Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

Mbingu saba, siri na nguvu ya namba saba

777 namba ya utukufu wa Bwana aliyehai. 777 is > 666.
Saba ni utukufu na mamlaka ya kiroho, sita ni binadamu katika ulimwengu wa roho, binadamu asiye mkamilifu, ila akiwa juu ya mamlaka nyingine zote kidunia, huyu aliumbwa siku ya sita, ufahamu wake unagotea hapo
Kwahiyo anapotaka kudadisi nini kilitokea siku ya saba inayosemekana Mungu akapumzika ndipo inapokuja dhana nzima ya mpinga Kristo na Freemasons kwenye namba 666
 
Nami nakuja na namba yangu 101010

.Numerical
.Binary(programmers wananielewa vizuri hapa)
.Inasumbua sana Camp Nou(mess, dinho, eto'o) na viwanja vingine


Ongezeeni...
Eto'o hakuwahi kuvaa namba 10 alikuwa anavaa namba 9
 
Hata mganga wa kienyeji uhitaji punje au mbegu saba kuchemshia dawa, kuku huzungushwa jikoni mara saba ili asiisahau nyumba yake, zunguka mbuyu mara saba. Hapa nilitaka tu kuonesha kwamba ukuu wa namba saba haukuletwa na Bible na Quran ktk jamii zetu.

Sijui kwa zile za asia na amerika kabla ya Great lier Columbus. Lakini pia, ukiyaunganisha haya matukio ya kikanuni, Kama kuna kitu hivi hatukijui vizuri wanadamu, eidha kweli tuliwai kuishi pamoja wote, na kwa pamoja tukishea kanuni moja tu, ambayo kwasasa ni kama tumeisahau kwakuwa tumetengana kitambo ama kuna nguvu juu yetu yenye ASILI moja inatuongoza kuzijua hizi kanuni, na KWELI imejificha humo.
 
Hata mganga wa kienyeji uhitaji punde au mbegu saba kuchemshia dawa, kuku huzungushwa jikoni mara saba ili asiisahau nyumba yake, zunguka mbuyu mara saba. Hapa nilitaka tu kuonesha kwamba ukuu wa namba saba haukuletwa na Bible na Quran ktk jamii zetu.

Sijui kwa zile za asia na amerika kabla ya Great lier Columbus. Lakini pia, ukiyaunganisha haya matukio ya kikanuni, Kama kuna kitu hivi hatukijui vizuri wanadamu, eidha kweli tuliwai kuishi pamoja wote, na kwa pamoja tukishea kanuni moja tu, ambayo kwasasa ni kama tumeisahau kwakuwa tumetengana kitambo ama kuna nguvu juu yetu yenye ASILI moja inatuongoza kuzijua hizi kanuni, na KWELI imejificha humo.
Siri ya namba saba ni fumbo lenye kufumua ufahamu wa udadisi dokezi, udadisi hojaji inayochimbua asili ya uumbaji na mwenendo wa dunia na hesabu zilizo juu ya ufahamu wa kawaida wa kibinadamu
 
Kuna taarifa yako flani ulitoa humu kuhusu giza kua asili ya mwanadaam! Sasa hiI hoja naona inaupungufu mwingi sana kwa sababu kama kiza kikawaida inasababisha mambo kutokua wazi yaani mfano hata nyumbani kukiwa kiza huwezi kufanya jambo! Sasa hoja yangu wakati kiza ndo kilikuapo kabla ya uumbaji je ulifikiria mwangaza ulikua wapi? Je mfano mtu upo katika kiza kinene ukapata mwangaza ukaona vitu ambavyo hukutegemea kuviona je sio jambo la kufurahisha? Hoja yangu hii ni kutaka kukukosoa juu ya kutaka kuufanya kiza kua ni kitu ambacho ni asili yetu wakati sio kweli kwasababu je uliwahi kufanya upembuzi wako kujua mwangaza ulikua wapi? Kwasababu kabla hujazaliwa hujui ulikua wapi je unaweza kututhibitishia kua unajua ulikua kwenye kiza? Maana kabla hujazaliwa binaadam hujui cha kiza wala mwangaza ni siri yake mwenyezi mungu pekee!! Na mwenyezi mungu alikuepo kabla ya uumbaji na baada ya uumbaji! Unaweza kututhibitishia kua hakukua na mwangaza? Nadhani utakuja na jibu nzury!!
 
Saba ni utukufu na mamlaka ya kiroho, sita ni binadamu katika ulimwengu wa roho, binadamu asiye mkamilifu, ila akiwa juu ya mamlaka nyingine zote kidunia, huyu aliumbwa siku ya sita, ufahamu wake unagotea hapo
Kwahiyo anapotaka kudadisi nini kilitokea siku ya saba inayosemekana Mungu akapumzika ndipo inapokuja dhana nzima ya mpinga Kristo na Freemasons kwenye namba 666
Namba za jichawi ni zipi? Nasikia 3 na 7 zimo. Mama yao ni 13
 
Jehnam ina milango Saba pia,,,,huo mlango wa Saba ndio utatumika kuwapitisha makafiri wasio waislam na washirikina kutupwa kwenye moto wa jehanam,,,;wadumu umo
 
Back
Top Bottom