Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,905
- 33,482
Una uhakika dhalimu wako ndio alimteka?Nasema hivi, kama dhalimu alijua Mdude anauza unga, kwanini aliagiza atekwe kwanza badala ya kumpeleka mahakamani?
Mdude ndio huyo yupomahakamani kwa hiyo kama ana hatia mahakama itaamua