zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 10,146
- 21,477
Habari wakuu
Moja kwa moja kwenye mada
Bashe kupitia wizara yako ulituhaidi wakulima tunaolima kupitia vyama vya msingi kunufaika na mboleo ya ruzuku
Kweli mwaka huu tumepokea mbolea zilizo na vifungashio vyenye nembo ya ruzuku, tukakubali kwamba ahadi ya kumuinua mkulima kunufaika na ruzuku imetimia
Hizi siku mbili TCJE amekuwa akizitaka unioni (vyama vikuu vya upili ) kuwatoza vyama vya msingi bei ya mbolea isiyo na ruzuku kitu ambacho ni kinyume na makubaliano ya awali na ahadi ya serikali.
Tunakuomba mh. Bashe ulisemee hili na wakulima wa vyama vya msingi (hasa wakulima wa tumbaku) tutanufaika na mbolea ya ruzuku ama hapana
Maana TCJE amekuwa muhuni sana kwenye uagizaji wa pembejeo, analeta kwa kuchelewesha na bado anataka kuondoa ruzuku
Moja kwa moja kwenye mada
Bashe kupitia wizara yako ulituhaidi wakulima tunaolima kupitia vyama vya msingi kunufaika na mboleo ya ruzuku
Kweli mwaka huu tumepokea mbolea zilizo na vifungashio vyenye nembo ya ruzuku, tukakubali kwamba ahadi ya kumuinua mkulima kunufaika na ruzuku imetimia
Hizi siku mbili TCJE amekuwa akizitaka unioni (vyama vikuu vya upili ) kuwatoza vyama vya msingi bei ya mbolea isiyo na ruzuku kitu ambacho ni kinyume na makubaliano ya awali na ahadi ya serikali.
Tunakuomba mh. Bashe ulisemee hili na wakulima wa vyama vya msingi (hasa wakulima wa tumbaku) tutanufaika na mbolea ya ruzuku ama hapana
Maana TCJE amekuwa muhuni sana kwenye uagizaji wa pembejeo, analeta kwa kuchelewesha na bado anataka kuondoa ruzuku