Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,754
sasa JOMBI ALIFUNGWA , YUko hai ama ? hii stori ya Jombi imeniacha kinywa wazi
Said Abinala a.k.a Jombi alifungwa baadaye akatoka,jamaa laishindikana kabisa huyu Mbeya na nadhani katika maisha yake hatamsahai Ex RPC wa Mbeya Laurian Sanya...Jombi aliishika sana Mbeya jamani nakumbuka Ex RPC wa Mbeya mzee Yohana Mapunda alistaafishwa kwa manufaa ya umma mojawapo ya sababu ikiwa ni kumkumbatia huyu Jombi