Mbeya na mambo yao

6.Penguine anatokea Mbeya
7. wanawake wenye uasili halisi wa ubantu wanatokea mbeya..wazuri I mean,,
8.Sugu anapatikana Mbeya
9.

prof luhanga - mbeya
prof nkoma- mbeya
joshua mulenga-mbeya
bamfuchile-mbeya
ezekiel jujuman- mbeya
 
Lawlence Mwalusako, Godwin Aswile, Ezekiel Greyson (Jujuman) .... go on, kocha maarufu enzi hizo kufundisha mpira kama wa brazil Dan Korosso anatoka Mbeya.

Kocha wa yanga Mwalubhanda (marehemu) alitoka Mbeya. Wanariadha Genia Mboma na Mwinga Mwanjala kwao Mbeya.
 
Alafu nimewahi kusikia Mbeya ni ya pili kwa idadi kubwa ya Makanisa Afrika, kwa maana ya madhehebu ya kikristu, ikiifuatia Abuja, Nigeria. Kuna mdau anaweza kuthibitisha mimi sina taharifa za kutosha kuthibitisha?

taharifa = taarifa
 
Hapana, mashamba makubwa ya chai nchini yanapatikana Mufindi, mkoani Iringa ambako asilimia 90 ya chai yote inayozalishwa Tanzania na kutumika nchini hupatina na pia kuchangia asilimia 60 ya chai yote inayouzwa nje ya Tanzania
 
Mumesahau.....na mimi - Mbeya.
Home sweet home, tena this december kwenye kalikizo ka-Xmas na Mwaka Mpya nitakuwa Mbeya na Tukuyu.
Kuna ziwa Masoko.
Kuna ziwa la ki volcano linalopatika juu kabisa mlimani (Tukuyu)na bado ukienda utakuta majivu ya volcano hiyo, ni ngumu sana kufika.
Kuna mtafiti mmoja toka nchi za ulaya alipata kusema "Nashindwa kuelewa niishangae vp serikali ya Tanzania, utalii uliopo mkoa wa Mbeya hauongelewi wala kutangazwa popote wao kwao utalii ni wanyaa an mount Kilimanjaro, hawajui kuwa utalii uliopo eneo lile unaweza ku double ule uliopo sasa"
 
Nina mpango wa nitakapokuwa Tukuyu this time, niangalie uwezekano wa kuanzisha aina ya utalii ambao wageni watafikia katika nyumba maalum za wana vijiji na kabla ya kufika watakuwa kupitia mtandao wanachagua activities zilimo kwenye menu ambazo wangependa kushirikiana na wananchi, au kama wangependa kutembelea maeneo tu.
 
Haya ni baadhi tu ya mambo yaliyowahi kutokea huko Mbeya.
  • Eneo la Forest kulikuwa na msitu mkubwa ambako mauji yalikuwa yakifanyika kila uchao.
  • Eneo la soweto kulikuwa na wachinjaji, kila mara miili ya watu waliochinjwa ilikuwa ikukutwa eneo hilo.
  • Nonde ni kitongoji kilichopo Mbeya mjini, ila kimekaa kama kiko maili elfu tatu kutoka mjini. Bangi inavutwa hadharani kuanzia kwenye ngazi ya familia. Huko kazi yao kubwa, kinababa ni kuchinja ng'ombe na wanawake kufanya biashara ndogondogo soko la Mabatini. Kiongozi asiye rasmi aliyewahi kusimika bendera na kudai kuwa Nonde ni nchi yake alikuwa ni Baunsa mchinja ng'ombe maarufu akiitwa Mwasimba.
  • Jombi alikuwa ni jambazi maarufu zambia na tanzania akiteka magari, kupora magari na mali za watu.Alikuwa akitoa taarifa kabla hajafanya uhalifu wake. Wazungu wa Denmark waliokuwa wakifadhili mradi wa maji danida walikatisha msaada wao baada ya Jombi kuua na kubaka mke wa mkurugenzi wa mradi huo. Mkapa akatoa amri kuwa jombi akamatwe. Vikosi maalum ndio vilivyoenda kumkamata jombi.
  • Mbeya kuna makanisa mengi sana yenye majina ya Kiingereza, Kiswahili, Kinyiha, Kisafwa, Kimalila na Kikimbu. Makanisa mengi na uovu mwingi vyaenda sambamba.
  • Waimbaji wa nyimbo za injili wanaovuma wengi wao wana asili ya Mbeya.
  • Pombe ya kadansana ilikuwa maarufu sana mwaka 2000, haijuulikani ilikokuwa ikitokea. Ilikuwa ikiua sana watu, na watu waliendelea kuishabikia hadi ilipogundulika kuwa inatoka Malawi, ikapigwa marufuku kabisa.
  • Mauaji na uchunaji wa ngozi uliwatisha sana watu waishio nje ya mkoa wa Mbeya, Mbeya hali ilikuwa shwari kabisa.
  • matukio ya kupigana na nondo ilikuwa gumzo sana mwaka juzi na mwaka jana, wengi walijeruhiwa.
  • Leo Mbeya kuku na nguruwe wananenepeshwa kwa dawa za kuzuia makali ya ugonjwa wa ukimwi.
  • Pombe inayoitwa kiduchu ndio sasa iko kwenye midomo ya watu. lmeacha gumzo kwa kuwa ukiiweka kwenye chupa inavimbisha chupa hadi inapasuka. pombe hiyo inahifadhiwa kwenye vyungu.Ni ya hatari lakini wana Mbeya wanaendelea tu kuinywa.
  • Kuna vivutio kibao vya utalii lakini havitangazwi, sijui ni kwanini.
  • Pichani ni kijana Peter muongoza watalii akijipumzisha baada ya kazi ngumu ya kutwa nzima.
  • 2338502-Peter_after_a_hard_days_work-Mbeya.jpg


