Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,381
Mafisadi maficho yetu UKAWA, tuna raha huku
Ni kweli brother. Naweza kupata siti huko? Nina skendo fulani imenikalia kooni sasa naona namna rahisi ya kuituliza ni kuhamia huko kwenu.
Mafisadi maficho yetu UKAWA, tuna raha huku
Huyu mbatia hata kwene hutoba ya Dk Slaa hakutokea na wala sio mwanaChadema kilichokuuma ni nini wakati chadema wanae msemaji mkuu wa Chama wewe ni nan ndani ya Chadema na kama umeongea kama ukawa kwann hao wakubwa wa Ukawa wanaojitokeza kuongea kila Mara wasiongee hata kwa hili kama kawaida yao?
Ni kweli brother. Naweza kupata siti huko? Nina skendo fulani imenikalia kooni sasa naona namna rahisi ya kuituliza ni kuhamia huko kwenu.
Huyu mbatia hata kwene hutoba ya Dk Slaa hakutokea na wala sio mwanaChadema kilichokuuma ni nini wakati chadema wanae msemaji mkuu wa Chama wewe ni nan ndani ya Chadema na kama umeongea kama ukawa kwann hao wakubwa wa Ukawa wanaojitokeza kuongea kila Mara wasiongee hata kwa hili kama kawaida yao?
Huyu mbatia hata kwene hutoba ya Dk Slaa hakutokea na wala sio mwanaChadema kilichokuuma ni nini wakati chadema wanae msemaji mkuu wa Chama wewe ni nan ndani ya Chadema na kama umeongea kama ukawa kwann hao wakubwa wa Ukawa wanaojitokeza kuongea kila Mara wasiongee hata kwa hili kama kawaida yao?
Kuna CHADEMA ASILI na kuna CHADEMA LOWASSA. Hawa CHADEMA LOWASSA hawawezi kumuelewa Dr. Slaa alichosema, watamtukana na kumkashifu sababu hawa ni wahamiaji tu, hawajui uchungu wa CHADEMA. Hawajui mchango wa Dr. Slaa kwa CHADEMA.Hawa ni "friends of Lowassa" 4U MOVEMENTS; ni wahamiaji tu, hawa ndio kila siku wanaandika "ulipo tupo". Lowassa alipokuwepo CCM walikuwa nae. sasa hivi yupo CHADEMA wako nae. Lakini kuna kundi la wanachama, hawa ni CHADEMA asili. CHADEMA asili wanajua uchungu wa CHADEMA, wanamuheshimu Dr. Slaa kama CCM wanavyomuheshimu Mwalimu Julius Kambarage Nyerere! Hawa CHADEMA asili wanaujua mchango wa Dr. Slaa kwa CHADEMA. Wanafahamu wazi kuwa Dr Slaa ndio aliyekijenga CHADEMA na kufikia hapo kilipo. Kamwe maisha yao yote hawawezi kumpuuza na kumdharau Dr. Slaa. CHADEMA asili ndio wanajua walipotoka na CHADEMA mpaka leo hii. Hawa ni vijana ambao kwao Dr. Slaa ni "hero". Hawa vijana ndio watakao washa moto usiozimika CHADEMA! ....."friends of Lowassa" ni wahamiaji tu, na hawana uchungu na CHADEMA. Kilicho wapeleka pale ni Lowassa tu. Hawa ni watu wasiomjua Dr. Slaa na kwao hana dhamani yoyote ile, hawa ndio watu tunao waona hapa JF wakimtukana Dr. Slaa kwa kila aina ya matusi. Viongozi wa CHADEMA dhambi hii itawatafuna siku zote za maisha yenu. Dhambi ya kuuza chama kwa "fisadi Lowassa" kamwe haitawaacha mkae kwa amani.
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia siyo msemaji wa Lowassa wala msemaji wa CHADEMA. Kwanini tuhuma za Slaa kwa CHADEMA na Lowassa uje kuzijibu wewe mwenyekiti wa NCCR Mageuzi?
Umenunuliwa kwa sh ngap?
Acha kutumika mzee.
Ni heri... kuliko mfalme mzee mpumbavu.