Hayati Magufuli ulinisababishia dhambi uchaguzi mkuu 2020 na sijui kama Mungu atakusamehe

Mar 14, 2017
38
113
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu

Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.

Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais, mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana. Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.

Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike. Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.

Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm. Kwenye matokeo diwani 98%, mbunge 98% rais 95% tukaona Lissu tusimnyime kabisa tukampa 3% na wengne 2%.

Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa. Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.

Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.

Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.
 
Kwa hiyo unakiri kushiriki KUICHAFUA uchaguzi mkuu 2020... fanya toba kwa Mungu wako yeye ndiye anayesamehe na kusahau. Damu za waliouwawa kupitia uchaguzi huo zitatakwa mikononi mwenu endapo hamtatubu


Nawafahamu wapo ambao walienda kusimamia uchaguzi na mabegi ya kura tayari.

Leo wapo huko facebook wanamlaani mama kana kwamba wao ni wasafi kivile
 
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu .Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.
Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais,mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana.Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike.Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.
Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm .Kwenye matokeo diwani 98%,mbunge 98% raisi 95% tukaona Lisu tusimnyime kabisaa tukampa 3% na wengne 2%.
Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa.Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.
Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.
Kama ndivyo, ulifanya dhambi hiyo unayosema kwa sababu ya moja Kati ya yafuatayo.

1. Umasikini wako. Kiasi kwamba ukakusababishia ukubali ili upate pesa ya usimamizi. Ungekuwa unajitosheleza kiuchumi ungekuwa tayari kuachana na kitu kinachokusababishia dhambi.

2. Upumbavu wako. Na hii nimei-bold kabisa na siitolei maelezo maana imejitosheleza.
 
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu .Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.
Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais,mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana.Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike.Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.
Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm .Kwenye matokeo diwani 98%,mbunge 98% raisi 95% tukaona Lisu tusimnyime kabisaa tukampa 3% na wengne 2%.
Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa.Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.
Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.
Upumbavu mtupu
 
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu .Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.
Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais,mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana.Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike.Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.
Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm .Kwenye matokeo diwani 98%,mbunge 98% raisi 95% tukaona Lisu tusimnyime kabisaa tukampa 3% na wengne 2%.
Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa.Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.
Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.
Nimecheka lakini nimeumia mnoo!Na tukiwaambia hawa kenge wanaemuita Joni Ni shujaa wanachukia.Mimi nimekusamehe.Matokeo tunayaona.
 
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu .Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.
Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais,mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana.Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike.Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.
Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm .Kwenye matokeo diwani 98%,mbunge 98% raisi 95% tukaona Lisu tusimnyime kabisaa tukampa 3% na wengne 2%.
Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa.Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.
Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.
Demokrasia ni ya mdomoni!
 
Kwa nini ulishiriki kudhulumu haki za Watanzania ? mikono yako imejaa damu za Watanzania wasio jiweza mlio wanyima haki zao.

Nyie, jkt , polisi, walimu mna damu za Watanzania wasio na hatia mikononi mwenu zikiwa lilia mlishiriki mpaka kufikia hatua ya kuwa vunja, kuwapa ulemavu wengine kuwaua ili tu CCM iendelee kuwafanya Watanzania masikini.

Nenda kawaombe msamaha Watanzania wa eneo hilo ulilo simamia, msamaha wa hapa haukusaidii kitu damu zao zitaendelea kukulilia wewe na kizazi chako kwa kushiriki kunyima haki zao.
 
Hongera sana kwa kutambua kuwa ulitenda dhambi kubwa kwa kupindisha matakwa ya umma. Magufuli alikuwa jambazi mkubwa na tayari ameshavuna alichopanda!
Watanzania wenzangu pole na majukumu yenu .Uchaguzi wa 2020 uliniachia dhambi ambayo hadi leo nikiikumbuka ninaumia sana lakini pia inanifanya kuwa mnyonge.
Mimi nilikuwa msimamuzi mkuu wa kituo cha uchaguzi wa maraisi,wabunge na madiwani 2020. Siku moja kabla ya uchaguzi alikuja mkurugenzi wa halmashauri na mtendaji kata wa kata yangu tukitwa wasimamizi wakuu wa vituo peke yetu.Tukaambiwa kwenye kituo chako usipopata 95% ya uchaguzi kwenye nafasi ya rais,mbunge na diwani utaeleza ulikuwa unafanya nini.