...well said buddy! Pia Mbeya ni mkoa pekee ambao wamewahi kuonyesha hisia zao kwa vitendo kwa rais wa nchi kwa kumpopoa kwa mawe!!!
 
na sasa Mbeya vijana wengi wanautajil wakuku na nyoka unaopatikana Tunduma..unakuwa na hela nyingi kwa muda mfupi.
 
Msisahau hata ukimwi uliiingilia huko pia!

Enzi hizo ukiitwa Kizambia! teh teh teh by the way asili yangu ni pale Isange Mwakaleli, Tukuyu(inatamkwa TOKYO) ; Mbeya


...si kweli hapo kwenye red, Ukimwi uliingilia Bukoba (Kagera) ukitokea Uganda. Ila ukweli ni kuwa mkoa wa Mbeya ni mmoja kati ya mikoa yenye kiwango cha juu cha maambukizo ya Ukimwi. Inachuana na mikoa ya Iringa na Dar es Salaam!
 
Kocha wa yanga Mwalubhanda (marehemu) alitoka Mbeya. Wanariadha Genia Mboma na Mwinga Mwanjala kwao Mbeya.
Kocha wa simba na wa taifa oscar koroso alitokea mbeya.wabunge wa wili wa ccm walipewa sumu wametomea mbeya
Rais kupigwa mawe kwa mara ya kwanza. Naipenda mbeya
 
  1. Kule mitaa ya Ilemi kuna kanisa kila baada ya nyumba kumi mengi ya makanisa hayo ni ya kifamilia hayana waumini zaidi ya baba, mama na watoto
  2. Mitaa ya Block T kuna majumba ya kifahari yasiyokaliwa na watu na mengine yameachwa kuoza kutokana na wenyewe kufa kwa Ukimwi
  3. Mitaa ya Mwakibete, Kwa mama John, Isanga na Sai nguruwe aka kitimoto wanaachwa kuzurura mitaani kujitafutia malisho bila kupata malalamiko toka kwa majirani
  4. Jombi pamoja na kuwa aliua na kuacha watu wengi wakiwa vilema kwa sasa anaendesha gereji yake pale Sowoto bila usumbufu wowote.
  5. Wilaya ya Ileje na Mbozi ni mojawapo ya maeneo yenye wafuasi wengi sana wa dini za asili aka wapagani wao siyo Waislam wala Wakristu huko ndiko kwenye matukio mengi ya uchunaji ngozi za watu.
  6. Mji wa Vwawa na Tunduma ni mojawapo ya miji inayokuwa kwa kasi sana. Majumba mengi ya Kifahari yamejengwa na vijana wa kati ya miaka 18-35 huku kukiwa na tetesi kuwa utajiri wao ni wa kishirikina
  7. Kabila la Wanyamwanga lilisifika kwa kula nyama za Watu hadi Nyerere akatuma kikosi cha Wanajeshi kwenda kuwahamisha toka makazi yao ya Asili na kuwahamishia maeneo mengine ikiwemo Songwe. Ndio maana ukisikia ajali imetokea maeneo ya Songwe usishangae kuona wazee wanaenda kuokota nyama za watu badala ya kusaidia majeruhi, Kwao ni chakula na wao ni chanzo cha ajali kwa ushirikina wao
 
Samaki watamu sana ( imbelele ni mbasa), hali ya hewa nzuri na wakati wote kijani, baridi kali sana ( Mwakaleli, kulisu ipimba na mahala mingi) raha, vyote vinapatikana Mbeya
 
Wasomi ma Tanzania One wengi wametoka mbeya
Mbeya kuna ziwa moja sio maarufu sana linaitwa ziwa Gosi, hilo lilivokaa kaa linawatisha watu, inadaiwa lilihamishwa Tukuyu likaja huku mbelembele na Igawilo, hilo ziwa ukiongea kinyakyusa eti linakulamba, mwenye detail kidogo atupe kuhusu hilo ziwa.
Tuliwahi kuzulu hilo ziwa tukakuta kuna mawe mengi ya majina ya watu kama wa nne hivi sio watanzania waliokuwa wanafanya utafiti walipotelea humo humo.
Mbeya kweli kwa Tofauti.
Wanaoumwa magonjwa ya ajabu wanatoka Mbeya (Mwakyembe & Mwandosya)
 
Back
Top Bottom