Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,052
- 71,361
Yalitegemewa.
Inawezekana yale matango pori ya jana watu wamempotezea maana jamaa aminiki anafosi aaminiweHii taarifa kaiandika Zitto mwenyewe ila huyo naibu katibu mkuu uenezi ni kivuli tu. Swali, kwa nini uandike ujifanye imeandikwa na mwingine?
Unataka kucheza na akili za watanzania baada ya watu kugundua data zako za uongo hivyo hutaki kujitokeza Kama wewe. Una nafasi kubwa ya kurudisha Imani watanzania waliyonayo kwako, ujanja ujanja sio mzuri.
Nafkiri kwa sababu ni naibu Katibu Mwenezi Hilo ndio jukumu lake kichamaHii taarifa kaiandika Zitto mwenyewe ila huyo naibu katibu mkuu uenezi ni kivuli tu. Swali, kwa nini uandike ujifanye imeandikwa na mwingine?
Unataka kucheza na akili za watanzania baada ya watu kugundua data zako za uongo hivyo hutaki kujitokeza Kama wewe. Una nafasi kubwa ya kurudisha Imani watanzania waliyonayo kwako, ujanja ujanja sio mzuri.
Binafsi nimeshindwa kuelewa kwanini amemtumia huyo Bidada badala ya kusimama yeye kama yeye!!!
Naibu Katibu uenezi anatoa taarifa za chama au za Zitto pekee?Nafkiri kwa sababu ni naibu Katibu Mwenezi Hilo ndio jukumu lake kichama
Kwa mantiki hiyo taarifa hi Mh. Zitto kaitoa kama taarifa kwa nafasi yake kwa sura ya chama na sio Zitto kama Zitto kama raia wengine
Kwamaana hiyo sio Zitto kajifanya kuandika halafu kamsakizia mtu NO! nikwamba Zitto kaandika kwa nafasi yake katika Chama na Kisha kuitoa kwa sura Chama
Hivyo ni kama ACT wamesema na ndio maana imekua indorsed na Naibu Katibu Mwenezi wa Chama na mawasiliano yake kaweka kwa ajili ya verification ikiwa unamashaka ... Mimi nafkiri ivyo
Haya ni mawazo yangu tu lakini katika hali ya kawaida au???
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo kwa neno moja tunaita upopoma.Ni huyu huyu Zitto ambaye aliapa kwamba CAG aliyepo sasa ni Magufuli mwingine, hawezi kumwamini na hatomwamnini imekuweje leo atuletee habari hizi?
Ripoti ya CAG naiamini Ila haya yaliyoletwa na Zitto siyaamini kama ambavyo yeye alitangaza kutomwamini CAG
Jibuni hoja zake wacheni kumshambulia yeye binafsiInawezekana yale matango pori ya jana watu wamempotezea maana jamaa aminiki anafosi aaminiwe
Wewe ni wa kupuuzwa.Hii taarifa kaiandika Zitto mwenyewe ila huyo naibu katibu mkuu uenezi ni kivuli tu. Swali, kwa nini uandike ujifanye imeandikwa na mwingine?
Unataka kucheza na akili za watanzania baada ya watu kugundua data zako za uongo hivyo hutaki kujitokeza Kama wewe. Una nafasi kubwa ya kurudisha Imani watanzania waliyonayo kwako, ujanja ujanja sio mzuri.
Hana hoja kabisa.Jibuni hoja zake wacheni kumshambulia yeye binafsi
Mkuu Zitto, kwanza asante kwa taarifa hii, kwa vile umeihushisha na kuvunjwa kwa katiba, na taratibu za kushughulikia kuvujwa kwa katiba unazijua, nakuomba sasa, taarifa hii isiishie kwenye press conference na press release.Zitto aibua mazito ripoti ya CAG
SERIKALI ya Tanzania imevunja Katiba kwa kutumia kiasi cha shilingi trilioni 1.7 bila ya kupitia Mfuko Mkuu ambao hukaguliwa na Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, amewaambia waandishi wa habari jana.
Katika mkutano na waandishi wa habari alioufanya jijini Dar es Salaam jana kuhusu uchambuzi wa chama chake kwenye Ripoti ya CAG ya mwaka 2018/2019, iliyowasilishwa bungeni wiki iliyopita, Zitto alisema jambo hilo ni baya kwa sababu linaruhusu fedha za Watanzania kutumika pasipo kukaguliwa.
