Mbolea ya Mama Samia Kwa Wakulima Yajibu. Uzalishaji wa Mazao ya Chakula wavunja rekodi ya Miaka 8 Iliyopita

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,076
49,785
Programu ya utoaji wa ruzuku ya mbolea Kwa wakulima imezaa matunda Kwa uzalishaji wa mazao ya chakula na nafasi kuongezeka mara dufu huku rekodi iliyowekwa mwaka 2015 ikivunjwa rasmi.

Hongera Sana Wakulima na hongera sana Rais Samia na Waziri Bashe Kwa kazi nzuri inayoonekana.Sasa maghala ya Hifadhi za chakula nfra yamefurika na hivyo Nchi Iko tayari kukabiliana na janga la njaa in case litatokea Kwa sababu za looming of El nino.


View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1713113617522884789?t=Hng96GapdKHQinwN760HXw&s=19

My Take
Nilimsikia Rais anasema programu hii ya ruzuku itakoma 2025 but niiombe Wizara na Serikali ya Mama kuendelea kutoka ruzuku za pembejeo Hadi hapo bei za mbolea nk zitakaporudi kuwa wastani kama zamani.
 
Huyu chawa,usikute ni mwanaume.....ndo mana mashoga wanaongezeka kwa kasi.

Nilifikiri ungemshukuru Mungu kwa kuleta mvua ,siyo huyo.....muuza nchi
 
Huyu chawa,usikute ni mwanaume.....ndo mana mashoga wanaongezeka kwa kasi.

Nilifikiri ungemshukuru Mungu kwa kuleta mvua ,siyo huyo.....muuza nchi
Jikite kwenye hoja chuki hazitanadili maisha Yako ila hulazimishwi.
 
Chuki ipi,
Yan mnasifia kwenye Hamna nenda kaulize bei ya michele,unga,ngano ,sukari mafuta....
Ukiona unajipendekeza sana ujue dalili na viashiria vya ushoga
Bei za michelea na unga vinahusianaje na number prices?

Kwani wewe unakuja na mapovu unataka bei ziwaje? Yaani nilime Mimi wewe ununua elfu 40 gunia? Pumbavu.
 
Back
Top Bottom