Mkurugenzi akaenda mbali na kusema raisi ametuagiza tuhakikishe tunawapa ulinzi na saport ili mhakikishe ushindi wa kimbunga unapatikana.Kwenye kituo changu sasa ilinibidi kuhakikisha mtendaji wa kata anafnya mpango wa kuhakikisha mawakala wote wa vyama vya upinzani hawakai ndani.Barua alizowapa alizigonga mhuri mmoja alafu barua ya msimamzi wa CCM ikagongwa mihuri miwili.Sasa maelekezo yakaja kuwa endapo amekuja wakala chama kingne barua inamhuri mmoja anatakiwa kurudishwa kwa mtendaji ili ikamilike.Mtendaji nae akafunga ofisi ili wakienda wasimkute waanze kuzunguka tu.
Aisee sisi humo ndani tukabaki wenyewe tukaambiwa tuchane karatasi tupige kura tukishirikiana na wakala wa ccm .Kwenye matokeo diwani 98%,mbunge 98% raisi 95% tukaona Lisu tusimnyime kabisaa tukampa 3% na wengne 2%.
Ila mpaka leo nafsi inaniuma kweli kweli kwa hicho tulichokifanya.Wale waliompenda Lisu tulihakikisha zinakuwa za Magu ili tupate 95% kama maelekezo valivyotolewa.Tulilinda kazi zetu lakini ni dhambi kubwa tulilazimishwa na Magu.Mungu atusamehe tushamuomba toba.Sijui Magufuli kama alikuwa ashaomba toba au laa mpaka kifo kinamjia.Kama alikuwa bado huko yupo anavuna alichopanda kwa kupata virungu vya maana lakini kama kosa alilijua mapema akaomba msamaha Mungu ashamsamehe.
Namuomba Samia asithubutu 2025 kufanya huo unyama la sivyo Mungu atamuadhibu na inawezekana akamchukua mapema 2026 baada ya uchaguzi.

Kwa hiyo unakiri kushiriki KUICHAFUA uchaguzi mkuu 2020... fanya toba kwa Mungu wako yeye ndiye anayesamehe na kusahau. Damu za waliouwawa kupitia uchaguzi huo zitatakwa mikononi mwenu endapo hamtatubu


Nawafahamu wapo ambao walienda kusimamia uchaguzi na mabegi ya kura tayari.

Leo wapo huko facebook wanamlaani mama kana kwamba wao ni wasafi kivile

Kuomba msamaha ni jambo la hekima hope Mungu mkuu wa mbinguni amekusamehe

Kwani umekiri kwa dhati kabisa.

Kama ndivyo, ulifanya dhambi hiyo unayosema kwa sababu ya moja Kati ya yafuatayo.

1. Umasikini wako. Kiasi kwamba ukakusababishia ukubali ili upate pesa ya usimamizi. Ungekuwa unajitosheleza kiuchumi ungekuwa tayari kuachana na kitu kinachokusababishia dhambi.

2. Upumbavu wako. Na hii nimei-bold kabisa na siitolei maelezo maana imejitosheleza.

Kuna siri ukikaa nazo moyoni unahisi kama unataka kupasuka, yaani unajikaza lakini inashindikana mpaka pale utakapoitoa ndipo utapata ahueni kama hivi ulivyofanya! Naamini hutahisi hatia tena

Upumbavu mtupu

Dhambi ufanye wewe, lawama umpelekee MAGUFULI... wewe kipindi unafanya uliyofanya hukujua ni udanganyifu? Kwanza anayepanda huo udanganyifu ni mkurugenzi. Lalamikia mkurugenzi wako

Wewe utakuwa ni mchawi.
 
Back
Top Bottom