tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,626
- 979
Uwepo wa Mungu unaenda mbali zaidi ya akili za binadamu na sayansi. Akili ya mwanadamu ikifunguliwa kidogo anaweza akapata glimpses za mambo ya siku ya Saba lakini sio kumjua Mungu mwnyewe.Mungu aliumba dunia na vyote vilivyomo kwa siku tano kwa kutamka tu na ikawa.. Siku ya SITA akamuumba mwanadamu kwa udongo kisha akampulizia pumzi ya uhai
Katika ulimwengu wa roho wanyama na vingine vyote vyenye uhai vinawekwa kwenye kundi la hayawani, ufahamu wao utaishia siku ya tano, binadamu si hayawani ana utashi kwakuwa alipuliziwa pumzi ya Kimungu lakini akanyimwa siri ya siku ya saba Mungu alipopumzika
Je ni kweli Kuna Mungu alipumzika siku ya saba? Fumbo lile la Eden mambo ya Freemasons na Satanism yana mizizi kwenye hili
Mwandishi Echart Tole katika kitabu chake cha power of now, anasema human mind can not understand God cause there's nothing to understand . And yet nothing can exist without nothing.
Mambo ya siku ya Saba akili ya mwanadamu haina Uwezo wa kuyangamua. Science na akili na utashi wa mwanadamu unaukomo wake. Nina mambo mengi ambako hata sayansi na teknolojia havina maelezo.