Mbatia anatumika, Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini?

Mbatia anatumika, Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini?

Mbatia amevurugwa..ngoja uchaguzi uishe aambulie kiti kimoja cha Kafulila hapo ndio atawajua vyema cdm
 
Mtoa mada nimekosa tusi bora la kukutukana kwa jinsi ulivyo mshenzi,ujue kuwa MUNGU amesema nasi kuwa wote watakaoipigia kura ccm siku zao za kuishi zitapunguzwa na MUNGU mwenyewe na pia Lowassa ndo rais wa Tanzania 2015-2025,waambie wenzako mtafute nchi ya kwenda maana MUNGU amechoka na umaskini mliowapatia watanzania ktk taifa lenye raslimali nyingi alilotupatia,mnaweweseka risasi yenu ya mwisho ilikuwa slaa na imemisi target na kupiga mti,mlidhani upuuzi wa slaa ungeitikisa nchi na kushusha nguvu ya upinzani lakini wapi,kwa kweli lumumba mnatia huruma sana,mlimtanguliza Lipumba lakini hakuna mlichovuna zaidi ya pumba,mkaona labda slaa mngepiga bao lakini yamekuwa yaleyale,subiri 25 oct ndo mtajua kama kachumbari ni mboga au huwa inasaidia tu,nyie kwa akili zenu ndogo mnadhani mnaweza kuzuia mabadiliko? Kweli nyie ni wajinga sana,bahati mbaya walioko ccm ni kundi la wajinga wa kutupwa,hakuna intellectual anayeweza kuwa ccm,magufuli eti anatembea na ilani ya ccm utadhani naye ni mpinzani,miaka 54 mlikuwa wap
Unatumia nguvu nyingi mno kujenga hoja yako na umechanganya mambo lukuki kiasi kwamba inakuwa vigumu kufuatilia hoja yako ya msingi ni ipi. Mtindo huu wa utoaji hoja waachie magwiji akina Antipas wamezoea. Na matusi kwenye hoja siku hizi yameshapitwa na wakati. Punguza jazba na watu wa level yako watakuelewa tu.
 
Mbatia yuko sawa asilimia 100 kumtetea Lowassa.
 
Ni aibu kwa mzee kama wewe kutumiwa na Lowassa. Mbatia cyo msemaji wa lowassa wala msemaji wa Chadema. Kwa nini tuhuma za slaa kwa Chadema na lowassa uje kuzijibu wwe mwenyekiti wa nccr? Umenunuliwa kwa sh ngap? Acha kutumika mzee.

Ni heri....... kuliko mfalme mzee mpumbavu.

Mbatia ni mwenyekiti mwenza wa ukawa. Jana katimiza vema wajibu wake .Ni heri kija mdogo masikini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu. Safi sana mbatia tupo pamoja
 
Watanzania wengi tumeshaamua kuwa tutamchagua lowassa kuwa rais na amiri jeshi mkuu wa jmt.
 
Ni mpangaji lakini anakuja kujibu ugomvi wa baba mwenye nyumba na mama mwenye nyumba, anayajua mpaka ya chumbani,
 
ukawa ni familia , na Mbatia ni mwana familia ... sasa nikuulize mkeo akitaka kubakwa na haupo nyumbani mtoto wako anapaswa kusema acha Mama abakwe coz Mama hayupo ? au .
 
Wanasiasa wametugeuza wendawazimu na mandondocha......tumekuwa kama maroboti na tunaendeshwa kwa remote control......
 
Sijawahi kumkubali mbatia hata dakika moja, kapewa kiinua mgongo huyo
 
Wtz chagueni ccm ten a muone jinsi maisha yatakavyokuwa magumu kuliko ya mkwere, yakiongezewa na katiba mbovu ambayo mtaipigia Kura kwa upumbavu wenu
 
hivi NCCR wanasimamisha wabunge kumi na ngapi tanzania nzima? alipaswa akajenge chama chake kwanza au ahamie chadema
 
Endeleeni kujitoa ufahamu bila kujua NCCR ipo ndani ya UKAWA.
TANZANIA MPYA INAKUJA CHINI UTAWALA WA LOWASA..
mafisadi mjiandae kuhama nchini

Mafisadi maficho yetu UKAWA, tuna raha huku
 
siku ya kufa nyani miti yote huteleza......malofa wanakamata ikulu tarehe 25/10
 
Back
Top Bottom