Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,464
- 37,711
Unatuletea story za LUGOLA na unifomu za Polisi?Mie ngoja nimwamini zitto, kwanza maelezo yake yanaonyesha hakuna ubadhilifu Ila kasoro katika uwekaji hesabu na kimsingi sio kasoro Ni upotoshaji wake tu kwani hakuna taratibu zilizokiukwa.
Kuhusu budget na makusanyo anaongelea tofauti za asilimia Kati ya jk na JPM lakini hasemi tofauti ya fedha,
Kusema kuwa mizigo haijavuka mipaka haimaanishi imeibiwa, hasemi Ni mizigo mingapi iliyotolewa lakini iko kwenye ma godown au kwenye mafuso kuelekea mpakani
Sent using Jamii Forums mobile app