Haki ya kuandamana mahakama kuu Mbeya kufanya uamuzi mdogo Desemba 14, 2023

Mdude_Nyagali

Member
Dec 11, 2022
60
1,237
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu;

1. Wanadai tumefika mahakamani bila kusubiri rufaa yetu kwa waziri. Kama mtakumbuka baada ya OCD kuzuia maandamano yetu tulikata rufaa kwa waziri na waziri hajawahi kujibu mpaka leo.

2. Hatujamuunganisha IGP. Wanadai aliyepaswa kushtakiwa ni IGP na sio OCD licha ya kwamba OCD ndiye anayehusika na masuala yote ya maandamano na mikutano.

3. Tarehe ya maandamano imepita. Hivyo wanadai hata mahakama ikitupa haki ya kuandamana tarehe husika ya maandamano ilishapita.

Jaji atatoa uamuzi 14th December 2023.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu

Screenshot_20231204-191107_1~2.jpg
 
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu;
Sijaona Jaji wa kutoa kibali cha maandamano.
Mahakama siku hizi yapo majengo tuu.
Waliopo kazi yao ni kubaka sheria.
 
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu;

1. Wanadai tumefika mahakamani bila kusubiri rufaa yetu kwa waziri. Kama mtakumbuka baada ya OCD kuzuia maandamano yetu tulikata rufaa kwa waziri na waziri hajawahi kujibu mpaka leo.

2. Hatujamuunganisha IGP. Wanadai aliyepaswa kushtakiwa ni IGP na sio OCD licha ya kwamba OCD ndiye anayehusika na masuala yote ya maandamano na mikutano.

3. Tarehe ya maandamano imepita. Hivyo wanadai hata mahakama ikitupa haki ya kuandamana tarehe husika ya maandamano ilishapita.

Jaji atatoa uamuzi 14th December 2023.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya NyiguView attachment 2833221
Sawa Mkuu Mude.....mmetekeleza wajibu wenu kama Raia Wema
 
Mungu ni mwema, kesi ya haki ya kuandamana imesikilizwa leo mahakama kuu Mbeya. Mawakili wa serikali waliweka mapingamizi ya awali matatu;

1. Wanadai tumefika mahakamani bila kusubiri rufaa yetu kwa waziri. Kama mtakumbuka baada ya OCD kuzuia maandamano yetu tulikata rufaa kwa waziri na waziri hajawahi kujibu mpaka leo.

2. Hatujamuunganisha IGP. Wanadai aliyepaswa kushtakiwa ni IGP na sio OCD licha ya kwamba OCD ndiye anayehusika na masuala yote ya maandamano na mikutano.

3. Tarehe ya maandamano imepita. Hivyo wanadai hata mahakama ikitupa haki ya kuandamana tarehe husika ya maandamano ilishapita.

Jaji atatoa uamuzi 14th December 2023.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu

MAHAKAMA zinazofuata maelekezo toka juu

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Shida majaji wetu ni machawa. Wanapigiwa simu waamue na na gani. Very stupid judges wenye njaa na tamaa.
 
Hongera sana Mdude na wenzako. Hata kama hawa majaji wa kupigiwa simu watapimdisha ili kuulinda ushetani, lakini ninyi majina yetu kwenye irodha ya wazalendo wa kweli wa Taifa, majina yenu yataandikwa kwa dhahabu.
 
Back
Top Bottom