Basi system zetu haziko independent kufanya vetting za viongoz wa kitaifa lakin huyu jamaa ni mpigaji toka enzi akina mfugale fryover wanamjua ndo maana hawagusiYafaa apewe tuzo ya kuitia nchi hasara ndie aongozae tangu akiwa waziri kuanzia meli ya samaki,mv kigamboni,kituo cha mafuta mwanza,barabara ya bagamoyo nk.Kila agusacho ni hasara kwa taifa tena kubwa tu