Mbeya na mambo yao

Ni mji ambao ifikapo saa mbili tu watu wanjifungia majumbani mwao sijui wanogopa Nondo au
Ni kweli kabisa tunaogopa nondo, lakini matukio haya kwa sasa yamepungua, tuzidi kumwomba Mungu yasiwepo kabisa. Karibuni maparachichi kwa wingi jijini kwetu Mbeyaaaaaaaaa.
 
who said there is no Beach in Mbeya??

MATEMA BEACH!
Picture+006.jpg

Picture+009.jpg

Picture+005.jpg
Picture+007.jpg


SOURCE; Bayless (Billy) Parsley BLOG
 
Aisee Mbeya kuna hazina kubwa sana. Halafu ulisahau, kiwanda kikubwa cha bia na cha kisasa Afrika mashariki kinapatikana Mbeya, Viwanda vingine kama Cocacola, Pepsi n.k. vinapatikana Mbeya. Station nzuri ya garimoshi kama hii hapa kwenye picha na yenyewe inapatikana Mbeya.
attachment.php

..........Wow!! Umenikumbusha Iyunga.
 
Lakini pia kwa uchafu nao umo sana tu. wenyeji na raia wa pale wasafishe jiji lao. Tusiusifiee tu tukasahau na mengine ya kurekebisha
 
Majina mazuri pia yanapatikana mbeya
Mwakajinga
Mwakifulefule
Mwakifamba
Mwakyembe
Mwakikoti
Mwakyusa
Mwakipesile
n.k
 
Majina mazuri pia yanapatikana mbeya
Mwakajinga
Mwakifulefule
Mwakifamba
Mwakyembe
Mwakikoti
Mwakyusa
Mwakipesile
n.k

YAPS !!!!
Na Mwakasungula
Mwasaguti
Mwakisisile
Mwakyomo
Mwambapa
Mwandenuka
Mwampamba
Mwamasika
Mwakyambiki
Mwambepo
Mwasakyeni
Mwampulo
Mwa....mwa.....mwa....mwa......................................
 
YAPS !!!!
Na Mwakasungula
Mwasaguti
Mwakisisile
Mwakyomo
Mwambapa
Mwandenuka
Mwampamba
Mwamasika
Mwakyambiki
Mwambepo
Mwasakyeni
Mwampulo
Mwa....mwa.....mwa....mwa......................................
mwakalobo
mwaitege
kajigili
mwasota
songopa
mwaigomole
 
Viazi..Vinatoka MBEYA

msisahau hili...Chips mnazokula huko Dar..(kuna mwalimu mmoja darasani enzi hizo alikuwa anasema msichana wa Dar unampata kwa viazi vitatu, akimaanisha sahani moja ya chips inatengenezwa kwa viazi 3 tu na ndo hiyo inamsababisha msichana akukubali(chips na koka ya baridi..huh!)

tEHEEE..!
 
Mkuu wa Mkoa anaetumiwa na mafisadi kuuangamiza kimaendeleo mkoa wa kwao anatoka Mbeya!!!

Watu wanaooneana wivu usiokuwa na maendeleo wao kwa wao wanatoka Mbeya!!!

Katika hayo majina mmelisahau la Mtanzania nae si anatoka kwa wachuna ngozi!!!
 
Mkuu wa Mkoa anaetumiwa na mafisadi kuuangamiza kimaendeleo mkoa wa kwao anatoka Mbeya!!!

Watu wanaooneana wivu usiokuwa na maendeleo wao kwa wao wanatoka Mbeya!!!

Katika hayo majina mmelisahau la Mtanzania nae si anatoka kwa wachuna ngozi!!!

Mwakipesile ama Mwakalinga?
 
Alafu nimewahi kusikia Mbeya ni ya pili kwa idadi kubwa ya Makanisa Afrika, kwa maana ya madhehebu ya kikristu, ikiifuatia Abuja, Nigeria. Kuna mdau anaweza kuthibitisha mimi sina taharifa za kutosha kuthibitisha?
 
Dah Bujibuji upo sahihi kabisa.
Mambo ya mbeya we acha tu umesahau kuweka wanawake wa Mbeya wanapenda sana vipodozi mtu mweupe lakini utaona bado anajichubua.
 
Mgodi wa makaa ya mawe uko mbeya
Gesi nyingi na safi inapatikana mbeya
Migodi midogo ya dhahabu mbeya
Kiwanda kizuri ca cement mbeya
kimwondo kilichoanguka mbeya
Shule nzuri a nyingi sana za sekondary za private mbeya
wasomi wengi wanapatikana/wametokea mbeya
hoteli nzuri na za kisasa zipi mbeya
international airport wanataka kuizuia mbeya
madini(gemstone-pandahill) ambayo hayapatikani sehemu nyingine duniani
watu wakarimu zaidi wanaparikana mbeya
kitu gani nimesahau, yes hospital ya rufaa siyo kitu kidogo
bonde la ufa na matetemeko ya ardhi-mbeya
ziwa nyasa-lenye mawimbi makali


kwanza niendelee kukumbuka ....

Barabara inayopita katika urefu mkubwa kabisa Tanzania toka usawa wa bahari- Mbeya (Ni barabara ya Mbeya -Chunya)
 
Back
Top Bottom