Mbeya na mambo yao

Mbeya na mambo yao

Pia kulikuwa na maeneo tata kama Isanga, Mafiati na K-ndege (Maarufu kama Uwanja wa Ndege)
 
Wambeya bwana utawajua tu yaani hawana tofauti, sijui kuna mahusiano gani na hawa walima ndizi wa katelero, kibororoni na ushirika ni majisifu tu na gesi yetu ya mtwara iishie kwa wamakua na wamakonde tujenge reli alaf tuje tujisifu kwa sababu kodi yetu sote imewafikisha hapo leo mnajiona mmebarikiwa sana
 
Hapana chezea Green City kama ikojua Mbalizi, Mwanjelwa(Dox), Uyole (njia panda), Mabatini, Soko matola, all in all SOWETO, big 4 those coming from Mbeya City
 
Mbeya ukiwa mtu wa starehe ni rahisi kujulikana hata kama umefika mkoa huu ndani ya wiki kutokana kuwa na sehemu moja ya kula bata na zote ziko jirani.
 
Wanawake wengi ni wanafanyabiashara ya kuuza ndizi mbivu na parachichi ktk vituo vya mabasi hasa uyole huku wamebeba watoto wadogo mgongoni
 
Wanawake wengi ni wanafanyabiashara ya kuuza ndizi mbivu na parachichi ktk vituo vya mabasi hasa uyole huku wamebeba watoto wadogo mgongoni

Wanaweka bidhaa nzuri sehem ya juu ya ndoo na huku sehem ya chini ya ndoo majanga
 
ngagha fijo bha myitu, mma kumbeje ni nchi ya ahadi [ISRAEL]
 
mgodi wa makaa ya mawe uko mbeya
gesi nyingi na safi inapatikana mbeya
migodi midogo ya dhahabu mbeya
kiwanda kizuri ca cement mbeya
kimwondo kilichoanguka mbeya
shule nzuri a nyingi sana za sekondary za private mbeya
wasomi wengi wanapatikana/wametokea mbeya
hoteli nzuri na za kisasa zipi mbeya
international airport wanataka kuizuia mbeya
madini(gemstone-pandahill) ambayo hayapatikani sehemu nyingine duniani
watu wakarimu zaidi wanaparikana mbeya
kitu gani nimesahau, yes hospital ya rufaa siyo kitu kidogo
bonde la ufa na matetemeko ya ardhi-mbeya
ziwa nyasa-lenye mawimbi makali


kwanza niendelee kukumbuka ....

ughonile wa kukaja.
 
Ni mji wa pili kwa makanisa Africa baada ya Lagos Nigeria.
 
Niliwahi kukoswa na nondo mwaka juzi maeneo ya Nzovwe. Nilipofuatilia nikaambiwa hawakua na haja ya pesa ila damu tu wakafanyie tambiko buchani. Nilifungasha virago siku 3 mbele. Nitarudi tena nikisikia wameacha ule mchezo.
 
Usisahau uwanja wenye uwezo wa kutua ndege kubwa za abiria na mizigo upo maeneo ya songwe uko uko mbeya.Pia kwa wakazi wa mkoa huu hawana shida ya kuja dar maeneo ya ufukweni kwani pia tuna beach itwayo Matema.Najivunia kutoka mbeya
 
Mbeya ni mkoa ktk tanzania ina rais wake joseph 2nyi aka sugu
 
WAGUMU kufa-mbeya (Mwakyembe, Ulimboka.......Mwangosi-bahati mbaya alilipukiwa na kitu chenye ncha kali).....Chai bora-mbeya, kahawa bora-mbeya....ni mbeya mbeya mbeya mbeya kila kitu
 
Back
Top Bottom