Mbeya na mambo yao

Mbeya na mambo yao

WAGUMU kufa-mbeya (Mwakyembe, Ulimboka.......Mwangosi-bahati mbaya alilipukiwa na kitu chenye ncha kali).....Chai bora-mbeya, kahawa bora-mbeya....ni mbeya mbeya mbeya mbeya kila kitu

Mwandosya uemsahau....!!
 
Uwiii! Umenikumbusha mbali sana?? Unajua jeshi la wanachi Jwtz ndo lilikuja kutoa ile bendera , watu wakazusha vita ndo inaanza na kipindi kile ndo kulikuwa na kale kafununu ka mwisho wa dunia ndo unafika !! Intact nimekukubali bujubuji !!
 
hata nyumba zote hapo kwenu dar na Tanzania nzima zilizo andikwa nyumba za msajili ni za mtu wambea maarufu sana tenamjomba wangu anaitwa Asajile Mwaijumba,
 
Said Abinala a.k.a Jombi alifungwa baadaye akatoka,jamaa laishindikana kabisa huyu Mbeya na nadhani katika maisha yake hatamsahai Ex RPC wa Mbeya Laurian Sanya...Jombi aliishika sana Mbeya jamani nakumbuka Ex RPC wa Mbeya mzee Yohana Mapunda alistaafishwa kwa manufaa ya umma mojawapo ya sababu ikiwa ni kumkumbatia huyu Jombi
bwana kova hakumkata jombi kweli??
 
Nasikia eti Mbeya ni nchi, rais wao ni Sugu.

Nasikia rais huyo sifa yake kuu ni kuwapa 'dole la kati' masnitch wote popote pale awapo.

-Kaveli-
 
hiyo ndiyo Moon Bay hiyo! nyingine photocopy!🙁
 
Mara yakwanza kugusa mbeya mzee wangu alinikabidhi sime,vipi MWAMBA bado upo,nipombe flan ilikua inatengenezwa hapo iwambi nafkir,poteza watu sana hiyo pindi inaingia,but mbeya ipo vizuri matukio mengine watu walipaisha tu,mm nimeishi mbalizi hapo kwa amani tu,
 
Mara yakwanza kugusa mbeya mzee wangu alinikabidhi sime,vipi MWAMBA bado upo,nipombe flan ilikua inatengenezwa hapo iwambi nafkir,poteza watu sana hiyo pindi inaingia,but mbeya ipo vizuri matukio mengine watu walipaisha tu,mm nimeishi mbalizi hapo kwa amani tu,
Nadhani walifunga kile kiwanda wale jamaa. Sijawasikia tena. Ngoja tuwaulize walio Mbeya, watatupa majibu
 
Nasikia eti Mbeya ni nchi, rais wao ni Sugu.

Nasikia rais huyo sifa yake kuu ni kuwapa 'dole la kati' masnitch wote popote pale awapo.

-Kaveli-
Daa home kwetu bana,mic sn homeland.
Yeah Mbeya nchi rais Sugu,huwa hawamwelewi mtu mwingine kule.anakaa nao mtaani na vijiweni.Mic Mbalizi-Mbeya.
 
mamake ya le muutuzi malechela kwao mbeya.tulia ackson kwao mbeya
 
mkuu Bujibuji wametuondolea machinjio huku Nonde, kumepwaya sana. tulikuwa hatununui nyama buchani. saa nne kazi imeisha, tunaenda kubeba vyuma.walikuwa wanatusifu kwa uchawi ila sijawahi uona hata siku moja.
 
wasomi na wataalamu wa fani mbalimbali wapo Mbeya....Soon jiji kubwa kuliko yote tza litakuwa ni Mbeya
 
Back
Top Bottom