Peter Madukwa
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 3,135
- 2,471
Rais Samia Suluhu Hassani amezindua rasmi mpango wa ruzuku ili kukabiliana na bei ya mbolea nchini ambao baada ya ruzuku hiyo, mkulima atanunua kwa bei ya chini kama inavyoonekana ktk jedwali.✊🏿
Tangu aingie madarakani, Rais Samia amefanya jitihada kadhaa kwa ajili ya kuhakikisha kuwa sekta ya kilimo inaleta tija kubwa nchini huku akishughulika zaidi ktk maeneo ya utafiti, pembejeo na kilimo cha umwagiliaji.
Kwa mujibu wa takwimu za kiuchumi; asilimia kubwa ya watanzania wanategemea sekta ya kilimo kujikwamua kiuchumi.
Tangu aingie madarakani, Rais Samia amefanya jitihada kadhaa kwa ajili ya kuhakikisha kuwa sekta ya kilimo inaleta tija kubwa nchini huku akishughulika zaidi ktk maeneo ya utafiti, pembejeo na kilimo cha umwagiliaji.
Kwa mujibu wa takwimu za kiuchumi; asilimia kubwa ya watanzania wanategemea sekta ya kilimo kujikwamua kiuchumi.