo ya Freemasons na Satanism yana mizizi kwenye hili
Genius.
 
Namba 7 kiimani ni namba ya Ukamilisho.

Jamarat mawe 7
Surat fatiha ina aya 7
Shahada herufu 7
Watoto wa mtume walizaliwa 7
Mtoto aanze kujifunza dini akiwa na miaka 7
Takbar ya Idd huwa ni 7
Na kuzunguka kaaba ni mara 7
 
...
Namba saba imetajwa kwenye Bible mara 490 ...hapa utapata majibu mengi ...

[V]mshana jr[/B]: nadhani hukusahau kwa makusudi amri 7 ya amri kuu za Mungu kwamba ni USIIBE.

Kwa maana ya kwamba unapotuhabarisha habari zisizo za kwako, umkumbuke mwandishi mwenyewe, kama chanzo chako.
 
[V]mshana jr[/B]: nadhani hukusahau kwa makusudi amri 7 ya amri kuu za Mungu kwamba ni USIIBE.

Kwa maana ya kwamba unapotuhabarisha habari zisizo za kwako, umkumbuke mwandishi mwenyewe, kama chanzo chako.
Mhh ambaye ni nani?
Nini maana ya wizi? Wizi ni tendo la kuchukua kitu/mali isiyo yako KWA KIFICHO bila kuonekana kwa nia ya kuuza kugawa ama kwa matumizi binafsi
mwengeso naomba unithibitishie hii post ni kazi ya mtu mwingine
 
Mhh ambaye ni nani?
Nini maana ya wizi? Wizi ni tendo la kuchukua kitu/mali isiyo yako KWA KIFICHO bila kuonekana kwa nia ya kuuza kugawa ama kwa matumizi binafsi
mwengeso naomba unithibitishie hii post ni kazi ya mtu mwingine

Kuna nukuu nyingi umezitumia lwenye bandiko lako kuu, tulitegemea ungetuwekea 'source' ili tujihabarishe zaidi
 
Back
Top Bottom