Alisema kwa kutambua umuhimu wa kulinda fedha za umma, Katiba iliweka ofisi ya CAG iwe inakagua mapato na matumizi yote ya serikali lakini uchambuzi wao umebaini matumizi ya shilingi trilioni 1.7 ambayo hayajakaguliwa na ofisi hiyo.
“Katika mwaka wa fedha wa 2018/2019, serikali ilitumia shilingi trilioni 1.7 bila kwanza kupitia kwenye Mfuko Mkuu wa Serikali. Baadhi ya fedha hizi zinatokana na mikopo kutoka nje.
“Hizi shilingi trilioni 1.7 zinazotokana na mikopo kutoka nje zimelipwa hukohuko; kwa mfano kununua ndege za ATCL na zinaweza pia kuwa zimetumika kuwekwa kwenye akaunti za watu binafsi huko nje. Utaratibu huu ni kichaka cha kukwepa kukaguliwa na CAG ili kufanya ubadhirifu,” alisema Zitto.
Janeth Joel Rithe @JaneRithe
Naibu Katibu Uenezi @actwazalendo
Simu: 0713556704
Email:riterite20@gmail
Achukue hatua kupitia Bunge hili la Ndugai?!Mkuu Zitto, kwanza asante kwa taarifa hii, kwa vile umeihushisha na kuvunjwa kwa katiba, na taratibu za kushughulikia kuvujwa kwa katiba unazijua, nakuomba sasa, taarifa hii isiishie kwenye press conference na press release.
Zitto Kabwe na wapinzani wote, kwanini mnapiga tu kelele kuhusu udikteta bila kuchukua hatua zozote? Isn't it a nuisance? Je, 2020 ni CCM pekee? - JamiiForums
Du the needful
Usipochukua, then huu nao utakuwa ni uchozezi hivyo nashauri
Zitto Zuberi Kabwe Ni Mchochezi, Akamatwe, Ashitakiwe Kwa Uchochezi, Adai Rais Magufuli ni... - JamiiForums
P
Wewe ndiye unataka kucheza na akili za watanzania baada ya kuona mnavuliwa nguo wezi wakubwa nyie! Kama imeandikwa na Ziito na sio huyo naibu katibu wa uenezi, tatizo liko wako kama hamuwezi kujibu hoja zilizoko kwenye hilo andiko? Acheni ujinga nyie wajinga!Hii taarifa kaiandika Zitto mwenyewe ila huyo naibu katibu mkuu uenezi ni kivuli tu. Swali, kwa nini uandike ujifanye imeandikwa na mwingine?
Unataka kucheza na akili za watanzania baada ya watu kugundua data zako za uongo hivyo hutaki kujitokeza Kama wewe. Una nafasi kubwa ya kurudisha Imani watanzania waliyonayo kwako, ujanja ujanja sio mzuri.
Hizo ni namba mzee, huwezi kuzikwepa.Hivi kweli mmekaa jopo zima la Act mkakaa na kupima kabisa kwamba ripoti hii ya CAG itawapa kick kwa kufichua ufisadi? Tena ambao bado unasubiri majibu ya PAC! Kama ni kweli au la?
Kapiga mpunga mwingi sana aisee.... Nafikiri tangu Uhuru.Siku watu watakapogundua utapeli wa huyu jamaa hawataamini hasa wajinga wa lumumba.Ndege ndo sehem anayopigia punga
Hata tril 1.5 ilikuwa namba,lakini ukweli ulijibiwa bungeni na PAC.
Hata hueleweki unasimamia nini, Mbinguni haupo ahera pamefungwa. Alicholeta Zitto ni kutoka ripoti ya CAG na wewe unasema huamini aliyosema Zitto unaamini ripoti ya CAG!! Uwe na kumbukumbu, alichopinga Zitto siyo uwepo wa CAG Bali Kichere kuwa head of office kwa vile hana sifa za kuwapo alipowekwa.Ni huyu huyu Zitto ambaye aliapa kwamba CAG aliyepo sasa ni Magufuli mwingine, hawezi kumwamini na hatomwamnini imekuweje leo atuletee habari hizi?
Ripoti ya CAG naiamini Ila haya yaliyoletwa na Zitto siyaamini kama ambavyo yeye alitangaza kutomwamini CAG
No hatua ya kwanza ni kuomba tafsiri ya Mahakama Kuu kama ni kweli kama katiba imevunjwa.Achukue hatua kupitia Bunge hili la Ndugai?!
Kuwa serious brother!!