At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
ASANTENI SANA WANA MBEYA,SUGU KACHUKUA JIMBO TENA!
Jimbo gani?
Au la bavicha
ASANTENI SANA WANA MBEYA,SUGU KACHUKUA JIMBO TENA!
🤓 mzee umekosea kuandika.ASANTENI SANA WANA MBEYA,SUGU KACHUKUA JIMBO TENA!
Yashatoka, Dr Tulia ndiye mbunge Mteulembn danadana nyingi sana simtoe matokeo
Shoga baba ykoBora kushangilia mwizi kuliko kushangilia shoga..
Sent from my Infinix X655 using JamiiForums mobile app
utabaki hivyo hivyo kuota ndoto ambazo hazipoMbeya kwa wajanja, naiona Mbarali na Rungwe zikibebwa na CHADEMA
Thats it..So hii ina manisha hakuna mpinzani Tanzania bara atakaye ingia bungeni
sugu kapigwa chini na tuliaMacho yote kwa Kinanasi wa Kyela na Sugu wa Jiji!
View attachment 1615260
Ameshapewa cheti cha ushindi. Mbeya imekataa fujo na kuchagua maendeleo. Mbeya nilienda mwaka huu haistahili kabisa ilivyo.
Wagombea wote wa Chadema wamefeli, upinzani bungeni watakuwepo ACT wazalendo pekee kutoka Pemba!sugu kapigwa chini na tulia
Hili sio la kufurahia hasa kwa mtu mwenye uelewa mpana wa maswala ya siasa na kwa maslahi mapana ya nchiChadema hawatakaa wamsahau Magufuli. Na hapo akiapishwa hakuna siasa mpaka 2025, mkija kujikung'uta mnaanza kugawa ubwabwa pale Ufipa. Asanteni watanzania kwa kuwapa mikwaju ya kisawasawa.
Mungu wangu,, hivi kumbe Lisu na chadema ni bure kabisaWagombea wote wa Chadema wamefeli, upinzani bungeni watakuwepo ACT wazalendo pekee kutoka Pemba!
Tutakaoumia Ni wananchi sio wanasiasa.Naona mambo yatakavyokuwa magumu 2020-2025Chadema hawatakaa wamsahau Magufuli. Na hapo akiapishwa hakuna siasa mpaka 2025, mkija kujikung'uta mnaanza kugawa ubwabwa pale Ufipa. Asanteni watanzania kwa kuwapa mikwaju ya kisawasawa.