Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Humuamini Zitto , Sawa. Je taarifa za CAG unaziamini ?!. Kama waziamini lete ripoti inayopingana na taarifa za Zitto.Mkuu asante vile umenielewa, Mimi nitaiamini tarifa hii ya Zitto iwapo itathibitishwa na Mwingine, Kwa sababu Kwa sasa, Zitto amekuwa kama ni mtu wa jinsia moja hivi ktk Imani furani, akisimama atoe ushahidi wa Yeye peke yake hautakubalika, ushahidi wa jinsia hiyo hukubalika tu pindi watoa ushahidi watakapokuwa ni zaidi ya mmoja, ni Sawa na alivyo Mh Zitto Kwa sasa, haaminiki na hawezi kuaminiwa
Tangu alipokisaliti Chama chake kilichompa umarufu, amekuwa haeleweki na hatokuja kuaminika ni Hadi atubu,
Uteuzi wa CAG ulimsikia alichokisema mkuu? Sasa Iweje leo ripoti za CAG ambaye yeye alimzodoa huku akisema ni Magufuli wa pili, eti leo aanze kuona ni za Moto Kwa Magufuli kweli?
Mimi simwamini, Iweje leo hii Kwa ripoti hii aone inamtenganisha Magufuli na CAG?
Mwamini wewe mkuu
Odhis *